kwenda

Kwenda Mission High School is an 'O' and 'A' Level boarding school in Mashonaland East Province in Zimbabwe.
The school is situated about 150 km south of the capital city Harare. Located in the Chikomba Area, Kwenda Mission High School offers "O" and "A" Level education for both girls and boys. The mission was opened in 1892 by Methodist (Wesley) Missionaries. Mr Manhera is the current headmaster and Rev Dr Muwanzi is the current principal as well as chief administrator of the institution.
It is one of the seven mission schools run by the Methodist Church in Zimbabwe. Its sister schools are Waddilove High School in Marondera, Chemhanza High School in Wedza, Tekwane Mission in Matebeleland, which was among the first mission stations opened by the missionaries in the 19th century, Sandringham High School in Norton, Pakame High School in Shurugwi and Moleli High School in Makwiro.

View More On Wikipedia.org
  1. dalalitz

    JamiiForums Tanzania Mchakato wa kutuma maombi ya kuhamia Marekani kwa kuishi na kufanya kazi unaanza rasmi leo

    Hii nimeizungumzia sana sana hapa na kwenye baadhi ya vilinge nje ya hapa. Pia wadau wengi wamekuwa wakiifafanua hapa na nje ya hapa pia. Nia na lengo ni kulishana taarifa sahihi. Sasa kwa wale mliochelewa kuijua inahusu nini au inahitaji nini ili kuweza kushiriki. Ni rasmi sasa DV-2026...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Umewahi jiuliza kama Israel akirusha Mabovu 200 kwenda Irani nini kitatokea ?

    Kama moja tu lilichimba mpaka handaki
  3. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Sishauri kwa kijana ambaye amesoma kwenda kujitolea JKT

    Habar zenu Sababu zangu zinanzo nifanya nikate kwakijana mwenyewe elimu degree au diploma au masters kwenda jeshini yaani kujitolea Kwaza, unaenda kuua career yako mwenyewe uwezi kuwa competent katika taaluma yako ambayo umesomea kwasababu kule elimu inawekwa pembeni nguvu inatumika so that...
  4. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CAF Referee training ipo Tanzania. Ila marefa wa Tanzania hawataki kwenda

  5. Ricky Blair

    JamiiForums Tanzania Nchi yako ya ndoto unayotamani kwenda ni ipi?

    Ni nchi gani kati ya hizi unazotamani sana kwenda kutembea au kuishi ungekuwa na uwezo?
  6. Tanki

    JamiiForums Tanzania Kwa Dar es salaam. Ni wapi naweza kwenda kusoma kozi ya Store keeping japo Nipatie Certificate tu.

    Nitashukuru zaidi kama utaniambia na Bei ya hiyo kozi na muda wake hadi kozi kuisha. Natanguliza shukrani
  7. S

    JamiiForums Tanzania Mkandarasi wa barabara ya Mbeya mjini inayokwenda kwenda Zambia amesusa kutokana na kutolipwa na serikali?

    Wakuu, weekend hii nimeingia Mbeya kwa ku-drive toka Dar, na nikashangaa sana kukuta maendeleo kidogo sana ya ujenzi wa hii barabara ya kwenda Tunduma hadi Zambia toka nitembelee hapa miezi minne iliyopita. Nimeuliza wenyeji kwa nini kasi ya ujenzi wa barabara hii uko chini kiasi hiki...
  8. MUWHWELA

    JamiiForums Tanzania Tunashindana kwenda tusipopajua~1

    Habari njema ni kwamba unao UHAI basi jipe shukrani na shukuru viumbe wengine. Nitajikita kwenye jambo moja tu ambalo binafsi naliona kama ni tatizo la msingi kabisa (Mashindano Katika mambo yanayohitaji ushirikiano). Elimu ni nyenzo muhimu sana katika ustawi wa MTU mmoja mmoja, familia na...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Zimebaki chini ya siku 90 ndugu zetu wa Kaskazini kwenda kuhesabiwa.

