Wakuu, nyumba nzuri sana na kiwanja ni kikubwa inauzwa
Kiwanja kina 2095m² na kina hati (yaani ukubwa wa eneo ni skwea mita elfu mbili na tisini na tano)
BEI: Tshs. 250,000,000 (milioni mia mbili na hamsini) maongezi yapo
Nyumba(eneo) ipo Madale kwa Mathias
kwa mawasiliano nipigie...