Habari wana familia ya JF, unajua kwenye wengi pana mengi, na humu ndani hua watu wanapishna kwa hoja mpaka kujibizana vibaya .
Sasa nimeona nianzishe uzi huu ili kila memba ambaye anajua kwa namna moja ama nyingine amesha mkosea mtu iwe kwa makusudi au kwa bahati mbaya.
Basi ili kujenga...