proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 5,379
- 6,924
Hivi karibu kuna nyuzi nyingi za watu kukata tamaa na kutaka kujiua, kuacha au kuachika katika mahusiano ya me na ke, biashara kugoma, kukosa kazi ya kufanya, kuchukiwa na ndugu jamaa na marafiki n.k
Ewe mwanadamu mwenzagu hukuzaliwa kwa bahati mbaya ndani ya ulimwengu huu. Huenda unapitia changamoto mbalimbali hadi unajiuliza kwa nini mimi tu? usikate tamaa pambana tu.
Wapo wenye changamoto za kiafya, mwingine ni kilema, mgonjwa wa kudumu lakini anapambana na kuishi.
Kuna wakati ukijitazama unatakiwa useme "Ee Mungu nashukuru kwa kunipa pumzi"
Shukuru jinsi ulivyo, wapo wanaokutamani. Cha msingi usiache kuomba dua.
Ukipata ugali ukala ukashiba lala, fanya unachokipenda, mazuri yanakuja zaidi. Usikate tamaa
Willium shake spare aliwahi kusema " ๐ ๐๐ซ๐ข๐๐ ๐ฐ๐ก๐๐ง ๐ ๐ก๐๐ ๐ง๐จ ๐ฌ๐ก๐จ๐๐ฌ ๐๐ฎ๐ญ ๐ ๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ฉ๐๐ ๐๐ซ๐ฒ๐ข๐ง๐ ๐ฐ๐ก๐๐ง ๐ ๐ฌ๐๐ฐ ๐จ๐ง๐ ๐ฐ๐ข๐ญ๐ก๐จ๐ฎ๐ญ ๐ฅ๐๐ ๐ฌ".
Ipo miziki, picha za kuvutia, na nukuu (quotes) za watu mbalimbali za kutia moyo usisite kutuma hapa.
Usisi ku-follow Nofap
wako proton pump a ๐๐ ๐ฆ๐โ๐๐กโ๐๐๐๐๐๐ ๐ก. Njoo PM kwa maelezo zaidi.
Moderator naomba undoa neno tetesi kwenye heading
Ewe mwanadamu mwenzagu hukuzaliwa kwa bahati mbaya ndani ya ulimwengu huu. Huenda unapitia changamoto mbalimbali hadi unajiuliza kwa nini mimi tu? usikate tamaa pambana tu.
Wapo wenye changamoto za kiafya, mwingine ni kilema, mgonjwa wa kudumu lakini anapambana na kuishi.
Kuna wakati ukijitazama unatakiwa useme "Ee Mungu nashukuru kwa kunipa pumzi"
Shukuru jinsi ulivyo, wapo wanaokutamani. Cha msingi usiache kuomba dua.
Ukipata ugali ukala ukashiba lala, fanya unachokipenda, mazuri yanakuja zaidi. Usikate tamaa
Willium shake spare aliwahi kusema " ๐ ๐๐ซ๐ข๐๐ ๐ฐ๐ก๐๐ง ๐ ๐ก๐๐ ๐ง๐จ ๐ฌ๐ก๐จ๐๐ฌ ๐๐ฎ๐ญ ๐ ๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ฉ๐๐ ๐๐ซ๐ฒ๐ข๐ง๐ ๐ฐ๐ก๐๐ง ๐ ๐ฌ๐๐ฐ ๐จ๐ง๐ ๐ฐ๐ข๐ญ๐ก๐จ๐ฎ๐ญ ๐ฅ๐๐ ๐ฌ".
Ipo miziki, picha za kuvutia, na nukuu (quotes) za watu mbalimbali za kutia moyo usisite kutuma hapa.
Usisi ku-follow Nofap
wako proton pump a ๐๐ ๐ฆ๐โ๐๐กโ๐๐๐๐๐๐ ๐ก. Njoo PM kwa maelezo zaidi.
Moderator naomba undoa neno tetesi kwenye heading