labda

(13E)-labda-7,13-dien-15-ol synthase (EC 3.1.7.10, labda-7,13E-dien-15-ol synthase) is an enzyme with systematic name geranylgeranyl-diphosphate diphosphohydrolase [(13E)-labda-7,13-dien-15-ol-forming]. It catalyses the reaction

geranylgeranyl diphosphate + H2O






{\displaystyle \rightleftharpoons }

(13E)-labda-7,13-dien-15-ol + diphosphate
The enzyme from the lycophyte Selaginella moellendorffii is bifunctional

View More On Wikipedia.org
  1. Stability

    JamiiForums Tanzania Unaweza sema mwamba anasikitikia kazi ilivyo ngumu lakini anawaza ni style gani atayomkunja bebi akishapata posho jioni

    🤣
  2. Stability

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka yule manzi wa "mkeka ndo nini au ndo zile ngozi waliolalalia slaves (watumwa)" , jana kanifanyia surprise

    Watoto wa kishua bwana kumbe wanajua kupika
  3. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Rai yangu ni picha za majeruhi hoi na kukatwa viungo kutokana na ajali za boda zisambazwe kwa hawa madereva boda boda labda wanaweza kubadirika.

    Yani boda boda na kujitoa ufahamu..:👇🏻
  4. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Nauliza tu hivi Polepole angeendelea kuwa Mwenezi CCM Taifa au Balozi wa Cuba haya anayoyafichua sasa Serikalini na CCM alipanga kutuambia lini labda?

    Tafadhali nawaomba mlio nae karibu na kumuunga mno mkono mniulizie hili Swali kisha ama Yeye au Nyie mje Kunijibu.
  5. E

    JamiiForums Tanzania MAMA SAMIA HANA KIPENGELE LABDA KIPENGELE UJE NACHO WEWE

    Sina mengi ya kuongea, Kipengele uje nacho wewe Asanteni sana
  6. H

    JamiiForums Tanzania Polepole ni CCM na CCM ni Polepole hakuna jipya

    Ukiwa na akili na uelewa wala huulizi nini anafanya polepole kwani iko wazi anachofanya ni kuwahamisha wananchi kutoka kwenye umakini na kuwachanganya wasahau yanayowasibu. Polepole hana jipya labda kama lakini kwa mdomo mtu kama Lissu,Silaa,Rungwe,nk t
  7. britanicca

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nimetonywa: Mauzi kumfuata wa Kisesa, labda muandika Majina ya vita Kagera amalize mchezo maana dada Kaitwa

    Dada mtu kaitwa kwa Bwana mkubwa muandika Majina ya waenda vita ya Kagera hapo pembeni baada ya kusikia Kaka na Baba wana afiki kabisa Jamaa kutua kwenye usajili Mpya ! Kuna taarifa kwamba atahakikisha anakinukisha japo naye ananuka Kesho Saa tano Mpaka kumi kwaweza kuwapo Breaking Nyuziiii...
  8. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni 80s na 90s kid na haukuangalia hizi movies utotoni wakati unakuwa basi labda ulikulia msituni

    1: Rambo (1, 2, 3) 2: Predator 3: Commando 4: Sarafina 5: Neria 6: Blood sport 7: Enter the dragon 8: Drunken master 9: Rocky 10: Tai chi master 11: Lion king 12: Titanic 13: Anaconda 14: Coming to america 15: Blade 16: Friday 17: Scarface 18: Terminator (1, 2) 19: Deadly prey...
  9. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Aisee kongole sana kwa AI, kuna vitu imenipa solution wmbavyo labda ninge gharamika pesa na muda kuvipata

    Kuanzia tiba, marekebisho, mpangilio, garden yangu, etc Mimi natumia GROK a.i, wewe mwenzangu unatumia a.i ipi?
  10. H

    JamiiForums Tanzania Kwa Tanzania kufanikiwa labda wabunge wasiwe wasomi, maprofesa,nk

    Nasema hivyo kwa maana kuwa wasomi wa Tanzania ndiyo wanaongoza kwa kutofikiria na wametanguliza masilahi yao kiasi kwamba hata ndugu/familia zao hawawajali wamekalia uzungu na usasa badala ya kuisaidia jamii inayowazunguka kupitia ujuzi/elimu waliyonayo. Sasa kama msomi hawezi kuitumia elimu...
  11. K

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Natamani Viongozi wa Wilaya na Mkoa Katavi wangekuwa wanatumia Vyoo vya Stendi ya Mizengo Pinda labda wangevijali

    Leo Julai 16, 2025 nilikuwa nasafiri kutoka Mpanda kuelekea Sumbawanga, nikiwa Stendi Kuu ya Mabasi ya Mizengo Pinda nilienda msalani, jambo la kushangaza na kutisha nimekuta vyoo upande wa Wanaume sio tu vichafu bali vimejaa maji taka hadi juu. Naziomba mamlaka hususani hasa Mkurugenzi wa...
  12. Bueno

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Eeenhe Ndio hivyo sasa kwani Nini?

    Soma mwenyewe uone mimi sina haja ya kukuandikia kila kitu
Back
Top Bottom