Hodi Wana Tabora, naomba kufahamishwa kuhusiana na Mkoa huu hususani Tabora DC

Masinki

JF-Expert Member
Dec 18, 2014
695
461
Baada ya ufafanuzi mzuri na ushirikiano kutoka kwa baadhi ya Wana Singida leo ni zamu yenu Wana Tabora(mboka Manyema)!!!haswa Tabora Manispaa

Maswali yangu ninayoomba kujua ni kuhusiana na Mkoa wa Tabora especially Tabora Dc hali ya maisha,kipato Cha wananchi,mitaa mizuri yakuishi,Nyumba za kupanga na bei zake,hali ya hewa,tabia na mwenendo wa wakazi wa Tabora!!!
Vyuo vilivyopo,sehemu za kutembelea weekend(bar,lodge,restaurant,hotel na maeneo mengine)hali ya usafiri,chakula upatikanaji wake,vitu pendwa,visivyo pendwa!!!
Warembo wapo au ndio Kama Mara kila mtu mbabe???na mengineyo
Nitashukuru kwa ushirikiano wenu
Ghetinya-Manchemwero,Tanzania
 
Kwa ufupi mboka ni pazuri tu kama mikoa mingine ya Tz!
1.
chakula ni bei rahisi yaani chai,lunch, dinner zooote ukiwa na buku tano unapata

2.sehemu nzuri ya kujirusha ipo inaitwa oxygen lounge (hapa kuna warembo a.k.a totoz, nyama, beer n.k kumbuka wajeda wapo weeengi usiibe demu wa mjeda ,Kuna disco pia,KITIMOTO
Pia kuna sehem inaitwa shimon ni karibu na oxygen
3.
Tabora kuna vibaka sana mitaa ya ipuli na isevya nje kidogo ya town
4.
Tabora ni uswahilini hivyo watu wavivu pia wapo, uchawi. N.k
5.
Kuna vyuo kama TANO ninavyo nakumbuka
SAUT, TABORA TTC, MUSOMA UTALII, NYAMWEZI TTC, UHASIBU

6.Kuna team ya mpira na viwanja viwil vizuri na pia kuna basketball chuo cha reli .

NB:UKIWA NA PESA UTAENJOY POOOOTE,
 
Chakula kizuri nenda Mayor Hotel. Siyo hotel, but ni kamgahawa kazuri kenye chakula Classic.

Ukitaka kupiga gambe, nenda Gamalo 'The Matrix' au Oxygen Lounge. Huko ndipo utapata pisi kali za Uhazili.

Vyuo vilivyopo ni UHAZILI, AMUCTA, ARDHI, MUSOMA UTALII na vinginevyo.

Maisha ya kawaida sana. Mtaa mzuri wa kuishi ni CHEYO.

Kuna vichaa na mazuzu wengi sana. Ila hawana noma. Hawakuzingui.

Mademu si wagumu. Ila mabwana zao ndiyo wagumu. Wakikujua watakuloga. Achana na wake za watu.

Pisi kali za Uhazili ni za kumwaga, ukienda pale getini kwao unajizolea. Kuwa na hela tu.
 
Kwa ufupi mboka ni pazuri tu kama mikoa mingine ya Tz!
1.
chakula ni bei rahisi yaani chai,lunch, dinner zooote ukiwa na buku tano unapata

2.sehemu nzuri ya kujirusha ipo inaitwa oxygen lounge (hapa kuna warembo a.k.a totoz, nyama, beer n.k kumbuka wajeda wapo weeengi usiibe demu wa mjeda ,Kuna disco pia,KITIMOTO
Pia kuna sehem inaitwa shimon ni karibu na oxygen
3.
Tabora kuna vibaka sana mitaa ya ipuli na isevya nje kidogo ya town
4.
Tabora ni uswahilini hivyo watu wavivu pia wapo, uchawi. N.k
5.
Kuna vyuo kama TANO ninavyo nakumbuka
SAUT, TABORA TTC, MUSOMA UTALII, NYAMWEZI TTC, UHASIBU

6.Kuna team ya mpira na viwanja viwil vizuri na pia kuna basketball chuo cha reli .

NB:UKIWA NA PESA UTAENJOY POOOOTE,
Kuna Gamalo na Blizz pia kwa sehemu za Bata. Pia nyongeza kuna chuo cha ARDHI na Chuo cha Reli.
 
Kwa ufupi mboka ni pazuri tu kama mikoa mingine ya Tz!
1.
chakula ni bei rahisi yaani chai,lunch, dinner zooote ukiwa na buku tano unapata

2.sehemu nzuri ya kujirusha ipo inaitwa oxygen lounge (hapa kuna warembo a.k.a totoz, nyama, beer n.k kumbuka wajeda wapo weeengi usiibe demu wa mjeda ,Kuna disco pia,KITIMOTO
Pia kuna sehem inaitwa shimon ni karibu na oxygen
3.
Tabora kuna vibaka sana mitaa ya ipuli na isevya nje kidogo ya town
4.
Tabora ni uswahilini hivyo watu wavivu pia wapo, uchawi. N.k
5.
Kuna vyuo kama TANO ninavyo nakumbuka
SAUT, TABORA TTC, MUSOMA UTALII, NYAMWEZI TTC, UHASIBU

6.Kuna team ya mpira na viwanja viwil vizuri na pia kuna basketball chuo cha reli .

NB:UKIWA NA PESA UTAENJOY POOOOTE,
Acha nianze kujifua self defence wajeda huwa wapuuzi sometime
 
Chakula kizuri nenda Mayor Hotel. Siyo hotel, but ni kamgahawa kazuri kenye chakula Classic.

Ukitaka kupiga gambe, nenda Gamalo 'The Matrix' au Oxygen Lounge. Huko ndipo utapata pisi kali za Uhazili.

Vyuo vilivyopo ni UHAZILI, AMUCTA, ARDHI, MUSOMA UTALII na vinginevyo.

Maisha ya kawaida sana. Mtaa mzuri wa kuishi ni CHEYO.

Kuna vichaa na mazuzu wengi sana. Ila hawana noma. Hawakuzingui.

Mademu si wagumu. Ila mabwana zao ndiyo wagumu. Wakikujua watakuloga. Achana na wake za watu.

Pisi kali za Uhazili ni za kumwaga, ukienda pale getini kwao unajizolea. Kuwa na hela tu.
Uchawi inaonekana ndio ngao yao ni Kama vile Kule MUSOMA ni mwendo wa Mapanga!!!
 
Naendelea kusoma na kufahamishwa kuhusu mkoa pendwa wa Tabora,,sipendi kwenda mahali bila kuelewa mazingira husika
 
Back
Top Bottom