laptop

  1. jT0078

    JamiiForums Tanzania Nanunua Laptop mbovu kama spare

    Lete Laptop mbovu nikupe pesa, bei maelewano Ilala - Dsm 0767953873
  2. Nomadiq

    JamiiForums Tanzania Ubora na utendaji wa hii upoje?

    Habari wanajukwaa Nahitaji kununua laptop kwaajili ya mambo yafuatayo Kufanya basic coding kwa kutumia HTML,PHP,Javascript,C# Kutumia application za Adobe kama Lightroom,InDesign, na Photoshop Kutumia App za Microsoft kama MS Excel,Word; na Libre Office HP Elitebook 840 G6 (Refurb) nimeona ndio...
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya laptops zinazotolewa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ)

    Ningependa kuwasilisha malalamiko yangu kuhusu laptop ambazo zilitolewa kwa wanafunzi waliofaulu kidato cha nne na cha sita. Ingawa mpango huu unalenga kusaidia wanafunzi katika kujifunza, ukweli ni kwamba laptop hizi zimekuwa na changamoto kubwa. Hadi sasa, laptop yangu imeharibika licha ya...
  4. Meneja CoLtd

    JamiiForums Tanzania OFFICE HP LAPTOP FOR SALE (SLIM/NYEMBAMBAA)

    Brand: HP Model: HP EliteBook 840 G1 (SLIM) Charge: 3HRS+ Operating system: window 10 Hard disk: 320GB RAM: 4GB Coi 5 Button zinawaka taa Fingerprint na button ipo gudi etc... Mob & Wasap & Msg 0688777402 Price: 220k NB: UKIIPENDA NDO UNAILIPIA.
  5. luckWill

    JamiiForums Tanzania Hp laptop iko mnadani. Kweli nmeamini shida haina Adabu

    Baada ya kuchapisha nyuzi kadhaa za kuomba ushauri na changamoto ninazo pitia kipindi hiki cha njaanuary, nmepokea maoni na sasa sina budi kuweka mnadani kifaa changu cha kazi niweze kutatua changamoto hizi naomba msaada wenu matajiri wa JF -Hp Elitebook -Ssd 256 -Ram 8 Graphics Processor: UHD...
  6. jT0078

    JamiiForums Tanzania Tunanunua laptop mbovu

    TUNANUNUA LAPTOP MBOVU KAMA SPARE BEI MAELEWANO KUTOKANA NA MODEL, SPECS NA UBOVU TUPO ILALA - DSM 076 7953873
  7. Jay_255

    JamiiForums Tanzania RAM ya Laptop DDR4 ya 8GB kwa 30,000 tu!

    Ram za ddr4 ambazo kila moja ina 8gb bei ni 30,000 Tu. NINAZO 2 ukichukua zote 2 yaani 16gb nakufanyia kwa 50,000. Nipo kimara Dar es Salaam Wasiliana: 0782780980
  8. Jay_255

    JamiiForums Tanzania Ongeza uwezo wa laptop yako kwa Kuongeza RAM ya 8gb kwa 30,000 Tu

    Ram za ddr4 ambazo kila moja ina 8gb bei ni 30,000 Tu. NINAZO 2 ukichukua zote 2 yaani 16gb nakufanyia kwa 50,000. Nipo kimara Dar es Salaam 0782780980
  9. Jay_255

    JamiiForums Tanzania Ongeza uwezo wa laptop nauza RAM za DDR4 8gb kwa 30,000 Tu

    Ram za ddr4 ambazo kila moja ina 8gb bei ni 30,000 Tu. ukichukua zote 2 yaani 16gb nakufanyia kwa 50,000. Nipo kimara Dar es Salaam 0782780980
  10. O

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kuagiza laptop kwa ajili ya kuuza, ni masoko Gani ambayo ni Bora

    Ndio msaada wa jambo Hilo sihitaji kusafiri kwenda huko ikiwa Kuna mbadala tujuzane
  11. Mtukutu Mkuu

    JamiiForums Tanzania TUPENI ABC Kwa sisi tunaotaka kuagiza laptop Zanzibar ushuru ukoje