    Kama ilivyo kawaida yao ndugu hawa kila mwisho wa mwaka kuanzia tarehe 15 Desemba na kuendelea, huenda kuhesabiwa kwenye asili yao mikoa ya Kilimanjaro na Arusha. Majiji kama Dar es Salaam, Arusha na Dodoma watu huwa wana pungua na hata foleni ya magari pia. Kila la heri.
  10. ndiuka

    JamiiForums Tanzania Iringa Barabara ya kwenda Ipogolo tupo foleni kwa saa moja sasa

    Bara bara ya kwenda ipogolo ina jam tuko foleni lisaa sasa gari hazipandi wala kushuka wahusika toeni msaada
  11. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Sakata la Lissu v Tigo: Serikali haitahusika kama hakuna barua za Serikali kwenda Tigo

    Kwema Wakuu! Serikali haitahusika Kwa namna yoyote Ile Ikiwa haikuandika barua Wala Kûtuma email kwenda Kampuni ya Tigo kutaka kuingilia faragha na tàarifa za LISU. Mambo ya serikali Kwenda Kwa makampuni au mashirika hufanywa kiofisi na barua lazima ihusike. Mawasiliano yoyote àmbayo...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Wale Tulisoma Advanced kwenye Shule za Technical

    Mimi ni mmoja wapo wa tuliosoma advance kwenye hizi shule za ufundi yaani Technical Secondary School wakati Olevel nimetokea shule ambazo sio ya ufundi. Shule zile ni zuri sana kwa Olevel kwa sababu wana jifunza ufundi kwa vitendo, wana karakana na mitambo ambayo inawasaidia kupata ujuzi...
  13. Bob Manson

    JamiiForums Tanzania Nipo Magomeni na sioni mtu. Mko wapi tuanze safari kwenda mnazi mmoja?

    Nimefika hapa Magomeni, sioni watu wala kikundi cha watu, mkowapi ndugu zangu waandamanaji niungane nanyi?
  14. kavulata

    JamiiForums Tanzania Tunaandamana kwasababu gani, kutoka wapi kwenda wapi kwa nani?

    Hebu nielimisheni, watu wanatakiwa kwasababu gani? Maandamano yanatoka wapi kuelekea wapi? Nani atayapokea maandamano na Hatima kabisa ya maandamano ni nini?
  15. S

    JamiiForums Tanzania Tahadhali kwa wenye mamlaka: Watu wamekataa tamaa na hawaogopi tena risasi wala kukaa mahabusu au kwenda jela

    Jana niliweka uzi hapa nikionya watawala kuwa unyanyasaji ukizidi, unafanya watu wafike point of no return na wanakuwa tayari kwa lolote: kuuwawa, kuumiziwa, kufungwa jela, n.k. Nilisema kadri watu wanavyouwawa, kuteswa, kupotezwa, n.k, wanaobaki wanajengea ujasiri na wanafikia hatua wanaona...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Breaking News: Maelfu ya Vijana Wakutana Kuunga Mkono Rais Samia na Kuonya Dhidi ya Vurugu Nchini

    Kizazi kipya kwa maendeleo ya taifa! Vijana tunaungana na kutoa msimamo rasmi wa kumuunga mkono Mhe. Rais Samia kwa uongozi wake mahiri na jinsi alivyowekeza kwa vijana na kuwataka wanasiasa na wanaharati kumaliza mambo yao kwenye meza ya mazungumzo. Wasitumie vijana vibaya na kuwapotosha. Pia...
  17. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Je una safari ya kwenda nje ya nchi? VISA INTERVIEW QUESTIONS:-

    VISA INTERVIEW QUESTIONS 1. What is the purpose of your visit?: Be prepared to explain the reason for your trip, whether it's for tourism, business, education, or visiting family and friends. 2. Have you visited this country before?: Provide details about any previous visits, including the...
  18. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha. My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya...
  19. F

    JamiiForums Tanzania Kwenda kumuangalia mtoto ukweni unatakiwa uende na nini?

    Wakuu msaada aisee vp kwenda ukweni unatakiwa kwenda na nini? Au vizawadi gani? Wakuu naombeni msaada aisee na natakiwa nivaaje? Aisee Nimejichanganya aiseee!!!
  20. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Haya wale Wazee wa Ramani njia gani ni rahisi ukiwa Kampala Uganda na unataka kwenda Mara Tanzania kati ya kupitia Kenya Migori na Mutukula Kagera?

    Na je, ni ipi ambayo nitatumia muda mfupi na ipi ambayo nitatumia muda mrefu? Na ipi ina Mabasi yaliyo Luxury tu? Sitani Mtani wangu Arovera uchangie huu Uzi wangu kwani kwa Ushamba wako wala hujawahi Kusafiri popote sawa?
Back
Top Bottom