land rover

Land Rover is a British brand of four-wheel drive cars, that exclusively offers premium and luxury sport utility vehicles. Owned by multinational car manufacturer Jaguar Land Rover (JLR), which has been owned by India's Tata Motors since 2008, JLR currently build Land Rovers in Brazil, China, India, Slovakia, and the United Kingdom.
The Land Rover name was originally used by the Rover Company for a boxy four-wheel drive, off-road model, launched in 1948—now known as the Land Rover Series, it is today regarded as a British icon. It was granted a Royal Warrant by King George VI in 1951, and 50 years later, in 2001, it received a Queen's Award for Enterprise for outstanding contribution to international trade.Over time, Land Rover grew into its own brand (and for a while also a company), encompassing a consistently growing range of four-wheel drive, off-road capable models. Starting with the much more upmarket 1970 Range Rover, and subsequent introductions of the mid-range Discovery and entry-level Freelander line (in 1989 and 1997), as well as the 1990 Land Rover Defender refresh, the marque today includes two models of Discovery, four distinct models of Range Rover, and after a three-year hiatus, a second genaration of Defenders have gone into production for the 2020 model year—in short or long wheelbase, as before.

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Je, Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere angependa tuwe na Tamasha na Land Rover Arusha au tupambane zaidi na Maadui wakuu wa nchi aliowataja?

    Halafu wenye Akili Kubwa tukisema kuwa Tanzania ya sasa huenda ikawa na Viongozi Wehu zaidi mnaanza Kuchukia.
  2. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kinachofanyika Arusha Ni Land Rover Parade, sio Land Rover Festival

    Festival ni maadhimisho yanayoadhimishwa kila msimu na ambayo huwa yanaendana na utamaduni wa jamii fulani hasa yakiendana zaidi na dini, sanaa au mtindo wa maisha wa muda mrefu, mfano mzuri ni Diwali Festival, Halloween, Oktoberfest, Rio Carnival, Sauti za Busara n.k Kinachofanyika huko...
  3. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Makonda: Kesho kama huna gari aina ya Land Rover, baki tu nyumbani!

    Wakuu, Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho ambayo kutakuwa na tukio kubwa la Land Rover Festival ambalo linafanyika huko jijini Arusha kama huna gari aina ya Land Rover paki tu gari lako nyumbani. Makonda amesema kuwa kwa kuwa kesho kutakuwa na msafara wa gari...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Godbless Lema: Land Rover Festival ni mkakati wa watu wasijiandikishe

    Uandikishaji kwenye Daftari la Wapigakura wa Serikali za Mitaa umeanza rasmi leo, tarehe 11 Oktoba, 2024, na utaendelea hadi Oktoba 20, 2024. Hatua hii inampa fursa kila Mwananchi mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 27...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Team Land Rover wapita Mwenge kwa Mbwembwe kuelekea Arusha kwa Makonda kwenye Land Rover Festival

    Mambo vipi Wakuu! Team Land Rover wako njiani kuelekea Chuga wakitokea Dar es Salaam, na hivi ndivyo walivyopitia Mwenge, kuelekea Arusha ambako wanataka kwenda kuandika historia Jumamosi hii kwenye tukio la Land Rover Festival 2024, tamasha la kwanza la aina yake katika viwanja vya Magereza...
  6. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya Land Rover festival Arusha inatoka kwenye fungu gani la bajeti?

    Gharama za Land rover festival Arusha zinatoka kwenye fungu gani kwenye bajeti? Media, kwenye speeches hiyo festival inatajwa kama vile ni jambo la kipaumbele zaidi kuliko Afya, Elimu, barabara na maji. Kipaumbele vyetu Kwa sasa ni Festivals?
  7. Q

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia

    https://www.youtube.com/live/SVGXG6yMBgM Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara Tundu Lissu amezungumza hayo mbele ya wanahabari leo, Jumatano Septemba 25.2024, jijini Dar es Salaam Kiongozi wa kikosi cha mauaji dhidi yangu mwaka 2017 alikuwa Paul Makonda. Aliwaongoza wauwaji walionipigia...
  8. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Land Rover ya Sugal Mohamed iliyomtorosha Nyerere asikamatwe

    MZEE SUGAL MOHAMED ALIVYOMTOROSHA MWALIMU NYERERE ASIKAMATWE NA MAKACHERO na Guled Issa Mzee Sugal Mohamed ni moja ya majina ya mashujaa yanayopaswa kuingia katika historia ya mashujaa waliojitolea katika kuwakinga viongozi wa harakati za uhuru wasidhalilishwe na wakoloni wakati wa kupigania...
  9. C

    JamiiForums Tanzania Land Rover Discovery 3 Vs Subaru Forester XS

    Wakuu nakuja humu kuomba wataalam kunipa ushauri Nina Subaru Forester XS 2.5 ya 2009 nataka kuiuza nihamie Land rover Discovery 3 ya 2005. Je wenye uzoefu wa Discovery 3 Hali ipoje Kwa spea, mafundi?
  10. Mukulu wa Bakulu

    JamiiForums Tanzania Kwanini pamoja na kuwa Land Rover ni kampuni ya kiingereza lakini magari yake sio maarufu Uingereza?

