kizimkazi

Kizimkazi - officially Kizimkazi Mkunguni, but also known as Kizimkazi Mtendeni - is a fishing village on the southern coast of Zanzibar, Tanzania, and was once a walled city. It is situated three miles southeast of the Kizimkazi Mosque (which is located in Kizimkazi Dimbani, commonly known just as Dimbani). In recent years, Kizimkazi has become a major tourist attraction, as daily boat tours are organized to bring visitors off shore to watch bottlenose dolphins and swim with them.

View More On Wikipedia.org
  1. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Serikali kujenga bandari Kizimkazi hadi Kunduchi huko Zanzibar

    Habari ndiyo hiyo. Ile akili iliyotaka kujenga bandari Bagamoyo imetuma tena ujenzi bandari Kizimkazi. Lengo na nia ni kujiimarisha kiuchumi kwa watawala. Watoto wa Nyerere na Magufuli nadhani wanawalaumu sana wazazi wao. === Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kukamilisha taratibu...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Luhaga Mpina akiwa Zanzibar: Mimi ni kijana wenu, nimekulia pale Kizimkazi

    Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Luhaga Mpina alipowasili mjini Unguja kwa ajili ya utambulisho kwa wanachama na wananchi wa kisiwa hicho, akitokea jijini Dar es Salaam baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu maalumu uliompitisha kuwania nafasi hizo.
  3. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tuongee tu ukweli, Humphrey Polepole kabadilisha kabisa upepo wa kisiasa nchini

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU Kwetu sisi ambao tunashinda kitaa hapa na pale wote tutakubaliana kabisa kuwa pole pole alichokifanya ni kama kugonga msumari kwenye geneza Kawafanya watanzania wote wamuone mama kizimkazi kama kibaka Yaan huo ndo ukweli hata wale kobazi wachache ambao...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Kwa hali nayoiona kuna kila dalili za mama yupo mpaka 2035, Sioni kabisa wa kupinga kamati kuu ya CCM

    Awamu hii ya sasa watasema haikuwa awamu yake, Muhula wa kwanza 2025 - 2030 Muhula wa pili 2030 - 2035 Kuna wa kupinga Kamati kuu ya Ccm ? NO, HAKUNA !!
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mayala: Samia Kaachie Kidogo kale Kasimba ka Kizimkazi

    Utampenda Mayala mwandishi wa habari na mwana CCM asiye mnafiki.
  6. The Supreme Conqueror

    JamiiForums Tanzania Mwaka huu hakutakuwa na Kizimkazi Festivals hadi mwakani july 19-26 panapo Majaliwa

    Wakuu habari ndiyo ni kwamba kama ilivyozoeleka tangu Mhe. Rais Samia aingie madarakani 2021 serikali ilianzisha Tamasha la Kizimkazi kwa lengo la kuenzi tamaduni za asili,uzinduzi wa miradi ya Serikali huko visiwani pamoja shughuli mbalimbali za kijamii. Tamasha hilo ambalo limekuwa maarufu...
  7. ngara23

    JamiiForums Tanzania Kanda ya ziwa wanaotoka watu wenye akili nyingi kama Gwajima na katu mtu wa kanda ya ziwa katu hawezi kuwa chawa

    Kanda ya ziwa wanaotoka watu wenye akili nyingi kama Gwajima na katu mtu wa kanda ya ziwa katu hawezi kuwa chawa na kuendesha kijinga Lissu alikwambia mkiuwa upinzani au CHADEMA, mtaanza kupingana nyie wenyewe Leo tumeisikiliza press ya maana ya mwana CCM Askofu Gwajima Press zinazofuata za...
  8. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Pongezi Rais Samia kwa Tanzania kuwa Kinara Uhuru wa Habari, EAC, Vipi Kale ka 'Simba ka Kizimkazi' Mnaonaje Kaachiwe?, Kanatuvurugia Sana Amani?

    Wanabodi Makala yangu kwenye Gazeti la Mwananchi https://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/tumpongeze-rais-samia-sambamba-na-wanahabari-ila-tukaze-uzi-5030938 Tarehe 3 Mei kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, kwa wiki nzima, iliyopita, nimekuwa jijini Arusha kwenye hoteli...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mohamed Haji: Tumekuja Kizimkazi kufanya Dua kumshtakia Mungu Amani ya nchi

    Mkurugenzi wa Taasisi ya Twende Pamoja na Mama Sports Promotion Mohamed Haji amefunguka dhamira ya kufanya Dua maalum Kizimkazi Zanzibar, na kusema kuwa Dua hiyo ni kumshtakia Mungu kuendelea kutupa Amani nchini Pamoja na kuwalinda Viongozi wa Serikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Rais Samia sikia maneno haya ya kuambiwa kumhusu yule Simba wa Kizimkazi, Tundu Antipas Lissu!

