Kazi ya Bunge ni kutunga sheria na hatimaye sheria iliyotungwa na Bunge hupelekwa kwa Mhe. Rais kuwekewa sahihi ili iwe sasa Sheria na ianze ktumika. Sasa ninauliza:-
Je, sheria ikitungwa na kuthibitishwa na Mhe. Rais na baadaye sheria hiyo ikaanza kutumika na kuonekana ina DOSARI.
Je...