Hp laptop DESKTOP-VAM8QO3
intel pentium CPU 1.10 GHz
RAM 4 GB
64-bit
touch screen
windows 10 pro
119 GB
Web Camera
used only one week
charge 7 HRS
bei 300,000
Contact 0655 854563
🔥🔥🔥🔥OFA KUBWA ZA LAPTOP ZENYE UBORA WA HALI YA JUU!
🌍🌍Unatafuta laptop imara, yenye speed ya kasi, battery inayodumu, na muonekano wa kisasa kwa BEI NAFUU?
Usihangaike tena! Sisi ndiyo suluhisho la mahitaji yako.
Tunauza laptop mpya na zilizotumika (used) lakini zikiwa katika hali nzuri sana...
Hard disk ni ya laptop nimeiweka kwenye kasha limeandika Usb 3.0 ila waya wake ulikuwa mfupi, nikaunganisha huo waya na waya mwengine mrefu wa kuchomekea flash na external, waya nao umeandikwa usb 3.0.
Shida inakuja hard disk inapata joto kali sana
Habari wadau!
Tunauza computer na laptop kwa bei nafuu sana kuanzia Tsh 170000/= mpaka Tsh 800000/=,bei zetu zinategemeana na uwezo, viwango na ubora wa computer,lakini pia sambamba na hilo tunafanya pia maintainance za computer kuanzia( Hardware na Software),na gharama zetu ni nafuu sana,njoo...
“Tech Doesn’t Have to Be Complicated. Here’s Proof.” Uzi huu unalenga watu wanaogopa kununua vifaa vya kielektroniki kwa sababu ya kutokuelewa vizuri, na unaleta uaminifu na ufahamu.
Tech Doesn’t Have to Be Complicated. Here’s Proof.
Wengi wetu tunahitaji laptop au desktop — kwa kazi, shule...
Mwongozo Bora wa Kununua Laptop ya Utendaji wa Juu (2024/25)
Na MALEKO GJ| #ElimuYaKompyuta
Kununua laptop mpya ni jambo linaloweza kuwa la kusisimua, lakini pia linachanganya kutokana na wingi wa chaguo sokoni.
Ikiwa unahitaji laptop ya utendaji wa juu kwa ajili ya gaming, kuhariri video...
Hii nimejaribu Mara nyingi napotumia sim Mb huwa zinaenda kawaida tu Ila nikitumia PC( iwe laptop au desktop) Mb zinakimbia ni balaa.
Sababu ya kitaalam ni ipi? Site nazotembelea ni zile zile tu Ila ulaji wa Mb kwenye PC naona ni mkubwa zaidi. Nawasilisha wakuu, karibuni kwa majibu
Nahitaji kuifanya Tv yangu iwe kama youtube au Netflix lakini niweze kustream video kutoka kwenye laptop yangu bila bando. Laptop nitakuwa naiacha chumbani, niweze kuchagua video moja kwa moja kwenye TV bila kugusa laptop.
Nimechoka kudownload videos kwenye pc kisha niiingieze kwenye flash...
OFFER OFFER 🌙
Hp 840 g3 core i7
Ram 8gb
Ssd 256gb
Super clean condition
Battery 4 hours
Windows 10
Basic programs installed
💎good for games
💎high speed in internet
💎for study and other task
💎engineers hii inawafaa
💎wanachuo hii ni Safi
Price: 450,000/=tsh
Call/whatsapp
0695472265
Ukiitaji chochote hapo juu mkuu nicheki
Bei zangu ni za viwandani na bidhaa ni uhakika. Pia ukiitaji ushauri kuhusu biashara hizi nipo tayari
Mikoani natuma kwa uaminifu Sana
Whatsup 0764225747
Kwa Mungu yote yanawezekana
Wakuu nauza laptop aina ya Hp Pro Book, Yenye Ram 8GB, Hdd 500gb. Battery 4hrs. Haina kipengele chochote sema tu nauza kwasababu nina shida ya haraka. Napatikana -Banana-Dar Es Salaam Mawasiliano yangu ni 0628116693
Price 380,000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.