Baada ya ufafanuzi mzuri na ushirikiano kutoka kwa baadhi ya Wana Singida leo ni zamu yenu Wana Tabora(mboka Manyema)!!!haswa Tabora Manispaa
Maswali yangu ninayoomba kujua ni kuhusiana na Mkoa wa Tabora especially Tabora Dc hali ya maisha,kipato Cha wananchi,mitaa mizuri yakuishi,Nyumba za...
Wadau habari za weekend!
Naomba wenyeji ama yeyote mwenye ufahamu na mkoa wa Singida hususani wilaya Singida Dc anifahamishe yafuatayo.
1. Maisha ya pale kwa ujumla eg nyumba za kupanga kiasi gani, chakula, upatikanaji wa maji, hospitali, kabila gani wako pale ambao ni popular.
2...
Binafsi natumia account ya nmb chap chap, ambayo tulifunguliwa kwa msaada wa kampuni mahala tunapofanyia kazi.
Maafisa wa benki wakati wanaipigia chapuo tender hii walituambia makato ya nmb chapchap ni kwa kiwango cha sh,1150 pasi na malipo ya mwisho wa mwezi ukilinganisha na account zingne...
Habari za weend mabibi na mabwana! Hivi kuna wanaume wanaojiuza au kutoa huduma kama wanazotoa wanawake makahaba?? Yani nao wanajipanga kama kawa kuonesha ushindani wa viungo vyao ama inakuaje?? Vipi mwanamke ukihitaji wa kukukojoza na kukutoa nyegekwa muda then kilamtu nazake wapo?? Naomba kujuzwa
Ndugu wana jamii forum.
Naomba mwenye uzoefu wa tank zuri la kuhifadhia maji (Domestic use ) anielezee hapa nayaona mengi kama vile.
Kiboko, Simtank NK.
Ndugu zangu nimehangaika kutafuta pesa nikabahatika kuotea kama milion tatu sasa nataka kuendeleza hii milion tatu katika biashara
Lakini nimefikiria katika biashara ya kufanya wazo likanijia nifanye biashara ya M PESA ,,AIRTEL MONEY na TIGO PESA lakini sina uzoefu na hii biashara ..Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.