    Bila shaka wewe siyo Farao aliyeamua kuziba masikio hata pale busara yote ilipoelekeza vinginevyo: Kwani urais kitu gani kama unachoombwa ni kushinda au kushindwa kupitia tu uchaguzi ulio huru na wa haki? Anasema TX Moshi (Rip): "Sikia maneno ya kuambiwa na wana Ndekule, eeh Moshi weeh! Eeh...
  11. Dalali wa kimataifa

    JamiiForums Tanzania BEACH PLOT FOR SALE AT KIZIMKAZI ZANZIBAR TANZANIA,AREA SQM 80,000,PRICE USD2.3MILLIONS, 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717

    👉🏾👉🏾BEACH PLOT ⛱️ FOR SALE 👉🏾A Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.* 👉🏾Nice sea view and Beach. 👉🏾The Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun 🌞🌞 Set Beach. 👉🏾Nearly The Famous Big Hotels in Zanzibar. 👉🏾Plot size 200×400 Meters equal to Square meters...
  12. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania BEACH AREA,LOCATED AT KIZIMKAZI ZANZIBAR TANZANIA,AREA 80,000SQM,PRICE 2.3USD,🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717

    👉🏾👉🏾BEACH PLOT ⛱️ FOR SALE 👉🏾A Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.* 👉🏾Nice sea view and Beach. 👉🏾The Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun 🌞🌞 Set Beach. 👉🏾Nearly The Famous Big Hotels in Zanzibar. 👉🏾Plot size 200×400 Meters equal to Square meters...
  13. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania BEACH PLOT FOR SALE,AREA 80,000SQM,LOCATED AT KIZIMKAZI ZANZIBAR TANZANIA,PRICE 2.3USD, 🇹🇿+255758844717

    👉🏾👉🏾BEACH PLOT ⛱️ FOR SALE 👉🏾A Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.* 👉🏾Nice sea view and Beach. 👉🏾The Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun 🌞🌞 Set Beach. 👉🏾Nearly The Famous Big Hotels in Zanzibar. 👉🏾Plot size 200×400 Meters equal to Square meters...
  14. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania BEACH PR SALE,LOCATED AT KIZIMKAZI ZANZIBAR,PRICE USD 2.2MILLIONS,Area 80,000sqm. 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717

    👉🏾👉🏾BEACH PLOT ⛱️ FOR SALE 👉🏾A Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.* 👉🏾Nice sea view and Beach. 👉🏾The Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun 🌞🌞 Set Beach. 👉🏾Nearly The Famous Big Hotels in Zanzibar. 👉🏾Plot size 200×400 Meters equal to Square meters...
  15. dalalitz

    JamiiForums Tanzania For sale: 20 acres serene beach-land, $ 2.3 million at Kizimkazi, Zanzibar

    ....
  16. J

    JamiiForums Tanzania TUNDU AENDE KIZIMKAZI UNIVERSITY AU APEWE NAMBA ZA COY MZUNGU.

    TUNDU AENDE KIZIMKAZI UNIVERSITY AU APEWE NAMBA ZA COY MZUNGU. NA MWALIMU TUMAINI MASHINGO. Anapaswa kurudi tena darasani kusoma nini maana ya siasa kabla ya kile Chama Cha Ufipa kumfia, anapaswa kukutana na Samia kama atatia nia, maana ile siasa yake na siasa ya Chama chao ni CCM level ya...
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Vijana Zaidi ya 30 wa Kikundi cha Urithi Wetu waanza safari kutoka Kigoma hadi Kizimkazi, Zanzibar, kuhamasisha upandaji miti

    Vijana zaidi ya 30 wa kikundi cha Urithi Wetu PTP2 wameanza safari ya kipekee kutoka Kigoma hadi Kizimkazi, Zanzibar, kwa lengo la kuhamasisha upandaji miti na kudumisha urithi wa kipekee wa Tanzania. Wakiwa chini ya uongozi wa Mwalimu Philip John Ally, Mkurugenzi wa shirika la kijamii APHI...
  18. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Kizimkazi Health Center Yazinduliwa Kusini Unguja

    KIZIMKAZI HEALTH CENTER YAZINDULIWA KUSINI UNGUJA Pichani ni Muonekano wa Kituo kipya cha Afya Kizimkazi au KIZIMKAZI HEALTH CENTER katika Wilaya ya Kusini Unguja ambacho kimezinduliwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, tarehe January...
  19. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania ufunguzi wa Kituo cha Afya Kizimkazi Wilaya ya Kusini Unguja ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema, dhamira njema ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ya kuipa kipaumbele Sekta ya Afya nchini ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma za uhakika za matibabu bila kuzifuata nje ya nchi. "Vission yake ni...
  20. toriyama

    JamiiForums Tanzania KERO Umeme CHATO umekuwa ni kama anasa. Vipi huko Msoga na Kizimkazi, hali ni hii pia?

    Suala la Umeme CHATO, imekuwa ni kama anasa vipi huko Msoga na Kizimkazi hali ni hii pia? Kwakeli sijui Wanachato wameikosea nini Serikali hii. Adha ya umeme niliyoikuta huku ni kubwa mno, muda wowote umeme unakatwa bila kujua ni muda gani utarudi imekuwa ni kama mchezo unaweza dhani labda...
Back
Top Bottom