My people,
Ukifuatilia kile kinachofanywa na wanaharakati hakika utashangaa huwa wanafikiria nini?
Baada ya kupanga tarehe za maandamano na Serikali kuchomoa waya kwenye betri kila uchwao,sasa wanakuja na idea nyingine
Wanataka kuandamana siku ya sikukuu ya Krismass,sababu ni kwamba siku hiyo...