Laptop Gani Inafaa Kwa Kazi Yako? Usinunue Kabla Hujasoma Haya Mambo 7 Muhimu!
Kama unavyonunua mashine kwa mgodi au mtambo kwa kiwanda, laptop pia ni zana ya uzalishaji. Si mapambo.
Lakini watu wengi hununua kwa pupa—wanaangalia muonekano au bei ya chini—halafu baada ya wiki mbili wanaanza...
Nimekwama wadau,kama kichwa cha habari kinavyoeleza,lengo langu ni kuweka windows 11 version 23H2,nimefuata taratibu zote za jinsi ya kuinstall windows 11 kwenye laptop yangu ya Microsoft Surface lakini kila nikifika hatua ya mwisho inarudia window iliopo ambayo ni 11 version 24H2...
Lenovo Thinkpad Yoga
✅Core m3
✅8th
✅Ram 8gb
✅SSD 256 gb
✅TOUCH
✅X360 rotations
✅Audio jack
✅3 USB PORT
✅TYPE C CHARGE
Naomba kufaham laptop yenye sifa hiz ni bei Gani ?
Sio wote watakao kuja kuipenda compyuta au laptop kwenye matumizi wanayotaka ila inamchango mkubwa kama utajiwekea nyumbani kwako watoto wakitumia.
Naeleza ili sababu nimeshuhudia vipaji vingi ambavyo ukifatilia nyumbani kwao walikuwa wamewekewa mfano kama maproduza,wahandisi wa...
Nimeshangaa kusikia wananchi wanamuua MTU kwa kosa la kuiba lap top ya lakimbili .
Na najiuliza hawa jamaa ni kweli hawana akili .Ila hata kufikiria hawawezi?.
Laptop Yako Inakaribia Kufa – Huu Ndio Mwongozo wa Kuiokoa Mapema (Step-by-Step Maintenance Guide)
Watu wengi wanakumbwa na balaa moja: laptop inazima ghafla au kupungua speed kila siku.
Na mara nyingi siyo hardware mbovu – ni matunzo duni.
Leo nakupa mpango wa msaada wa dharura – step-by-step...
Wadau wazoefu,nina kijana wangu yupo kidato cha 6,nataka nimnunulie laptop kwa ajili ya matumizi yake,nikizingatia kuwa mwakani anaweza kujiunga na chuo kikuu,je ni laptop ipi,yenye uwezo upi nimnunulie?
Tofauti Kati ya Laptop Refurbished na Laptop Feki (2025)
Imeandikwa na
MALEKOGJ
Mawasiliano kwa maelezo zaidi au ununuzi salama: +255 675031229
Katika soko la sasa la teknolojia nchini Tanzania, ambapo matumizi ya kompyuta binafsi yameongezeka kwa kasi haswa miongoni mwa wanafunzi...
Je, Laptop Inaweza Kutumiwa Hata Ikiwa Imezimwa? Fahamu Ukweli wa Kushtua Kuhusu Intel AMT na Jinsi ya Kujilinda
Jibu rahisi ni ndyo ??
Sounds like sci-fi?
It’s not.
It’s real, it’s dangerous, and it’s probably inside your laptop right now. 👇
Na
It's MALEKOGJ
Katika ulimwengu wa kisasa wa...
Kama unayo Dell Latitude 3190 Touchscreen nipigie tufanye biashara
Mashariti:
1. Laptop iwe katika hali nzuri, kama ni mbovu usinipigie tafadhali
2. Uwe Dar es salaam
3. Bei isizidi 280K
If you're ready call...
Piga: 0658 700 510 na tuma picha kwa WhatsApp kupitia hiyohiyo number .
Karibuni!
Elon Musk anakuja kwa kasi sana kwenye technology ya mawasiliano, kumbuka anamiliki satellite zake thus kwa technology za mawasiliano yupo cheap sana hata simu na laptop zake ni quality ya juu kwa bei ya chini kuliko products za apple yaani iphone na computer.
Katoa tablet na simu ambayo...
Unataka kununua laptop mpya? Usikurupuke! Haya ndiyo mambo muhimu ya kuzingatia:
1. Matumizi Yako Ni Yapi?
Kwa kazi za kawaida – laptop ya bei nafuu inatosha. Kwa gaming, design au programming – chagua yenye nguvu zaidi.
2. Processor (CPU)
Core i5/Ryzen 5 au zaidi ni bora kwa kazi nzito...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.