kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    LGE2024 Njombe: Wagombea wa ACT Wazalendo Wilaya ya Ludewa na Wilaya ya Njombe waenguliwa wote

    Wakuu huko mkoani Njombe mambo yameendelea kutokota kwenye Uchaguzi wa serikali za mitaa. Nimekutana na hii clip imenipa sonona sana ambapo Katibu wa ACT Wazalendo mkoa wa Njombe, Stanley Mbembati, amesema kuwa wagombea wote wa ACT Wazalendo wilayani Ludewa wameenguliwa kwenye kinyang'anyiro...
  2. Cute Wife

    PreGE2025 DC Magoti akabidhi kipaza sauti kitangaze mikutano yake

    Wakuu, Vitu vingine mpaka vinachekesha, ni zaidi ya vituko!:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh: ===== Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa...
  3. Cute Wife

    PreGE2025 LGE2024 Waziri Abdallah Ulega: Mkuranga hatumdai Rais Samia chochote, hii ni sababu moja wapo ya CCM kushinda chaguzi zijazo kwa kishindo kikubwa

    Ni mwendo wa kuwa chawa tu mpaka uhakikishe kambo yako imefungwa vizuri kwenye mtu uanze kula! ==== Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 “Kwa namna ya...
  4. Cute Wife

    PreGE2025 Rais wa Wanafunzi UDSM: Wanafunzi wa Vyuo tutamchagua Samia

    Wakuu, Tunakuza chawa kuanzia vyuoni, namna hii wazee wataendelea kutuburuza kama wachache wenye akili wataendelea kulalamika badala badala ya kuchukua hatua na kubadilisha haya. ===== Kwa mambo aliyofanya kwa ajili ya wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu, Ikiwemo kuongeza Fedha ya Boom kutoka...
  5. Cute Wife

    LGE2024 Dodoma: CHADEMA yaapa kuwarejesha wagombea walioenguliwa Uchaguzi Serikali za Mitaa

    Mwenyekiti mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma, Aisha Madoga, ameahidi kupambana kuhakikisha wagombea wa chama hicho walioenguliwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa wanarejeshwa, akisisitiza kwamba watafanya hivyo bila woga hata kama hawatapendelewa na mamlaka...
  6. Mindyou

    LGE2024 Shinyanga: TAKUKURU yathibitisha uwepo wa rushwa kwenye Uchaguzi. Yadokeza Machawa kupelekwa Mbuga Za Wanyama na wapinzani kuhongwa ili wajitoe

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) katika wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga, hivi karibuni imeficchua kwamba baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wanatoa rushwa kwa wagombea ili kujitoa kwenye uchaguzi na hivyo kuwapa nafasi wagombea wao kupita bila upinzani. Soma pia...
  7. Mindyou

    LGE2024 Amos Makalla: Malalamiko yanayotolewa na vyama vya siasa kuhusu kuwekewa mapingamizi kwa wagombea ni upotoshaji!

    Wakuu, Baada ya kuwepo kwa sintofahamu ya kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani, Amos Makalla amejitokeza hivi karibuni na kusema kuwa vyama vya upinzani vinafanya upotoshaji Makalla amesema kuwa taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu wagombea wa upinzani kuenguliwa zimejaa upotoshaji kwani hata...
  8. Mindyou

    LGE2024 Father Kitima: Wizi wa kura ni dhambi, Viongozi wa dini mmekaa kimya!

    Wakuu wakati joto la uchaguzi likiendelea kushamiri, Padre Charles Kitima, Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) ameendelea kuhoji maswali mazito kuhusiana na jinsi mchakato ulivyo. Kitima amehoji maswali kuhusu ukimya wa viongozi wa dini kwenye uchaguzi akisema kuwa...
  9. Cute Wife

    LGE2024 Geita Mjini: CHADEMA walalamikia kuenguliwa kwa wagombea Uchaguzi Serikali za Mitaa

    Wakuu, Mambo ni moto kila sehemu, ni mwendo wa kuengua tu na kubakisha wa kupita bila kutoa jasho. ===== Viongozi na Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika Jimbo la Geita Mjini mkoani Geita, wamelalamikia kuenguliwa kwa majina ya wagombea wao wa nafasi za Uenyekiti...
  10. Cute Wife

    LGE2024 Makalla: CCM tumeweka mapingamizi, tunaamini haki itatendeka

    Wakuu, Ni mwendo wa maigizo tu mpaka kieleweke. ===== Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Itikadi Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, amewaomba wanachama katika maeneo ambayo wagombea wa CCM wamewekewa mapingamizi, kuwa watulivu kwani Chama kinaamini haki itatendeka kwa...
  11. Cute Wife

    LGE2024 Mwandishi wa Habari Mufindi: Rais Samia anafanya kazi nzuri, vijana dumisheni amani Uchaguzi Serikali za Mitaa

    Mwanadishi wa Habari unakuwa chawa, wananchi wanatapa watahabarishwa na kupaziwa sauti inapohitajika? ==== Ikiwa zimesalia siku chache kufanyika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, hamasa kwa Vjana imezidi kushamiri kushiriki uchaguzi huo huku wakiaswa kuwa mstari wa mbele tarehe 27/11/2024...
  12. Mindyou