    Land Rover ni kampuni ya Uingereza, Land Rover ndio hutengeneza magari kama Range Rover, Discovery nk lakini kwenye taarifa ya Serikali magari ya kampuni hiyo hayako hata kwenye top 20 ya magari yanayopendwa Uingereza. Angalia taarifa hii ya Mwezi December 2022, kwenye category zote za Pure...
  11. Rubo Motors Tanzania

    JamiiForums Tanzania Kwa mahitaji ya kuagiza magari kutoka Japan,Dubai,na UK, tuone "Rubo Motors

    Hasa kwa watu wa Kanda ya Ziwa na mikoa Jirani. Kwa mahitaji ya kuagiza magari kutoka Japan,Dubai,na UK, tuone "Rubo Motors Tanzania" magari tuagizayo ni Fuso, Canter,Hino,Isuzu,Rosa bus,Coaster,Nissan,na magari madogo ya kutembelea. Malipo ni awamu mbili. ambayo ni malipo ya awali na malipo...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Land Rover Discovery 3

    Land Rover Discovery 3 Inauzwa.., Gari haina tatizo lolote, Ipo katika hali nzuri sana. Model ya 2005, Automatic transmission, Milleage ni 100,000 kms. Kwa maelezo zaidi +255(0)694-206924 or +255(0)713-668656 Bei; Tsh. 58M (inazungumzika) Selling Land Rover Discovery 3.., The Car is in perfect...
  13. Bavaria

    JamiiForums Tanzania Introducing New Range Rover Sport

    Hizi stunt sio za kawaida. Nimewakumbuka wale wazee wa reliability.
  14. J

    JamiiForums Tanzania Land Rover Discovery inauzwa

    Year of manufacturer 2001,km 147,000 Speed Limit 220 Manual transmission, Fuel :petrol No history of Road accident, no mechanical fault/damage to Engine,Price 16M, Owner Contact :0789737699, location Mwanza.
  15. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania New Land Rover Defender 130 model 2021

  16. KIMOMWEMOTORS

    JamiiForums Tanzania Special thread: Kutana na waagizaji wa magari kutoka Japan

    HABARI YA MAJUKUMU? KIMOMWE MOTORS (T) LTD, TUNAPENDA KUKUKARIBISHA KUAGIZA GARI LAKO KWA GHARAMA NAFUU, HARAKA NA UHAKIKA KUPITIA KAMPUNI YETU. VILE VILE TUNAKUKARIBISHA KATIKA FURSA YA BIASHARA YETU NA UKAWEZA KUTENGENEZA KIPATO CHA ZIADA ENDAPO TU UTAWEZA KUAGIZA GARI AMA KUMLETA MTEJA...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Landrover 09 (marufu rover ya Nyerere) na land rover discovery za sasa wapi watengenezaji wanakosea nahisi kutafta tena 09

    Nipo tayari kuitwa mshamba, nimezaliwa nimeikuta landrover 09 na hadi Leo IPO kule kijijini, lakini landrover discovery, defender ni mbovu sana trip pori trip gereji wapi watengenezaji wanakosea sasa, kifupi napenda brand najiona kutafta rover 09 tena siku za usoni, wapi ntakuwa nimekosea
  18. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Land Rover Discovery 2 TD5

    Wapendwa poleni kwa majukumu Naomba kujua mambo ya msingi kwa gari tajwa hapo juu 1. Ulaji wa mafuta 2. Upatikanaji wa spea 3. Magonjwa ya mara kwa mara 4. Uimara wa gari hasa kwenye bara bara za vumbi Natanguliza shukran
  19. Huntsman

    JamiiForums Tanzania Agiza spea za Magari ya Ulaya aina zote hapa kwa bei nafuu

    habari wakuu? Ninajihusisha na uagizaji wa Spea za magari ya Ulaya... Kwa muhitaji yeyote anaweza kuni PM au akacomment hapa nitakusanya request kisha nitareply kwa Bei zetu. Bei ni nafuu na spea ni Original Kwa sababu ya changamoto ya mtaji hatuna stock bali tunaagiza moja kwa moja Ulaya kwa...
Back
Top Bottom