Mchambuzi wa masuala ya siasa na mwanasiasa mkongwe, Said Miraj, amesema serikali ina jukumu lisilopaswa kupuuzwa katika kulinda maisha ya wananchi, akisisitiza kuwa uhai wa mtu ni thamani kubwa inayolindwa na Katiba.
Akizungumza katika mahojiano maalum na Force News, Miraj amesema Katiba ya...