TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,730
- 21,128
Wakati wa late Presida JPM ilionekana kuwepo tabia ya kusifu, kuabudu nk na baadhi ilionekana wanafanya kwa hofu au kujipendekeza kwa mkulu.
Pamoja na madudu yaliyotokea pale TBC, ndugu Ryoba anaendelea kupigwa mawe kwa kuonekana alikuwa akiendesha kipindi kumsifia mbendembende late JPM akionekana anajipendekeza au kutafuta sifa.
Leo kipindi kipya kutoka kwa mtangazaji mwingine aliyekuwa TBC na sasa ni mkurugenzi wa Channel Ten Shaban Kisu ame_launch kipindi kipya kiitwacho TWENDE PAMOJA KWA MATOKEO YA HARAKA.
Namkumbuka ndg Polepole alipokuwa anarusha kipindi tv hii hii na kuruhusu wananchi kuhoji jambo, haya kinachoendelea hapa na kile cha ndg slow slow ni the same, hapa wadau tuna la kujifunza.
Katika kufuatilia maudhui sijaona jipya tofauti na yule ndg Ryoba, tupo LIVE muda huu Channel Ten na waziri wa aridhi, nyumba na maendeleo ya makazi Mh. Angelina Mabula.
Pamoja na madudu yaliyotokea pale TBC, ndugu Ryoba anaendelea kupigwa mawe kwa kuonekana alikuwa akiendesha kipindi kumsifia mbendembende late JPM akionekana anajipendekeza au kutafuta sifa.
Leo kipindi kipya kutoka kwa mtangazaji mwingine aliyekuwa TBC na sasa ni mkurugenzi wa Channel Ten Shaban Kisu ame_launch kipindi kipya kiitwacho TWENDE PAMOJA KWA MATOKEO YA HARAKA.
Namkumbuka ndg Polepole alipokuwa anarusha kipindi tv hii hii na kuruhusu wananchi kuhoji jambo, haya kinachoendelea hapa na kile cha ndg slow slow ni the same, hapa wadau tuna la kujifunza.
Katika kufuatilia maudhui sijaona jipya tofauti na yule ndg Ryoba, tupo LIVE muda huu Channel Ten na waziri wa aridhi, nyumba na maendeleo ya makazi Mh. Angelina Mabula.