NDUGU ZANGU...
Mnamo mwezi wa sita mwaka huu nikiwa nchini kenya.baada ya kuzunguka katika kaunti zake kazaa kikazi nikitokea dar es salaam tanzania (si mara yangu ya kwanza kwenda kenya) nimejikuta niko kaunti ya kisumu.nimekaa katika kaunti tangu tareh 20 mwezi wa saba,nimeondoka juzi tareh...
Kumekuwa na utaratibu wa kwenda polisi pindi mteja wa mtandao wa sim anapo potelewa ama kuibiwa sim yake ili kurejesha namba yake. Wata zania awapendi usumbufu pia tuna haiba ya woga, kwaiyo lipokuja suala la kwenda polisi kwa sababu kupotelewa na laini ya sim linakuwa changamoto kubwa sana...
Kumekuwa na utaratibu wa kwenda polisi pindi mteja wa mtandao wa simu anapo potelewa ama kuibiwa simu yake ili kurejesha namba yake.
Watanzania hawapendi usumbufu pia tuna haiba ya woga, kwa hiyo lipokuja suala la kwenda polisi kwa sababu kupotelewa na laini ya simu linakuwa changamoto kubwa...
Mbowe alisema wazo la “Chadema Msingi” ambayo ilikuwa na lengo la kuwasajili wanachama wapya kuanzia ngazi ya chini, alilipata akiwa gereza la Segerea baada ya kusoma kitabu cha mwanazuoni kutoka taasisi ya NDI, Jean Sharp kinachoitwa “From dictatorship to democracy: How to fight dictatorship”...
Sasa najiuliza ikiwa ripoti ya CAG imeonesha madudu je, ni jinsi gani sasa kama taifa tumeingiaje uchumi wa Kati? Ikiwa tumeibiwa Sana namna hii.
Kuna bandiko linatembea nazani ni kutoka timu Sukuma Gang kujibu tuhuma za Msoga gang.
=====
MWAMBIENI CAG, SISI TUMERIDHIKA!
1. Mwambieni CAG...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.