    Kama Kichwa kinavyojieleza hapo nataka kuagiza laptop Zanzibar au naweza kwenda mwenyewe nikabeba kwenye begi Je Bei ya ushuru ipoje na kama mzigo nimeweka kwenye begi bado nitatozwa ushuru Nawasalisha Kama Upo Zanzibar/Pemba tafadhari karibu dm
  12. papag

    JamiiForums Tanzania Ghafla laptop yangu inakataa kufungua website

    Habari wataalamu. Nina laptop yangu HP touch screen. Mwanzoni mpaka juzi nilikuwa naingia vizuri tu katika website mbalimbali. Cha kushangaza kuanzia juzi inakataa. Ila wifi inaunga vizuri tu. Je nini tatizo? na Suluhisho? Ahsante sana kwa msaada wenu.
  13. buyoya419

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza Stand za laptop

    Nauza Stand ya laptop ya aluminium Zimebaki 9 Bei 15,000 Temeke Dar es salaam Namba 0710-599-055
  14. K

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Laptop aina ya Lenovo inauzwa, imetumika miezi minne tu

    Wakuu, kimfaacho mtu chake. Nina hali mbaya kiuchumi aisee, nimeamua kuuza laptop yangu aina ya lenovo RAM 8 GB Storage 256 GB Bei ni 550,000/=maongezi kidogo yapo. Kwa mwenye kuihitaji anicheck inbox tu tuyajenge.
  15. G

    JamiiForums Tanzania Wataalam, Nahitaji uhakika wa umeme kwa vifaa vidogo kama laptop, simu, router, n.k. ikiwa kuna mgao wa siku 2, Je itanigharimu kiasi gani ?

    Inatokea Tanesco wamekata umeme kwa siku 2 Nahitaji vitu gani mfano battery au power bank,n.k. niweze kukidhi mahitaji ya umeme kwa siku 2 kwa vifaa vidogo kama Smart phone 4 zinazochajiwa mara 2 kwa siku, hutumia lisaa kujaa Router 1 inayotakiwa iwe kwenye umeme muda wote Laptop 1 ya Dell
  16. F

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Hp laptop 430 g6 naiuza

    HP laptop 430 g6 storage 512 GB Ram 8 GB processor Intel(R) Celeron(R) 3205U @ 1.50GHz 1.50 GHz bei 290,000, namba yangu 0685068828
  17. tajiri wa fikra

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Laptop brand new

    chuma hiki hapa,mpya📌 DELL LATITUDE 3380 14inch Display, 7th Generation Intel Core i5, 2.7GHz RAM 8Gb DDR4 Storage 500Gb HDD Battery Health: 100% 6 Month Warranty *Price 520,000/- Phone:0712793505
  18. Mr. Purpose

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Laptop aina ya Samsung inauzwa

    Laptop Inauzwa Ni SAMSUNG LAPTOP RAM 4 GB Processor 2.4GHz HDD 360GB Betri yake nzuri sana inakaa na chaji masaa 4 Bei ni 260,000 Location ni Dar es salaam, Mbezi mwisho. Mawasiliano 0752026992
  19. B

    JamiiForums Tanzania Nauza Laptop aina ya Dell Latitude E5470

    Nauza laptop yangu ambayo nimekuwa nikitumia kwenye mambo yangu ya maswala ya IT. Ipo vizuri, japo kuna marekebihso kidogo utakachofanya, ni marekebisho ambayo hayaathiri utendaji wake, ni kubadilisha mkanda kwa gharama isiyozidi tsh elfu 20. SPECIFICATION Model: Dell Latitude E5470 Processor...
  20. Kang

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Google inaachana na Chromebook na laptop zao zitaanza kutumia Android

    Hii ni kushindana vizuri zaidi na iPad za Apple ambazo inatawala soko la tablet na kuongeza ufanisi kwa kuwa na OS moja ambayo inafanya kazi kote simu, tablet, laptop, tv, magari etc. Kazi hii itachukia miaka kadhaa na Chrome itabadilika pole pole kuwa Android...
Back
Top Bottom