Wakuu .
Naombeni ushauri juu ya biashara gani nifanye sasa , yaani side hustle. Kwenye moja ya uzi hapa jf kuna thread ya "Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)"
Akaeleza kitu kimojawapo ni kuangalia hobby yako.
Binafsi mimi ni mtu ambaye hupoteza sana...
Katika harakati za kupambana na maisha, tunakutana na chanamoto hapa na pale ambazo wakati fulani unaweza kuona dunia imeisha na hakuna pakutokea, lakini amini kwamba hayo magumu unayopitia yana mlango wa mafanikio, usikate tamaa sababu kuna siku utapata ufumbuzi na magumu yote yabaki kama...
Habari zenu ndugu zangu, japo hatufahamiani ila uwepo wenu humu imekuwa ni faraja kubwa sana kwangu kwani mmekuwa watu wa kunipa furaha na kunifariji mara kwa mara,.
Leo nimeona ni bora nisiwaache mkafa bure bila ya kulitambua hili,
Ndugu yangu KUNA WAKATI KUKATA TAMAA HUWA NI CHAGUO SAHIHI...
Never give up.
Watu wanafanya kila liwezekanalo kupata majibu ya changomoto zao funfact majibu hayapatikani na hali inazidi kuwa mbaya. No ones care na sio kwa sababu watu wana roho mbaya hapana kila mtu ana msalaba wake.
Sometimes inabidi tuache maisha yaflow yenyewe jinsi yanavyotaka kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.