Hi,
WanaJF nimeboreka nimekutana na bonge la ufufu, mdada kaniletea kadi ya harusi nikampongeza, ila nikampa swali bwagizi, Best ndio utaolewa je unafahamu maana ya ndoa, naomba majibu nione kama unafuzu ndoa.
Katoa majibu mafufu matupu, nikapata fursa tena ya mtarajiwa mwenza nae kaleta...