Matukio ya watu kuvamiwa majumbani mwao na watu wanaodaiwa kuwa ni polisi yamezidi sasa.
Cha kushangaza, polisi nao huja kukanusha kuwa haikuwa wao.
Mfano, uvamizi kwenye nyumba ya mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali hapo jana.
Watu hao wakiwa wanavamia, hujitambulisha kama polisi...