kisasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. technically

    Walimuhujumu namba tano wanalipwa kisasi kwa namba sita?

    Kumbe namba 5 alihujumiwa Sana Hajawai fanya tukio lolote baya la hatari bila ushauri Kumbe hakuwai kuteka Wala kulawiti ila wapambe walitumika Kama double agent na Maadui zake ili kuhujumu utawala wake Sasa kumbe kinachoendelea ni karma watu wanalipiza kisasi ili ionekane huyu ni zaidi ya...
  2. Waufukweni

    PreGE2025 Wananchi wacharuka na comment za 'No Reforms, No Election' kwenye page za Viongozi na Taasisi za Umma ikiwemo post ya Eid ya Rais Samia

    Wakuu! Bila uoga, Wananchi wengi wamejitokeza kuandika comments zenye ujumbe wa 'No Reforms, No Election' chini ya post ya salamu za kheri ya Sikukuu ya Eid al-Adha zilizotolewa na Rais Samia kupitia mitandao ya kijamii. Badala ya kusherehekea ujumbe huo wa sikukuu kwa kawaida, baadhi ya...
  3. nzala_kv

    Malipo ya kisasi ni kisu au risasi

    Katika maisha haya tunayoyaishi hapa Duniani Kila bin Adam ni Safi kabisa iwapo tungekuwa hatukutani na binadamu wengine. Ila kwa sababu tunakutana Sina budi kusema 'The atmosphere is no longer the same'. Na hii kwa sababu katika kukutana kwetu tunakoseana sana. Na siku zote bin Adam ndiyo...
  4. Lord Denning

    Kubakwa na kuteswa kwa Muchwezi Agather Atuahire, Je Bahima Empire/Wachwezi kulipa kisasi?

    Baada ya tuhuma nzito za Mwanaharakati wa Uganda Agather Atuahire kubakwa na kuteswa na vyombo vya Ulinzi vya Tanzania, Je tutarajie nini kinachofuata? Ikumbukwe Jamii ya Wachwezi ambayo inaunda Bahima Empire ina imani kama za watoto wa Ibrahim(Wana Israel) kuwa ukimfanyia mmoja wetu hivi basi...
  5. Mlaleo

    Houthi waangukia pua dhidi ya kisasi kwa Israel- Kombora laangukia Saudia Arabia

    IDF ilitambua kombora lililorushwa kuelekea Israeli kutoka Yemen na magaidi wa Houthi ambalo liliangukia eneo la ardhi ya Saudi Arabia bila kudunguliwa siku ya Jumatano, kulingana na ripoti katika vyombo vya habari vya Israeli. Siku ya Jumanne, Israeli ilifanya mashambulizi ya anga yaliyolenga...
  6. hamis77

    ONYO KWA WATAWALA,DAMU YA HAKI IKIMWAGIKA HUDAI KISASI

    UTANGULIZI Biblia inasema wazi kwamba damu ya mtu asiye na hatia hailali kimya. Husema, hulia kutoka ardhini ikiomba kisasi. Katika Mwanzo 4:10, Mungu anamwambia Kaini baada ya kumuua nduguye: Na tena katika Mithali 6:16-17: Pia Hesabu 35:33: 1. Muammar Gaddafi – Libya Alivyomwaga damu...
  7. Fbn

    Yanayoendelea sasa yanakumbusha (1995–2005) kilishuhudia baadhi ya matukio ya kutisha ya kisiasa

    Kama mnakumbuka Kipindi cha utawala wa Rais Benjamin Mkapa (1995–2005) kilishuhudia baadhi ya matukio ya kutisha ya kisiasa na kijamii nchini Tanzania, ikiwemo Zanzibar. Mojawapo ya matukio yaliyotia doa historia ya kisiasa ya Zanzibar ni yale yaliyotokea baada ya uchaguzi wa mwaka 2000...
  8. Carlos The Jackal

    Kwa hiyo Mrisho Gambo, kuomba kwako MSAMAHA unakiri kua Umetoa Taarifa za Uongo Bungeni zenye chuki na kisasi dhidi ya Makonda na Mchengerwa?.

    Duuhh Gambo Gambo Gambo !!
  9. mireille

    Ndoa ya kisasi

    NDOA YA KISASI: NDOA YA KISASI Sehemu ya 1: Saa tatu usiku. Usiku mmoja wa kuvutia! Baada ya kunywa pombe kupita kiasi kwenye karamu yake na marafiki usiku, mchumba wa Emmy alimchukua na kumpeleka chumbani kwenye hoteli waliyopanga kupumzika, na kumbwaga kwenye sofa. Emmy alikunywa pombe...
  10. Tajiri Tanzanite

    Kisasi cha Simba kutolewa na Stellen Abidjan ya Ivory Coast mwaka 1993 kwenye fainali ya shirikisho

    Hapo vip!! Hii ndio muda wa Simba kulipa kisasi kwa mdogo mtu na wajina mtu Stellen bosch tarehe 20.04.2025. Hawa wakina stellen,wanataka kumzoea Simba vibaya hasa hasa kwenye hizi hatua nyeti. Tukumbuke kombe la shirikisho kipindi hicho ilikuwa na majina tofauti tofauti kwa kila msimu...
  11. haszu

    Nataka nilipize kisasi kwa dada ambae sasa ni mke wa mtu

    Huyu dada tumesoma nae shule ya msingi. Nikiwa msingi, waliniita mtoto wa mama, kwakua nilikua naogopa wanawake. Siku moja alimwambia rafiki yangu kua, ajifanye tunaenda chooni kisha tukifika, yeye atanivuta kwenye choo cha wanawake, rafiki yangu kwakua alishakua mzoefu wa wanawake, yeye alikua...
  12. G Sam

    Aliyeweka video ya mwanajeshi akisachiwa kwenye mitandao kwani anatuma ujumbe gani?

