kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. upupu255

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Dkt. Biteko aahidi Milioni 10 kwa ukarabati wa Kanisa Jimbo la Geita

    Naibu waziri mkuu na waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Dotto Biteko ameahidi kutoa kiasi cha Tsh. Milioni 10 kwenye harambee ya Ukarabati wa jengo la kanisa Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima Kome iliyoandaliwa na Muhashamu Askofu Flaviani Katindi Kasala wa Jimbo Katoliki la Geita, kwa...
  2. upupu255

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge Eric Shigongo aahidi Milioni 5 kwa ukarabati wa Kanisa Kome

    Mbunge wa Buchosha Mhe. Eric Shigongo ameahidi kutoa kiasi cha Tsh. Milioni 5 kwenye harambee ya Ukarabati wa jengo la kanisa Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima Kome iliyoandaliwa na Muhashamu Askofu Flaviani Katindi Kasala wa Jimbo Katoliki la Geita, kwa kushirikiana na Baba Paroko Padri...
  3. upupu255

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais wa Yanga Hersi Said aahidi Milioni 5 kusaidia ukarabati wa kanisa Geita

    Rais wa Timu ya Yanga Hersi Said ameahidi kutoa kiasi cha Tsh. Milioni 5 kwenye harambee ya Ukarabati wa jengo la kanisa Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima Kome iliyoandaliwa na Muhashamu Askofu Flaviani Katindi Kasala wa Jimbo Katoliki la Geita, kwa kushirikiana na Baba Paroko Padri...
  4. upupu255

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 RC Mwanza, Mtanda achangia milioni 5 ukarabati wa parokia ya Kome

    Kwenye harambee ya Ukarabati wa jengo la kanisa Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima Kome iliyoandaliwa na Muhashamu Askofu Flaviani Katindi Kasala wa Jimbo Katoliki la Geita, kwa kushirikiana na Baba Paroko Padri Japheth Masalu wa Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima Kome, Mkuu wa Mkoa wa...
  5. Mindyou

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Michael Msechu aingia Pwani kuhamasisha wananchi kuhusu ujio wa Mwenge wa Uhuru na amani kipindi cha Uchaguzi

    Balozi wa Mazingira na mhamasishajI Michael Msechu amehamasisha wakazi wa Mkoa wa Pwani kuhusu ujio wa Mwenge wa Uhuru wa Kitaifa 2025 na kuhamasisha umoja na maendeleo ya Miaka minne ya Rais Samia katika kukuza upendo na umoja miongoni mwetu. Soma pia: Mhamasishaji Peter Msechu aanza ziara...
  6. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi huu ni vita kati ya matajiri, CCM na nguvu ya UMMA, CHADEMA vs CCM, Wananchi watakubali CCM irudi?

    Ukitazama hali halisi ilivyo sasa ni wazi kabisa matajiri, watu wenye uchumi mzuri, biashara kubwa, na watu wa serikali ndo wanaridhika na mwenendo wa serikali kwa sasa. Sasahivi wanasukuma magari ya mill 300 na 400 kama wanaigiza ila ndo kweli hivo. Kula kwa urefu wa kamba ndo slogan ya...
  7. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Silaha hii wanaitumia CCM dhidi ya upinzani na imewapa ushindi 1995, 2000, 2005, 2010, 2015, 2020 na mwaka huu 2025 wanakwenda kuitumia tena

    Sikumbuki tarehe ila ilikuwa kati ya mwezi wia 9 au wa 10 hivi 1995 nikiwa na miaka 8 hivi kwenye kitongoji chetu walikuja watu waliovaa nguo za kijani na njano wakitokea wilayani kuja kutuwekea muziki na kisha baadaye kuanza kuongea. Wale watu nilikuja kuwakumbuka baadaye kidogo nilipokuwa ...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Dkt. Mwinyi atoa mkono wa Eid kwa wenye mahitaji maalum Zanzibar

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi ametoa mkono wa Eid El Fitr kwa Wananchi wenye mahitaji Maalum wakiwemo Yatima, Wajane, Wazee na watu wenye ulemavu katika Viwanja vya Ikulu Zanzibar, tarehe 31 Machi 2025. Aidha, Rais Dkt.Mwinyi baada ya kutoka...
  9. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wapinzani mna watanzania wengi nyuma yenu, changamkeni

    .....
  10. secretarybird

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA wakitaka kuungwa mkono na watanzania wote waache kutumia kiingereza katika kaulimbiu zao

