kutoa mimba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Mexico: Mahakama Kuu yasema ni kosa kumshtaki au kumzuia Mwanamke kutoa Mimba

    Mahakama Kuu ya Mexico imeamua kuwa uhalifu wa utoaji mimba ni kinyume cha Katiba, kwa kura ya pamoja Jumanne, uamuzi ambao utawawezesha wanawake wa Mexico kote nchini kutoa mimba bila kizuizi. vigezo vya mahakama na Katiba, kumshtaki mwanamke anayetoa mimba katika kesi zilizoidhinishwa na...
  2. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Ohio, Marekani: Polisi wamkamata Padre kwa kukemea utoaji mimba

    Pichani ni tukio lililotokea huko nchini Marekani Polisi wa Ohio wamemkamata Padre Fidelis Moscinski CFR mapema leo kwa kosa la kusali na kukemea utoaji wa mimba.
  3. MTV MBONGO

    JamiiForums Tanzania Nawakumbusha tu: Kutoa mimba ni kuua, tujihadhari na dhambi hii kubwa kuliko maelezo

    Huwa kuna kishawishi kuwa Mimba ni Kama kauvimbe tu, kwa hakika hata Kama ni mimba ya siku moja, kuitoa ni dhambi na wale wote wanaoshiriki kuitoa mf. Madaktari na Wauguzi waliofanikisha Mpango huo, Mume au boyfriend aliyesupport kwa namna yoyote, wote wana hatia mbele ya Muumba. Kila kiumbe...
  4. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Je, Dawa za Minyoo zinatoa mimba?

    Wandugu wapendwa, Poleni sana na kazi za ujenzi wa taifa na kujitafutia mkate wa kila siku. Ninaishi na girl friend wangu ambaye siku ni mfanyakazi wa kampuni moja ya bima hapa DSM. Wiki iliyopita aliniambia kuwa amepata ujauzito na anahisi una umri wa mwezi mmoja. binafsi nilifurahishwa...
Back
Top Bottom