Nimeshangaa kusikia wananchi wanamuua MTU kwa kosa la kuiba lap top ya lakimbili .
Na najiuliza hawa jamaa ni kweli hawana akili .Ila hata kufikiria hawawezi?.
Laptop Yako Inakaribia Kufa – Huu Ndio Mwongozo wa Kuiokoa Mapema (Step-by-Step Maintenance Guide)
Watu wengi wanakumbwa na balaa moja: laptop inazima ghafla au kupungua speed kila siku.
Na mara nyingi siyo hardware mbovu – ni matunzo duni.
Leo nakupa mpango wa msaada wa dharura – step-by-step...
Wadau wazoefu,nina kijana wangu yupo kidato cha 6,nataka nimnunulie laptop kwa ajili ya matumizi yake,nikizingatia kuwa mwakani anaweza kujiunga na chuo kikuu,je ni laptop ipi,yenye uwezo upi nimnunulie?
Tofauti Kati ya Laptop Refurbished na Laptop Feki (2025)
Imeandikwa na
MALEKOGJ
Mawasiliano kwa maelezo zaidi au ununuzi salama: +255 675031229
Katika soko la sasa la teknolojia nchini Tanzania, ambapo matumizi ya kompyuta binafsi yameongezeka kwa kasi haswa miongoni mwa wanafunzi...
Je, Laptop Inaweza Kutumiwa Hata Ikiwa Imezimwa? Fahamu Ukweli wa Kushtua Kuhusu Intel AMT na Jinsi ya Kujilinda
Jibu rahisi ni ndyo ??
Sounds like sci-fi?
It’s not.
It’s real, it’s dangerous, and it’s probably inside your laptop right now. 👇
Na
It's MALEKOGJ
Katika ulimwengu wa kisasa wa...
Kama unayo Dell Latitude 3190 Touchscreen nipigie tufanye biashara
Mashariti:
1. Laptop iwe katika hali nzuri, kama ni mbovu usinipigie tafadhali
2. Uwe Dar es salaam
3. Bei isizidi 280K
If you're ready call...
Piga: 0658 700 510 na tuma picha kwa WhatsApp kupitia hiyohiyo number .
Karibuni!
Elon Musk anakuja kwa kasi sana kwenye technology ya mawasiliano, kumbuka anamiliki satellite zake thus kwa technology za mawasiliano yupo cheap sana hata simu na laptop zake ni quality ya juu kwa bei ya chini kuliko products za apple yaani iphone na computer.
Katoa tablet na simu ambayo...
Unataka kununua laptop mpya? Usikurupuke! Haya ndiyo mambo muhimu ya kuzingatia:
1. Matumizi Yako Ni Yapi?
Kwa kazi za kawaida – laptop ya bei nafuu inatosha. Kwa gaming, design au programming – chagua yenye nguvu zaidi.
2. Processor (CPU)
Core i5/Ryzen 5 au zaidi ni bora kwa kazi nzito...
Hp laptop DESKTOP-VAM8QO3
intel pentium CPU 1.10 GHz
RAM 4 GB
64-bit
touch screen
windows 10 pro
119 GB
Web Camera
used only one week
charge 7 HRS
bei 300,000
Contact 0655 854563
🔥🔥🔥🔥OFA KUBWA ZA LAPTOP ZENYE UBORA WA HALI YA JUU!
🌍🌍Unatafuta laptop imara, yenye speed ya kasi, battery inayodumu, na muonekano wa kisasa kwa BEI NAFUU?
Usihangaike tena! Sisi ndiyo suluhisho la mahitaji yako.
Tunauza laptop mpya na zilizotumika (used) lakini zikiwa katika hali nzuri sana...
Hard disk ni ya laptop nimeiweka kwenye kasha limeandika Usb 3.0 ila waya wake ulikuwa mfupi, nikaunganisha huo waya na waya mwengine mrefu wa kuchomekea flash na external, waya nao umeandikwa usb 3.0.
Shida inakuja hard disk inapata joto kali sana
Habari wadau!
Tunauza computer na laptop kwa bei nafuu sana kuanzia Tsh 170000/= mpaka Tsh 800000/=,bei zetu zinategemeana na uwezo, viwango na ubora wa computer,lakini pia sambamba na hilo tunafanya pia maintainance za computer kuanzia( Hardware na Software),na gharama zetu ni nafuu sana,njoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.