    Yani kumrekodi mwanajeshi akisachiwa na askari polisi na kupost ndiyo kuonyesha kuwa nyinyi si lolote? Nadhani wanamaanisha hivyo. Kumrekodi askari akipigwa sachi kiasi kile kisha kutuma kwenye mitandao ni moja ya uchokozi kati ya nchi na nchi. Poleni mnaoona ni jambo la kawaida kurekodiwa...
  13. N

    Mapenzi na kisasi

    MAPENZI NA KISASI Riwaya ya Kiswahili Mandhari: Dar es Salaam na Kigoma Wahusika Wakuu: Juma: Kijana maskini lakini mwenye ndoto kubwa, anayetumia roho yake safi na juhudi kumpata mpenzi wake. Hadija: Msichana mpole, mwenye ndoto za maisha bora, lakini anayebanwa na mapokeo ya kifamilia...
  14. S

    Kisasi kimelipwa:Kuna yule mchezaji alinawa mpira dakika za nyongeza na kuwapa Simba ushindi

    Sikumbuki ilikuwa ni mechi baina ya Simba na timu ipi, ila nachokumbuka ni katika mechi ya msimu huu ambapo kuna mchezaji alinawa mpira kizembe dakika za jioni na kuwapa Simba penati iliyowafanya watoke na alama 3 na kuzua mjadala. Kama sio kuunawa mpira, basi alisababisha penati ya kizembe...
  15. 6 Pack

    Kagame anavyoionesha duniani kuwa nchi yake ina watu wenye akili, elimu na uwezo mkubwa wa kufikiri kushinda Waisrael

    Niaje waungwana, Leo nimeamua nije na ukweli ambao baadhi ya ndugu zetu wayahudi wa bonyokwa, tangibovu, kiembe mbuzi na buza hawaujui. Hii ni kwa sababu wale wachache wenye kuujua huu ukweli hawataki kuusikia popote, u kuuzungumzia kwa mtu yoyote. Kwanza naomba nianze na Rwanda ya leo...
  16. Ritz

    Hamas wafanya shambulizi katika kitongoji cha Al-Junaina, mashariki mwa Jiji la Rafah, kulipiza kisasi damu ya Sinwar.

    Wanaukumbi. ⚡️ Vikosi vya Al-Qassam: Picha za shambulio la tatu la kuvizia likilenga askari na magari ya adui karibu na makutano ya Burj Awad katika kitongoji cha Al-Junaina, mashariki mwa Jiji la Rafah, kulipiza kisasi damu ya Sinwar. ========================= ⚡️ Al-Qassam Brigades: Footage...
  17. Ritz

    IRAN: Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran ya kulipiza kisasi

    Wanaukumbi. Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran. Operesheni True Promise III inakuja hivi karibuni. Iran, wamesema wazi lazima walipize kisasi wana haki ya kujilinda kama taifa kamwe hawezi kukubali na wako tayari kwa vita virefu...
  18. M

    Israel imetuangusha sana. Ule mkwara tukajua kisasi kitalipwa kesho yake tu

    Sisi wayahudi wa Matosa, Chamwino, Goba na kijichi hatuamini kama kweli umeogopa kulipa kisasi kama ulivyoahidi. Mkwala wote ule tukajua kesho mapema tu F 35 zinakwenda kuisawazisha Iran. Aaaaaah !! Jamani Yahudi tunavyokujua kuwa hauguswi . Imekuaje sasa. UNAJUA UKIMYA WAKO UMEMPAISHA SANA...
  19. Emmanuel gubabu

    Wananchi katikati ya kisasi hasira

    Wananchi Tuna kisasi na Al hilal lakini katika kisasi hiko TP mazembe ana kisasi na sisi dah hapo patachimbika balaa
  20. Sir John Deere

    Makamanda wa Marekani na Israeli wakutana Tel Aviv kupanga namna ya kujibu kisasi kwa Iran. Iran yawaambia inawasubiri.

    Hivi Leo mkuu wa kamandi ya kijeshi CENTCOM inayo operate katika maeneo ya mashariki ya Kati Gen .mike kurilla amekutana na viongozi wa kijeshi wa ngazi ya juu wa Israel katika kikao huko Tel Aviv ili kuisaidia Israel kupanga namna ya kulipa kisasi kwa Iran baada ya shambulio baya la Oktober 1...
Back
Top Bottom