Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 7,915
- 14,638
Habari wana jamvi.
Mdau mmoja anahitaji kiwanja kuanzia sqm 1200 katika moja ya maeneo haya.
1. Kinyerezi
2. Kifuru
3. Segerea
4. Goba
5. Mbweni
6. Madale
Sifa ya kiwanja/eneo
1. Tambarare au kama mlima usiwe mkali sana slope yake.
2. Kinafikika kwa barabara vizuri
3. Neighborhood nzuri au kama ni mji uwe ndio unakua.
Mwenye nacho anaweza weka hapa au PM.
Kama ni dalali uwe na huruma usiweke cha juu kupitiliza.
Mdau mmoja anahitaji kiwanja kuanzia sqm 1200 katika moja ya maeneo haya.
1. Kinyerezi
2. Kifuru
3. Segerea
4. Goba
5. Mbweni
6. Madale
Sifa ya kiwanja/eneo
1. Tambarare au kama mlima usiwe mkali sana slope yake.
2. Kinafikika kwa barabara vizuri
3. Neighborhood nzuri au kama ni mji uwe ndio unakua.
Mwenye nacho anaweza weka hapa au PM.
Kama ni dalali uwe na huruma usiweke cha juu kupitiliza.