Kwa wale wanasimba.
Msimu wa 24/25 kuna mambo yametokea ambayo wanasimba wamedhurumiwa kwa nguvu.
1. Simba waligoma kucheza mchezo wowote hadi wahuni waliosababisha vurugu kuelekea mechi ya March 8 washughulikiwe.
Kinyume chake Simba waliendelea kucheza mechi, mashabiki na wanachama...