    Hizi kaulimbiu/slogans zinazotolewa kwa English zinawafanya watanzania wawaone viongozi wa CHADEMA kama watu fulani wanaojifanya wasomi na waelewa wa mambo kuliko wananchi wa kawaida. Ikumbukwe watanza wanawaogopa watu wanaongeza sana kiingereza kwa mfano jamaa zangu wawili walibadili dini...
  11. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mtu akıkwambia No reforms no election Mjibu Reform zimeshafanyika na uchaguzi utafanyika

    Mtu anakwambia no reforms wakat reforms zimeshafanyika na bunge lilipitisha sheria tatu hivi karibuni ikiwemo sheria ya tume ya taifa ya uchaguzi na sheria ya vyama vya siasa, we kama hukusikiliza ulikuwa ulaya shauri yako Reforms zimeshafanyika na uchaguzi utafanyika kama alivyosema namba moja...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 MNEC Mwaselela: Kazi za Rais Samia zinatupa jeuri kwenye uchaguzi 2025

    Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinaingia kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba, 2025 kikijivunia utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Kimesema kuwa kazi kubwa ya utelekezaji wa Ilani ya CCM, ikiwemo ujenzi wa miradi mikubwa ya kimkakati ambayo kwa sasa imeiweka Tanzania kwenye ramani...
  13. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Viongozi wangu wa Dini, Tanzania

    Kumekuwa na msuguano mkali sana kati serikali iliyopo madarakani na Vyama vya Upinzani. Vyama vya Upinzani vimekuwa vikilalamika kuwa vimehujumiwa sana hasa kwenye chaguzi za mwaka 2019, 2020 na 2024. Kutokana na upande wa serikali kutotaka kukaa pamoja na Vyama vya Upinzani na kuzimaliza...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwanafunzi wa UDSM aikosoa Serikali kwa kutotekeleza ahadi muhimu, asema "Wasomi tusigeuke kuwa wapambe"

    Angas Robert Oketch, mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ameikosoa serikali ya Tanzania kwa madai ya kutotekeleza ipasavyo baadhi ya ahadi na miradi muhimu kwa taifa ndani ya kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais...
  15. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Viongozi wa CCM acheni kuisemea Tume Huru ya Uchaguzi

    Nakumbuka mwaka 2019/2020 aliyekuwa Rais wa wakati ule, John Pombe Magufuli ambaye pia alikuwa mgombea urais wa mwaka 2020 kupitia chama cha CCM alinukuliwa akisema "Uchaguzi utakuwa huru na wa haki". Yaliyotokea kutokana na uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2019 na uchaguzi mkuu wa mwaka...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Heche amjibu Makalla kuhusu kubeti (betting), adai "Nataka watanzania wapate ajira za kudumu, betting sio ajira"

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche, ameendelea kushambulia vikali kauli ya Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, kuhusu betting, akidai kuwa CCM inawaelekeza vijana kwenye michezo ya kubahatisha badala ya...
  17. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ni ujinga na uwendawazimu kuhusisha kujaa kwa watu (nyomi) na ushindi katika uchaguzi, ushindi ni strategy ya Chama

    Suala hili limekuwa liwatoa ufahamu baadhi ya viongozi wa vyama vya kisiasa, na kuona kwamba wingi wa watu tayari ni ushindi, kumbe haiko hivyo. kwani ushindi ni strategy za chama husika, kimejipangaje?, kina database ya wanachama waaminifu wa chama kiasi gani? Kwa ngazi ya vijiji, vitongoji...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia: Hatutamvumilia kiongozi wa dini anayechochea chuki na uhasama dhidi ya Serikali, mkawadhibiti!

    Akizungumza kwenye Baraza la Eid El-Fitri kumbi wa JNICC Dar es salaam, leo tarehe 31 Machi, 2025, Rais Samia amesema nchi yetu (Tanzania) imeendelea kuwa na Umoja na Mshikamano kwasababu viongozi wa dini wamejiepusha na mahubiri yenye uchochezi na kuleta mafarakano. Aidha ameongeza kuwa...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Katibu Mkuu BAKWATA: Serikali ifanyie kazi dosari za uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

    Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Alhaj Nuhu Jabiri, amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ili kutekeleza haki yao ya kikatiba. Aidha, amezitaka mamlaka husika kuchukua hatua stahiki kufanyia...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 PICHA: Viongozi wa BAWACHA Kanda ya Kati wamjulia Hali Mwenezi Taifa, Sigrada Mligo

    Viongozi wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) Kanda ya Kati na Mkoa wa Dodoma wamefika katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma kumjulia hali Mwenezi wa BAWACHA Taifa, Bi. Sigrada Mligo, ambaye amelazwa hospitalini hapo baada ya kuhamishwa kutoka Hospitali ya Mkoa wa Njombe. Bi...
Back
Top Bottom