Kadhal Kisu Kisu (English: Rumours about love) is a 2003 Indian Tamil-language action comedy film directed by P. Vasu. The film starred Bala and Charmy Kaur in the lead roles, while Manivannan, Kalabhavan Mani and Vivek appeared in other pivotal roles. The film produced by Kesavan, had music scored by Vidyasagar. The film released in 2003 to below average collections and reviews.
Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tawi la Sokoni Kata ya Sirari Wilayaní Tarime Mkoaní Mara, Moshi Sayi Maduhu, ameuawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali kifuani karibu na shingoni baada ya kutokea ubishi wa kisiasa kati yake na mfuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
Huyu jamaa Almaaruf hapa Bongo Ustadh ni hatari sana, ni zaidi ya IS, amekua akiwapa watu maumivu sana. Wengine wanasema anatumia Mkongo! Ni hatari kwa vidudu vyote vinavyorika na vinavyotambaa.
Numbisa nawale wenzako mumekata tamaa aisee
Wakati wa late Presida JPM ilionekana kuwepo tabia ya kusifu, kuabudu nk na baadhi ilionekana wanafanya kwa hofu au kujipendekeza kwa mkulu.
Pamoja na madudu yaliyotokea pale TBC, ndugu Ryoba anaendelea kupigwa mawe kwa kuonekana alikuwa akiendesha kipindi kumsifia mbendembende late JPM...
Mwanamke mmoja anayeitwa Joan Burke mwenye umri wa miaka 61, kutoka Jimbo la Florida nchini Marekani ameshtakiwa kwa mauaji kufuatia tuhuma za kumchoma na kisu mume wake kwa zaidi ya mara 140 na kupelekea kifo chake.
Taarifa ya Polisi kutoka Kituo Palm Springs imeeleza walipokea simu Februari...
Kijana James mwenye umri wa miaka 16 anatuhumiwa kumuua kaka yake anaitwa Zakayo huku baba mzazi akikiri kushindwa kuwaamua ndugu hao wawili waliokuwa wakigombana kisa mifugo.
Mimi naitwa Paulo Sindio, ni baba mzazi wa watoto hao, walianza kugombana mbele yangu kisa kikiwa ni uswagaji wa mifugo...
MWANAMKE mmoja mkazi wa kijiji cha Ilanga kata ya Mlale wilayani Ileje mkoani Songwe, Subira Kibona(16) amefariki dunia baada ya kuchomwa na kitu chenye ncha kali mgongoni kisha mwili wake kuchomwa moto na anayesadikika kuwa mume wake, Shukrani Kamwela (16) kabla ya kutupa mabaki ya mwili huo...
Katika Hali ya kustajabisha tar 31 Dec 2021, mitaa ya Kimara Mavurunza, kijana mwenye genge la nyanya, tikiti,nanasi etc. Alivamiwa kijana mwingine mwenye hasira huku akifoka na kumwambia mara ngapi nimekuonya hutaki kusikia, basi jamaa akachukua kisu cha palepale gengeni akamwambia Leo...
Sote tunajua katika ukanda wa Afrika, Nchi yetu ndio ilikuwa na mabando ya bei rahisi kuliko nchi yoyote hapa afrika (sub saharan)
Hii iligeuka kuwa silaha kwa tasnia yetu ya muziki wa bongo flava katika sura ya bara la Afrika, Ilikuwa rahisi sana msaga sumu kupata views milioni kuliko msanii...
Inakuwaje Wanajamvi!
Imethibitika mwanaume MSOMALI mwenye miaka 25 ndo alimuua Tory MP Sir David Ammes kwa kuchoma kisu mara nyingi kifuani huku mashuhuda wakipigwa mayowe ya hatarii.
Hii imepelekea jeshi la polisi Uingereza kupitia upya ulinzi wa wabunge na wanasiasa.
Wasomali ambao idadi...
Wanaume wawili wamejaribu kumdunga kisu rais wa mpito wa Mali Assimi Goïta katika msikiti uliopo katika mji mkuu, Bamako.
KanaliGoïta allikuwa akihudhuria ibada ya siku ya Eid ul-Adha katika msikiti wa Grand Mosque.
Mafisa wanasema washambuliaji, ambao kwa mujibu wa Shirika la habari la AFP...
Godson kitomary
Pichani ni kitabu cha "COLENEL GADAFFI" Kinachoitwa "THE GREEN BOOK" Na ndani yake kina mambo matatu kama ifuatavyo:
1. Jinsi ya kutatua matatizo yatokanayo na demokrasia
2. Kutatua matatizo ya kiuchumi
3. Misingi ya kijamaa na nadharia ya mataifa yanayoendelea.
Ndicho kitabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.