laptop

  1. germanium

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale HP LAPTOP FOR SALE

    NEW (2024) GO BEYOND HP Envy x360 2-in-1 Laptop 14 • Intel Core TM Ultra 7 150U Processor • 500GB Solid State Drive •Windows 11 Home • Touchscreen, Multi-touch enabled • 3-cell, 59 Wh • 16GB on-board LPDDR5 SDRAM • 14.0⚫ WUXGA IPS LED Display (300 nits) • poly studio •HP 5MP IR Camera •Silver...
  2. jT0078

    JamiiForums Tanzania NAUNUA LAPTOP ZILIZO NA UBOVU. 0767953873

    Kama una Laptop au Desktop mbovu lete nikupe pesa bei maelewano nipo ilala - dsm 0767953873
  3. Boloyoung

    JamiiForums Tanzania Hp Laptop Desktop- VAM8QO3 inauzwa

    Hp laptop DESKTOP-VAM8QO3 intel pentium CPU 1.10 GHz RAM 4 GB 64-bit touch screen windows 10 pro 119 GB Web Camera used only one week charge 7 HRS bei 300,000 Contact 0655 854563
  4. jT0078

    JamiiForums Tanzania NANUNUA LAPTOP MBOVU KAMA SPARE. 0767953873

    Lete Laptop mbovu nikupe pesa, bei maelewano ilala - Dsm 0767953873
  5. tajiri wa fikra

    JamiiForums Tanzania 💥OFA KABAMBE YA LAPTOP!

    🔥🔥🔥🔥OFA KUBWA ZA LAPTOP ZENYE UBORA WA HALI YA JUU! 🌍🌍Unatafuta laptop imara, yenye speed ya kasi, battery inayodumu, na muonekano wa kisasa kwa BEI NAFUU? Usihangaike tena! Sisi ndiyo suluhisho la mahitaji yako. Tunauza laptop mpya na zilizotumika (used) lakini zikiwa katika hali nzuri sana...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Hard disk ya laptop naitumia kwenye TV shida inapata joto kali, natatua vipi hili tatizo ?

    Hard disk ni ya laptop nimeiweka kwenye kasha limeandika Usb 3.0 ila waya wake ulikuwa mfupi, nikaunganisha huo waya na waya mwengine mrefu wa kuchomekea flash na external, waya nao umeandikwa usb 3.0. Shida inakuja hard disk inapata joto kali sana
  7. T

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza na Tunauza computer na laptop bei kuanzia Tsh 170000/=.

    Habari wadau! Tunauza computer na laptop kwa bei nafuu sana kuanzia Tsh 170000/= mpaka Tsh 800000/=,bei zetu zinategemeana na uwezo, viwango na ubora wa computer,lakini pia sambamba na hilo tunafanya pia maintainance za computer kuanzia( Hardware na Software),na gharama zetu ni nafuu sana,njoo...
  8. jT0078

    JamiiForums Tanzania NABADILISHA HOUSING ZA LAPTOP. 0767953873

    Lete Laptop yako iliyovunjika housing tukubadilishie iwe mpya. 0767953873
  9. jT0078

    JamiiForums Tanzania Tunabadilisha na kuuza Housing za Laptop. 0767953873

    Kama una Laptop imevunjika au housing limechoka unahitaji kubadilisha njoo tukubadilishie. Ilala - Dsm 0767953873
  10. I

    JamiiForums Tanzania Unapochagua Laptop, Hii Ndiyo Kitu Ambacho Kila Mtu Anapaswa Kujua

    “Tech Doesn’t Have to Be Complicated. Here’s Proof.” Uzi huu unalenga watu wanaogopa kununua vifaa vya kielektroniki kwa sababu ya kutokuelewa vizuri, na unaleta uaminifu na ufahamu. Tech Doesn’t Have to Be Complicated. Here’s Proof. Wengi wetu tunahitaji laptop au desktop — kwa kazi, shule...
  11. jT0078

