Tetesi: Usijisikie kukata tamaa sasa karibu humu ndani tupeane moyo kwa kutuma picha na mziki unaojenga ubongo, pia kutoa maoni yanayojenga afya

proton pump

JF-Expert Member
Apr 30, 2017
5,379
6,924
Hivi karibu kuna nyuzi nyingi za watu kukata tamaa na kutaka kujiua, kuacha au kuachika katika mahusiano ya me na ke, biashara kugoma, kukosa kazi ya kufanya, kuchukiwa na ndugu jamaa na marafiki n.k

Ewe mwanadamu mwenzagu hukuzaliwa kwa bahati mbaya ndani ya ulimwengu huu. Huenda unapitia changamoto mbalimbali hadi unajiuliza kwa nini mimi tu? usikate tamaa pambana tu.

Wapo wenye changamoto za kiafya, mwingine ni kilema, mgonjwa wa kudumu lakini anapambana na kuishi.

Kuna wakati ukijitazama unatakiwa useme "Ee Mungu nashukuru kwa kunipa pumzi"

Shukuru jinsi ulivyo, wapo wanaokutamani. Cha msingi usiache kuomba dua.

Ukipata ugali ukala ukashiba lala, fanya unachokipenda, mazuri yanakuja zaidi. Usikate tamaa

Willium shake spare aliwahi kusema " ๐ˆ ๐œ๐ซ๐ข๐ž๐ ๐ฐ๐ก๐ž๐ง ๐ˆ ๐ก๐š๐ ๐ง๐จ ๐ฌ๐ก๐จ๐ž๐ฌ ๐›๐ฎ๐ญ ๐ˆ ๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ฉ๐ž๐ ๐œ๐ซ๐ฒ๐ข๐ง๐  ๐ฐ๐ก๐ž๐ง ๐ˆ ๐ฌ๐š๐ฐ ๐จ๐ง๐ž ๐ฐ๐ข๐ญ๐ก๐จ๐ฎ๐ญ ๐ฅ๐ž๐ ๐ฌ".
Ipo miziki, picha za kuvutia, na nukuu (quotes) za watu mbalimbali za kutia moyo usisite kutuma hapa.
Usisi ku-follow Nofap
wako proton pump a ๐‘๐‘ ๐‘ฆ๐‘โ„Ž๐‘œ๐‘กโ„Ž๐‘’๐‘Ÿ๐‘Ž๐‘๐‘–๐‘ ๐‘ก. Njoo PM kwa maelezo zaidi.
Moderator naomba undoa neno tetesi kwenye heading
 

Attachments

  • FB_IMG_1711196323562.jpg
    FB_IMG_1711196323562.jpg
    30.4 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1711032992356.jpg
    FB_IMG_1711032992356.jpg
    26 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1710921468357.jpg
    FB_IMG_1710921468357.jpg
    42.6 KB · Views: 3
Okay
 

Attachments

  • 255672378019_status_dd5646a0cff14459923fc60303ca9172.jpg
    255672378019_status_dd5646a0cff14459923fc60303ca9172.jpg
    39.1 KB · Views: 2
  • 255654957376_status_269c01bfdea349dd9e3ec812da244292.jpg
    255654957376_status_269c01bfdea349dd9e3ec812da244292.jpg
    33.1 KB · Views: 2
  • 255765039904_status_7834cb4209f145ba876f763a6f037a23.jpg
    255765039904_status_7834cb4209f145ba876f763a6f037a23.jpg
    20.3 KB · Views: 2
  • 255656754053_status_4d72643eece644628bea341c1c9f006b.jpg
    255656754053_status_4d72643eece644628bea341c1c9f006b.jpg
    67.2 KB · Views: 2
Ebungoja kwanza nione kama hizi picha zitafika...
 

Attachments

  • 1667140423666.png
    1667140423666.png
    142 KB · Views: 1
  • JamiiForums-1075771540.jpg
    JamiiForums-1075771540.jpg
    66.2 KB · Views: 1
  • tapatalk_jpeg_1568211858235.jpeg
    tapatalk_jpeg_1568211858235.jpeg
    18.3 KB · Views: 1
  • f3a60414519a94be5c00a6981827e4ba.jpg
    f3a60414519a94be5c00a6981827e4ba.jpg
    73.6 KB · Views: 1
  • 9d7fcee57d02bfa16e6b749b26ff402e.jpg
    9d7fcee57d02bfa16e6b749b26ff402e.jpg
    28.6 KB · Views: 1
  • JamiiForums-1714439195.jpg
    JamiiForums-1714439195.jpg
    13.3 KB · Views: 2
  • JamiiForums77508547.jpeg
    JamiiForums77508547.jpeg
    130.5 KB · Views: 2
  • download (8).jpg
    download (8).jpg
    9.2 KB · Views: 2
  • downloadfile-1.jpg
    downloadfile-1.jpg
    168.2 KB · Views: 2
Maisha yana kupanda na kushuka ishi maisha yako ya wengine usiyatamani maana hujui yalipatikanaje,,, pambania ndoto zako usikubali kurudishwa nyuma. Jichanganye na watu na usiwadharau au kujiona bora
 
Back
Top Bottom