    LGE2024 Goba: Mgombea wa CCM licha ya kutokuwa na kazi (jobless) amepitishwa lakini mgombea wa CHADEMA ambaye alikuwa ni dereva ameenguliwa

    Wakuu Huko Goba, wagombea wa CHADEMA wenye kazi rasmi wameenguliwa kwa madai kwamba shughuli zao hazitambuliwi kama kazi rasmi za kiuchumi. Hii ni tofauti na wagombea wa CCM ambao, licha ya kujitangaza kuwa hawana ajira (jobless), wamepitishwa kugombea. Hivi karibuni, mgombea wa CHADEMA katika...
  13. Mindyou

    LGE2024 Nachingwea: Asilimia 99 ya wagombea waliowekwa na CHADEMA waenguliwa kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa

    Wakuu, Uchafuzi wa Serikali Za Mitaa bado unaendelea. Hivi karibuni Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika Wilaya ya Nachingwea kimeeleza kusikitishwa na hatua ya kuenguliwa kwa wagombea wake kuelekea uchaguzi mdogo wa serikali za mitaa, licha ya wagombea hao kuwa na sifa stahiki...
  14. Cute Wife

    Mashindano ya Dk. Samia, Gekul Cup yahitimishwa Babati Mjini, washindi wajinyakulia Tsh. Milioni 1

    Wakuu, Ila siasa bwana, mnahenyesha watu wee kwa Milioni 1? Ila sisi wananchi tumekuwa cheap sana, na hatujui thamani yetu kabisa. Ni mwendo wa kutumiwa tu kila inapokaribia uchaguzi, na sisi bila hiyana kama nyumbu tunatimiza azma zao! ===== Mashindano ya Dk. Samia and Gekul yamehitimishwa...
  15. Mindyou

    LGE2024 Kada wa CCM: Kama mtu atakuwa hajaenda kuchagua au kuchaguliwa basi hata kwa Mwenyezi Mungu atakuwa hajatenda haki

    Wakuu, Hivi karibuni nimeona video moja ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Makambako, Hanana Mfikwa akizungumzia kutumia viongozi wa dini kuwahamasisha wananchi kwenda kupiga kura. Mfikwa alisema kuwa viongozi wa dini watumie ushawishi "kuwaelimisha" wananchi kuhusu kushiriki kwenye...
  16. Cute Wife

    PreGE2025 DC Wilaya Arusha Mjini: Wakataeni wanasiasa wanaohubiri siasa za chuki

    Wakuu, Tunaendelea katika episode nyingine ya Mama anaupiga mwingi na kunenepesha ng'ombe siku ya mnada! ===== Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini, Felician Mtahengerwa, ameendelea na ziara zake katika kata za Murieti, Olasiti, na Osunyai, akiwahamasisha wananchi kudumisha amani na mshikamano...
  17. Mindyou

    LGE2024 Mgombea wa CCM aliyeandika amezaliwa mwaka 2024 kwenye fomu, aripotiwa kupitishwa kugombea kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Wakuu, Kama mmeona hivi karibuni kumekuwa na mbinu ya kuwaondoa wapinzani kwenye uchaguzi kwa vigezo tofauti tofauti ikiwemo kuweka taarifa zisizo sahihi kwenye fomu za kugombea. Huyu ni mgombea wa CCM kwenye fomu yake amejaza amezaliwa Disemba 24, 2024 yani kwa lugha nyepesi amejaza fomu...
  18. Mindyou

    PreGE2025 Zawadi ya kimkakati: Mbunge wa Viti Maalum Stella Ikupa agawa kompyuta 34 kwa Jumuiya Ya Wanawake wa CCM

    Wanabodi, Hivi kweli kwenye nchi ambayo wanafunzi wanakaa chini na hawana hata vyoo huko mashuleni, mtu ambaye umeaminiwa na wananchi na wanawake wenzio kweli unaenda kugawa computers huko CCM? Wakati napita napita huko mitandaoni nimekutana na clip ya Mbunge wa Viti Maalum Stella Ikupa, akiwa...
  19. Cute Wife

    PreGE2025 Vijana Wazalendo Tanzania: Sisi ni waumini wa Demokrasia, tutachukua hatua kumlinda Rais

    Wakuu, Kumbe vijana Tanzania tumetoa tamko na hamsemi, mna siri nyinyi:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh: ==== Vijana Wazalendo nchini wamesema watandelea kumlinda Rais Samia kwa wivu mkubwa huku wakiwaonya baadhi ya Watanzania ambao wanafifisha juhudi za Serikali ya awamu ya sita kwa kutumia...
  20. Mindyou

    PostGE2025 CHADEMA and ACT Wazalendo voice their concerns after hundreds of their stronghold candidates are disqualified from Local Government Elections

    It has been recently reported that hundreds of opposition candidates in the upcoming local government elections have been disqualified from participating. The ACT Wazalendo party reported that approximately 60% of their candidates have been disqualified for reasons they claim lack legal and...
Back
Top Bottom