Hamjambo wote Wana Jf?
Katika kikao cha Bajeti ya Serikali 2026_2027,Akiichangia Msukuma, alilalamikia sana swala la Leseni ya Udereva Wa Magari na pikipiki kuwa ili uweze kuhuisha Leseni Yako, lazima Tena uende kusoma/Chuo!
Mtu kaendesha gari zaidi ya miaka30, Bado anategemewa Nyumbani, Kodi...