kura za maoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    Mwanahabari Manyerere Jackton akiri kwa mchakato wa maoni CCM uligubikwa na rushwa

    Wakuu Akizungumza alipokuwa katika mahojiano kwenye kipindi cha Medani Kuu na Edwin Odemba alisema: “Nilishindwa Uchaguzi ndani ya CCM kwenye kura za maoni 2025 katika Jimbo la Butiama kwa kuwa sikutoa Pesa wenzangu walitoa"
  2. DuaZaMama

    Victor Mhagama aongoza kura za maoni jimbo la Peramiho ( 3040)

    Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Songea Vijijini mkoani Ruvuma, Juma Nambaila, akitangaza matokeo ya kura za maoni katika Jimbo la Peramiho.Walioongoza ni Victor Mhagama kura 3040. Getrude Haule kura 2913 na kizito Mhagama kura 943 na baada ya hapo mchakato unaofuata vikao vya ngazi...
  3. Mafyangula

    GE2025 Utafiti wa CIP-Africa: Dkt. Samia aongoza kura za maoni kwa asilimia 84.5 kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Nimeona hii ni mashairi tu yanaendelea kumpendezesha huyu mama Kizimkazi hakuna lolote hapo. Je Lissu angeshiriki ingekuwaje maana na amini kwa asilimia kubwa watu wangempigia kura hizo za maoni bwan Lissu, na je wangetangaza? ================== Kituo cha Sera za Kimataifa-Afrika kwa kiingereza...
  4. JanguKamaJangu

    GE2025 Michael Kimbaki aliyekuwa Mbunge wa Tarime Mjini asema haungi mkono Ubunge kuwa na ukomo wa Miaka 10

    Michael Kimbaki, Mshindi wa Kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kuwania Ubunge Jimbo la Tarime Mjini, amekubali maamuzi ya Kamati Kuu ya CCM yaliyompendekeza Ester Matiko kuwa mgombea Ubunge wa Jimbo hilo. Hata hivyo, Kimbaki amesema haungi mkono wazo la kuzuia Wabunge...
  5. Girland

    GE2025 Je, CCM imeheshimu maoni ya wajumbe kwenye kura za maoni uchaguzi wa wabunge wa CCM? Au ni kuwasumbua tu wajumbe?

    TUJIULIZE JE,Kuna haja ya wajumbe wa CCM kupiga kura ya MAONI ilhali wakijua ni NEC ndiyo inachagua Wabunge?.Je kufanya hivi siyo kuliuza haki za wajumbe waliopiga kura?.Baada ya Kamati kuu ya CCM yaani NEC kutangaza majina ya wagombea ubunge wa CCM ,Vilio vimesikika maeneo mbalimbali ya...
  6. Just Pray

    GE2025 Wanatuletea mtu ambaye hatukumchagua, maana ya kura za maoni ni nini?

    Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Tarime Mjini wameandamana kwenye ofisi za Chama hicho kupinga hatua ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa kumuengua mshindi wa kura za maoni katika jimbo hilo Michael Kembaki na kumteua Esther Matiko aliyeshika nafasi ya tatu kuwakilisha chama hicho kwa ngazi...
  7. O

    GE2025 Ni wangapi umu Jukwaani Mmeshagundua mchezo wanaoucheza CCM? Wa kuengua Walioshinda kura za maoni na kuweka walioshindwa!

    Kiukweli nasikitika sana kuona kadri miaka inavyoenda Jukwaa hili linazidi kuwapoteza watu ambao ni Great Thinkers na badala yake Jukwaa kwa sasa lmejaa watoto ambao ata kung'amua michezo kama hii wa nashindwa! Iko hivi,. CCM wa nachokifanya ni kuwaengua wale watu ambao walipata kura nyingi...
  8. Liverpool VPN

    GE2025 Hivi kura za maoni za Wajumbe zinamaana gani ikiwa NEC ndio waamuzi wa uteuzi wa wagombea??

    Tulishuhudia kwa Magufuli 2020 Walioshinda kura za maoni hawakuteuliwa, wakaja kuteuliwa mpaka walioshika nafasi ya tano..!!! Imefika 2025, Samia nae hivyohivyo, Wagombea walioshinda wamekatwa. Kwa utafiti wangu mdogo ni wabunge 10 ambao walishinda kwenye kura za maoni ila wamechaguliwa...
  9. K

    Nitashangaa sana kama aliyeongoza kura za maoni jimbo la Rorya atateuliwa

    Kamati Kuu ya CCM iko kwenye mchakato wa kupitia majina na kuwateua wale watakaopeperusha bendera ya CCM kwenye uchaguzi ujao. Binafsi nitashangaa sana kama CCM itamteua mtia nia aliyeongoza kura za maoni Jimbo la Rorya . Huyu mtia nia hakushinda kwa haki.
  10. Tlaatlaah

    GE2025 Nawasihi watia nia wa CCM tuliopigiwa kura za maoni kuwa watulivu na kujiandaa kisaikolojia Agosti 23, 2025