    JamiiForums Tanzania NANUNUA LAPTOP MBOVU KAMA SPARE. 0767953873

    Lete Laptop MBOVU nikupe pesa Bei maelewano 0767953873
  12. I

    JamiiForums Tanzania Mwongozo Bora wa Kununua Laptop ya Utendaji wa Juu (2024/25)

    Mwongozo Bora wa Kununua Laptop ya Utendaji wa Juu (2024/25) Na MALEKO GJ| #ElimuYaKompyuta Kununua laptop mpya ni jambo linaloweza kuwa la kusisimua, lakini pia linachanganya kutokana na wingi wa chaguo sokoni. Ikiwa unahitaji laptop ya utendaji wa juu kwa ajili ya gaming, kuhariri video...
  13. Ndebile

    JamiiForums Tanzania Laptop Inahitajika Haraka

    Nahitaji laptop, kwa matumizi ya kijana wangu kwa ajili ya masomo. Nipe sifa za pc yako na bei. Asante!
  14. SubTopic

    JamiiForums Tanzania Kwanini ulaji wa Mbs kwenye Laptop au desktop huwa ni mkubwa tofauti na ukitumia simu?

    Hii nimejaribu Mara nyingi napotumia sim Mb huwa zinaenda kawaida tu Ila nikitumia PC( iwe laptop au desktop) Mb zinakimbia ni balaa. Sababu ya kitaalam ni ipi? Site nazotembelea ni zile zile tu Ila ulaji wa Mb kwenye PC naona ni mkubwa zaidi. Nawasilisha wakuu, karibuni kwa majibu
  15. Orketeemi

    JamiiForums Tanzania Msaada Laptop inagoma kuwaka

    Wakuu habar Naomba msaada laptop aina ya hp inaandika Boot device not found. Inaishia hapo kwenye maandishi
  16. jT0078

    JamiiForums Tanzania NANUNUA LAPTOP MBOVU kama spare. 0767953873

    Lete Laptop MBOVU nikupe pesa Bei maelewano Ilala - Dsm 0767953873
  17. R

    JamiiForums Tanzania Operesheni tokomezeza flash disk na mawaya, Nawezaje kutazama video za kwenye computer kwenye Tv kwa kutumia wifi ( wireless )

    Nahitaji kuifanya Tv yangu iwe kama youtube au Netflix lakini niweze kustream video kutoka kwenye laptop yangu bila bando. Laptop nitakuwa naiacha chumbani, niweze kuchagua video moja kwa moja kwenye TV bila kugusa laptop. Nimechoka kudownload videos kwenye pc kisha niiingieze kwenye flash...
  18. N

    JamiiForums Tanzania Laptop inauzwa. Tupigie kupitia Whatsap

    OFFER OFFER 🌙 Hp 840 g3 core i7 Ram 8gb Ssd 256gb Super clean condition Battery 4 hours Windows 10 Basic programs installed 💎good for games 💎high speed in internet 💎for study and other task 💎engineers hii inawafaa 💎wanachuo hii ni Safi Price: 450,000/=tsh Call/whatsapp 0695472265
  19. Miss Natafuta

    JamiiForums Tanzania Nauza laptop & phone accessories/solar /flat TV na majiko ya gesi kwa jumla na rejareja bei mserereko

    Ukiitaji chochote hapo juu mkuu nicheki Bei zangu ni za viwandani na bidhaa ni uhakika. Pia ukiitaji ushauri kuhusu biashara hizi nipo tayari Mikoani natuma kwa uaminifu Sana Whatsup 0764225747 Kwa Mungu yote yanawezekana
  20. Delacruzito

    JamiiForums Tanzania Nauza Laptop yangu mwenyewe haina kipengele

    Wakuu nauza laptop aina ya Hp Pro Book, Yenye Ram 8GB, Hdd 500gb. Battery 4hrs. Haina kipengele chochote sema tu nauza kwasababu nina shida ya haraka. Napatikana -Banana-Dar Es Salaam Mawasiliano yangu ni 0628116693 Price 380,000
Back
Top Bottom