Ninachokiona kwa Israel ni kuchanganyikiwa na vita!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,600
8,647
Kwa mtazamo wangu bila kwenda mbali, nikwamba Islael kashindwa vita! alichobaki nacho ni War Madness!. Amebaki kupiga huko na huku akiua watu wasiyo na hatia akidhani anawaua watesi wake, kitu ambacho siyo! Mji wa mwisho kuuteketeza utakuwa ni Rafah, lakini nako ataambulia patupu na mateka hawatakuja kupatikana kamwe!.
Na hao watesi wake hawapo Gaza! cha kushangaza Mossad wameishiwa mbinu kabisa za kujua mateka wapo wapi hadi sasa,Kambi za wakimbizi zimelipuliwa,hospitali zimechomwa kwakisingizio wamejificha humo lakini wapi wanakuta ni raia,!
Sasa Israel nikama mtu mlevi kashika LMG na mkanda wa risasi 300 na kaporwa simu katikati ya soko!, anafyatua risasi hovyo hovyo! badadala ya kutuliza kichwa!na kujua mwizi kaelekea wapi ili ajue namna ya kumkamata!
Zayun kachanganyikiwa!
 
Kwa mtazamo wangu bila kwenda mbali, nikwamba Islael kashindwa vita! alichobaki nacho ni War Madness!. Amebaki kupiga huko na huku akiua watu wasiyo na hatia akidhani anawaua watesi wake, kitu ambacho siyo! Mji wa mwisho kuuteketeza utakuwa ni Rafah, lakini nako ataambulia patupu na mateka hawatakuja kupatikana kamwe!.
Na hao watesi wake hawapo Gaza! cha kushangaza Mossad wameishiwa mbinu kabisa za kujua mateka wapo wapi hadi sasa,Kambi za wakimbizi zimelipuliwa,hospitali zimechomwa kwakisingizio wamejificha humo lakini wapi wanakuta ni raia,!
Sasa Israel nikama mtu mlevi kashika LMG na mkanda wa risasi 300 na kaporwa simu katikati ya soko!, anafyatua risasi hovyo hovyo! badadala ya kutuliza kichwa!na kujua mwizi kaelekea wapi ili ajue namna ya kumkamata!
Zayun kachanganyikiwa!
Mkuu inategemea na ufahamu wako kuhusu mambo haya
 
Kuutokomeza ugaidi sio kazi ndogo.
Marekani pamoja na ubabe wake wa kijeshi ilichukua zaidi ya miaka 20 pamoja na mabilioni ya dola kutokomeza alqaeda.
Screenshot_20231108-213027.png
 
Wazo la kijinga sana ili.
Ukitaka kuanzisha Kush Empire utaenda anzisha harakati Ulaya ama Marekani ambao black ni wachache ama utaanzia Africa kwenye black wengi?.
Ni kanunui rahisi,ISIS na makundi mengine ya mlengo huo utaka kuanza kujitanua pale walipo waislamu wengi kwanza.
Lengo la Islamic state ni dunia mzima,na Israel si kisiwa nje ya dunia.
 
Kwa mtazamo wangu bila kwenda mbali, nikwamba Islael kashindwa vita! alichobaki nacho ni War Madness!. Amebaki kupiga huko na huku akiua watu wasiyo na hatia akidhani anawaua watesi wake, kitu ambacho siyo! Mji wa mwisho kuuteketeza utakuwa ni Rafah, lakini nako ataambulia patupu na mateka hawatakuja kupatikana kamwe!.
Na hao watesi wake hawapo Gaza! cha kushangaza Mossad wameishiwa mbinu kabisa za kujua mateka wapo wapi hadi sasa,Kambi za wakimbizi zimelipuliwa,hospitali zimechomwa kwakisingizio wamejificha humo lakini wapi wanakuta ni raia,!
Sasa Israel nikama mtu mlevi kashika LMG na mkanda wa risasi 300 na kaporwa simu katikati ya soko!, anafyatua risasi hovyo hovyo! badadala ya kutuliza kichwa!na kujua mwizi kaelekea wapi ili ajue namna ya kumkamata!
Zayun kachanganyikiwa!
Uzi umejaa madai ya uwongo na ya kiupendeleo
 
Mayahudi mbwembwe zote kwisha! Hamas wanawafanyia tu uhuni kama ule waliofanyiwa Wamarekani na wale jamaa wa Vietnam miaka ile.

Kwa sasa wamebakia kutumia nguvu nyingi kuua na kukamata hovyo raia wasio na hatia baada tu ya intelijensia yao kupumulia mashine. Imagine mpaka leo wameshindwa kumuua au kumkamata yule mbabe wao Yahaya Sinwar ndani ya kaeneo kadogo tu ka Gaza!!
Nilizaniaga una akili, leo Nimeamini ni {}
 
Kwa mtazamo wangu bila kwenda mbali, nikwamba Islael kashindwa vita! alichobaki nacho ni War Madness!. Amebaki kupiga huko na huku akiua watu wasiyo na hatia akidhani anawaua watesi wake, kitu ambacho siyo! Mji wa mwisho kuuteketeza utakuwa ni Rafah, lakini nako ataambulia patupu na mateka hawatakuja kupatikana kamwe!.
Na hao watesi wake hawapo Gaza! cha kushangaza Mossad wameishiwa mbinu kabisa za kujua mateka wapo wapi hadi sasa,Kambi za wakimbizi zimelipuliwa,hospitali zimechomwa kwakisingizio wamejificha humo lakini wapi wanakuta ni raia,!
Sasa Israel nikama mtu mlevi kashika LMG na mkanda wa risasi 300 na kaporwa simu katikati ya soko!, anafyatua risasi hovyo hovyo! badadala ya kutuliza kichwa!na kujua mwizi kaelekea wapi ili ajue namna ya kumkamata!
Zayun kachanganyikiwa!
Hao si ndio wanasifiwaga kumbe ni Mapimbi
 

Attachments

  • IMG_20240429_213132.jpg
    IMG_20240429_213132.jpg
    69.9 KB · Views: 1
Kwa mtazamo wangu bila kwenda mbali, nikwamba Islael kashindwa vita! alichobaki nacho ni War Madness!. Amebaki kupiga huko na huku akiua watu wasiyo na hatia akidhani anawaua watesi wake, kitu ambacho siyo! Mji wa mwisho kuuteketeza utakuwa ni Rafah, lakini nako ataambulia patupu na mateka hawatakuja kupatikana kamwe!.
Na hao watesi wake hawapo Gaza! cha kushangaza Mossad wameishiwa mbinu kabisa za kujua mateka wapo wapi hadi sasa,Kambi za wakimbizi zimelipuliwa,hospitali zimechomwa kwakisingizio wamejificha humo lakini wapi wanakuta ni raia,!
Sasa Israel nikama mtu mlevi kashika LMG na mkanda wa risasi 300 na kaporwa simu katikati ya soko!, anafyatua risasi hovyo hovyo! badadala ya kutuliza kichwa!na kujua mwizi kaelekea wapi ili ajue namna ya kumkamata!
Zayun kachanganyikiwa!
Sii kosa kusema mtazamo wako...haya kakojoe ukalale Kesho shule
 
Nilizaniaga una akili, leo Nimeamini ni {}
Sijui ni kwa nini! Ila watu wa aina yako,mnapokuwa na mimba changa huwa mnavurugwa sana.

Yaani usimzanie baba yako aliyekuzaa kama ana akili, au la! Uje umzanie mtu usiyemfahamu! Wewe ni Jinga kabisa.
 
Back
Top Bottom