    Lolote linaweza kutokea na yeyote miongoni tuliopigiwa kura za maoni anaweza kupendekezwa na kamati kuu ya ccm taifa na akaidhinishwa na halmashauri kuu ya ccm taifa, kua ndie atakaepeperusha bendera ya ccm uchaguzi mkuu wa october29,2025. CCM haina cha kupoteza uchaguzi mkuu huu, na yeyote...
  11. DodomaTZ

    Kilichotokea Msalala, Kura za maoni ni kama lilikuwa gulio la kura

    Kinyang'anyiro cha kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kusaka Wagombea Ubunge, uwakilishi na udiwani kilichofanyika nchini kote Agosti 4, 2025, kimefichua hatari kubwa inayokikabili chama hicho kikongwe ambayo kama haitadhibitiwa haraka basi kinaweza kuleta shida. Uchunguzi...
  12. K

    GE2025 Ninaiomba halmashauri kuu ya taifa kuchunguza ushindi wa mgombea aliyeongoza kura za maoni jimbo la Rorya

    Ratiba ya uteuzi wa watia nia kwa nafasi ya Ubunge inaanza tarehe 22 Agosti, 2025. Tayari kura za maoni zilikwishapigwa katika Majimbo yote. Kuna habari kuwa Katika Jimbo la Rorya wapiga kura wengi walinunuliwa kwa Rushwa na hivyo mshindi aliyeshika namba moja hakushinda kwa halali. Ninaiomba...
  13. Just Pray

    GE2025 Butiama: Wanachama wa CCM walalamikia kuenguliwa kwa jina la Mgombea udiwani aliyeshinda kura za maoni

    Hofu imetanda kwa baadhi ya wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Nyankanga, Wilaya ya Butiama, mkoani Mara, (wajumbe) baada ya uwepo wa fununu za kuenguliwa kwa mtia nia wa nafasi ya udiwani katika Kata hiyo Bw. Emmanuel Musuya, aliyeongoza katika kura za maoni na...
  14. Mindyou

    GE2025 Wana CCM Kondoa Vijijini wataka mchakato wa kura za maoni urudiwe

    Wanachama wa CCM Kata za Bereko na Kisese, wilayani Kondoa, mkoani Dodoma, wameuomba Uongozi wa CCM Taifa, kurudia kura za maoni kwa nafasi ya Udiwani na Ubunge wa Jimbo la Kondoa Vijijini, wakidai uchaguzi huo uligubikwa na vitendo vya rushwa ili kutoa fursa kwa wananchi kupata kiongozi bora...
  15. Roving Journalist

    GE2025 Mpina adai kuenguliwa kwa baadhi ya Wabunge kura za maoni CCM kunalenga kulea ufisadi

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amesema kuenguliwa kwa waliokuwa wabunge 28 katika katika kura za maoni za CCM akisema yamelenga kuondoa wabunge wanaouliza maswali na kutoa hoja bungeni. Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari leo Agosti 14 jijini...
  16. M

    GE2025 Kura za maoni zimefanya niwadharau Arusha mjini na Segerea

    Inakuwaje mnachagua mbunge mamluki aliyeishi jimboni miaka miwili tu Arusha mna akili kweli Segerea mnachagua Barabara mbovu jimboni
  17. Waufukweni

    GE2025 Zitto ambwaga Nondo kura za maoni ubunge Kigoma Mjini

    Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameibuka kidedea katika mchakato wa kura za maoni za kuwania Jimbo la Kigoma Mjini uliofanyika jana Jumanne Agosti 12, 2025. Katika mchakato huo uliofanyika mkoani Kigoma, Zitto ambaye ni mjumbe wa kamati kuu ya ACT Wazalendo, alipata kura 228...
  18. Waufukweni

    GE2025 Babu Tale akipika Mrenda baada ya kushinda Kura za Maoni Jimboni Morogoro Vijijini Kusini, Mashariki

    Babu Tale akipika ugali na mrenda, muda mfupi baada ya kutoka kwenye ofisi za chama Mvuha, siku moja baada ya kushinda kura za maoni Jimboni Morogoro Vijijini Kusini Mashariki kwa kupata kura 5,318 dhidi ya Omar Tebweta Mgumba aliyepata 1,310.
  19. L

    Kura Za Maoni Kufanyika Upya Jimbo La Hayati Ndugai Na Fomu Kutolewa Kwa Laki Tano

    Ndugu zangu Watanzania, Nawapendeni Sana Watanzania wenzangu. Habari ni Kuwa Kura za Maoni zitafanyika upya katika Jimbo la Kongwa Kufuatia kifo cha Hayati Jobu Ndugai aliyekuwa miongoni Mwa wagombea katika Jimbo hilo. Ambapo pia katika uchaguzi wa kura za Maoni za Awali kabla ya Kifo chake...
  20. Yoda

    Elon Musk awa kinara wa kura za maoni za mtu aneyechukiwa zaidi Marekani

    According to Gallup's latest poll, several current and former Trump administration officials have also seen plunging favorability ratings, including secretary of state Marco Rubio, and president Trump himself, setting the stage for a whirlwind midterm election next year. Trump has since tried...
Back
Top Bottom