HABARI ZENU NDUGU ZANGU TUNAUZA
STEND ZA LAPTOP ZA KISASA AMBAZO ZINA FENI
KWA CHINI MBILI FENI ZINASAIDIA LAPTOP YAKO ILIPATE
MOTO SANA MAANA FENI ZINAPOZA MOTO STEND INAKUJA
NA USB YAKE AMBAYO UNACHOMEKA KWENYE LAPTOP ALAFU
UNAKUJA KUCHOMEKA KWENYE STEND KARIBUNI SANA
BEI 70
PIGA SIM...
Jinsi ya Kuongeza Muda wa Betri ya Laptop Yako
Betri ya laptop mara nyingi huwa changamoto, hasa pale unapokuwa safarini au mbali na umeme. Habari njema ni kwamba kuna njia rahisi za kuongeza muda wa matumizi ya betri bila kulazimika kununua vifaa vipya mara moja.
Mwongozo Kamili wa Hatua za...
Laptop Gani Inafaa Kwa Kazi Yako? Usinunue Kabla Hujasoma Haya Mambo 7 Muhimu!
Kama unavyonunua mashine kwa mgodi au mtambo kwa kiwanda, laptop pia ni zana ya uzalishaji. Si mapambo.
Lakini watu wengi hununua kwa pupa—wanaangalia muonekano au bei ya chini—halafu baada ya wiki mbili wanaanza...
Nimekwama wadau,kama kichwa cha habari kinavyoeleza,lengo langu ni kuweka windows 11 version 23H2,nimefuata taratibu zote za jinsi ya kuinstall windows 11 kwenye laptop yangu ya Microsoft Surface lakini kila nikifika hatua ya mwisho inarudia window iliopo ambayo ni 11 version 24H2...
Lenovo Thinkpad Yoga
✅Core m3
✅8th
✅Ram 8gb
✅SSD 256 gb
✅TOUCH
✅X360 rotations
✅Audio jack
✅3 USB PORT
✅TYPE C CHARGE
Naomba kufaham laptop yenye sifa hiz ni bei Gani ?
Sio wote watakao kuja kuipenda compyuta au laptop kwenye matumizi wanayotaka ila inamchango mkubwa kama utajiwekea nyumbani kwako watoto wakitumia.
Naeleza ili sababu nimeshuhudia vipaji vingi ambavyo ukifatilia nyumbani kwao walikuwa wamewekewa mfano kama maproduza,wahandisi wa...
Nimeshangaa kusikia wananchi wanamuua MTU kwa kosa la kuiba lap top ya lakimbili .
Na najiuliza hawa jamaa ni kweli hawana akili .Ila hata kufikiria hawawezi?.
Laptop Yako Inakaribia Kufa – Huu Ndio Mwongozo wa Kuiokoa Mapema (Step-by-Step Maintenance Guide)
Watu wengi wanakumbwa na balaa moja: laptop inazima ghafla au kupungua speed kila siku.
Na mara nyingi siyo hardware mbovu – ni matunzo duni.
Leo nakupa mpango wa msaada wa dharura – step-by-step...
Wadau wazoefu,nina kijana wangu yupo kidato cha 6,nataka nimnunulie laptop kwa ajili ya matumizi yake,nikizingatia kuwa mwakani anaweza kujiunga na chuo kikuu,je ni laptop ipi,yenye uwezo upi nimnunulie?
Tofauti Kati ya Laptop Refurbished na Laptop Feki (2025)
Imeandikwa na
MALEKOGJ
Mawasiliano kwa maelezo zaidi au ununuzi salama: +255 675031229
Katika soko la sasa la teknolojia nchini Tanzania, ambapo matumizi ya kompyuta binafsi yameongezeka kwa kasi haswa miongoni mwa wanafunzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.