Kizimkazi - officially Kizimkazi Mkunguni, but also known as Kizimkazi Mtendeni - is a fishing village on the southern coast of Zanzibar, Tanzania, and was once a walled city. It is situated three miles southeast of the Kizimkazi Mosque (which is located in Kizimkazi Dimbani, commonly known just as Dimbani). In recent years, Kizimkazi has become a major tourist attraction, as daily boat tours are organized to bring visitors off shore to watch bottlenose dolphins and swim with them.
Habari ndiyo hiyo.
Ile akili iliyotaka kujenga bandari Bagamoyo imetuma tena ujenzi bandari Kizimkazi.
Lengo na nia ni kujiimarisha kiuchumi kwa watawala. Watoto wa Nyerere na Magufuli nadhani wanawalaumu sana wazazi wao.
===
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kukamilisha taratibu...
Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Luhaga Mpina alipowasili mjini Unguja kwa ajili ya utambulisho kwa wanachama na wananchi wa kisiwa hicho, akitokea jijini Dar es Salaam baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu maalumu uliompitisha kuwania nafasi hizo.
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU
Kwetu sisi ambao tunashinda kitaa hapa na pale wote tutakubaliana kabisa kuwa pole pole alichokifanya ni kama kugonga msumari kwenye geneza
Kawafanya watanzania wote wamuone mama kizimkazi kama kibaka
Yaan huo ndo ukweli hata wale kobazi wachache ambao...
Awamu hii ya sasa watasema haikuwa awamu yake,
Muhula wa kwanza 2025 - 2030
Muhula wa pili 2030 - 2035
Kuna wa kupinga Kamati kuu ya Ccm ? NO, HAKUNA !!
Wakuu habari ndiyo ni kwamba kama ilivyozoeleka tangu Mhe. Rais Samia aingie madarakani 2021 serikali ilianzisha Tamasha la Kizimkazi kwa lengo la kuenzi tamaduni za asili,uzinduzi wa miradi ya Serikali huko visiwani pamoja shughuli mbalimbali za kijamii.
Tamasha hilo ambalo limekuwa maarufu...
Kanda ya ziwa wanaotoka watu wenye akili nyingi kama Gwajima na katu mtu wa kanda ya ziwa katu hawezi kuwa chawa na kuendesha kijinga
Lissu alikwambia mkiuwa upinzani au CHADEMA, mtaanza kupingana nyie wenyewe
Leo tumeisikiliza press ya maana ya mwana CCM Askofu Gwajima
Press zinazofuata za...
Wanabodi
Makala yangu kwenye Gazeti la Mwananchi
https://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/tumpongeze-rais-samia-sambamba-na-wanahabari-ila-tukaze-uzi-5030938
Tarehe 3 Mei kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, kwa wiki nzima, iliyopita, nimekuwa jijini Arusha kwenye hoteli...
Mkurugenzi wa Taasisi ya Twende Pamoja na Mama Sports Promotion Mohamed Haji amefunguka dhamira ya kufanya Dua maalum Kizimkazi Zanzibar, na kusema kuwa Dua hiyo ni kumshtakia Mungu kuendelea kutupa Amani nchini Pamoja na kuwalinda Viongozi wa Serikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt...
Bila shaka wewe siyo Farao aliyeamua kuziba masikio hata pale busara yote ilipoelekeza vinginevyo:
Kwani urais kitu gani kama unachoombwa ni kushinda au kushindwa kupitia tu uchaguzi ulio huru na wa haki?
Anasema TX Moshi (Rip):
"Sikia maneno ya kuambiwa na wana Ndekule, eeh Moshi weeh!
Eeh...
👉🏾👉🏾BEACH PLOT ⛱️ FOR SALE
👉🏾A Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.*
👉🏾Nice sea view and Beach.
👉🏾The Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun 🌞🌞 Set Beach.
👉🏾Nearly The Famous Big Hotels in Zanzibar.
👉🏾Plot size 200×400 Meters equal to Square meters...
👉🏾👉🏾BEACH PLOT ⛱️ FOR SALE
👉🏾A Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.*
👉🏾Nice sea view and Beach.
👉🏾The Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun 🌞🌞 Set Beach.
👉🏾Nearly The Famous Big Hotels in Zanzibar.
👉🏾Plot size 200×400 Meters equal to Square meters...
👉🏾👉🏾BEACH PLOT ⛱️ FOR SALE
👉🏾A Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.*
👉🏾Nice sea view and Beach.
👉🏾The Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun 🌞🌞 Set Beach.
👉🏾Nearly The Famous Big Hotels in Zanzibar.
👉🏾Plot size 200×400 Meters equal to Square meters...
👉🏾👉🏾BEACH PLOT ⛱️ FOR SALE
👉🏾A Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.*
👉🏾Nice sea view and Beach.
👉🏾The Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun 🌞🌞 Set Beach.
👉🏾Nearly The Famous Big Hotels in Zanzibar.
👉🏾Plot size 200×400 Meters equal to Square meters...
TUNDU AENDE KIZIMKAZI UNIVERSITY AU APEWE NAMBA ZA COY MZUNGU.
NA MWALIMU TUMAINI MASHINGO.
Anapaswa kurudi tena darasani kusoma nini maana ya siasa kabla ya kile Chama Cha Ufipa kumfia, anapaswa kukutana na Samia kama atatia nia, maana ile siasa yake na siasa ya Chama chao ni CCM level ya...
Vijana zaidi ya 30 wa kikundi cha Urithi Wetu PTP2 wameanza safari ya kipekee kutoka Kigoma hadi Kizimkazi, Zanzibar, kwa lengo la kuhamasisha upandaji miti na kudumisha urithi wa kipekee wa Tanzania.
Wakiwa chini ya uongozi wa Mwalimu Philip John Ally, Mkurugenzi wa shirika la kijamii APHI...
KIZIMKAZI HEALTH CENTER YAZINDULIWA KUSINI UNGUJA
Pichani ni Muonekano wa Kituo kipya cha Afya Kizimkazi au KIZIMKAZI HEALTH CENTER katika Wilaya ya Kusini Unguja ambacho kimezinduliwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, tarehe January...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema, dhamira njema ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ya kuipa kipaumbele Sekta ya Afya nchini ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma za uhakika za matibabu bila kuzifuata nje ya nchi.
"Vission yake ni...
Suala la Umeme CHATO, imekuwa ni kama anasa vipi huko Msoga na Kizimkazi hali ni hii pia?
Kwakeli sijui Wanachato wameikosea nini Serikali hii. Adha ya umeme niliyoikuta huku ni kubwa mno, muda wowote umeme unakatwa bila kujua ni muda gani utarudi imekuwa ni kama mchezo unaweza dhani labda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.