kisaikolojia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nidhamu ya uoga, unafiki na kujipendekeza ndivyo haswa vinamtesa Hamphrey Polepole kisaikolojia na moyoni akiwa mafichoni

    Ni wazi polepole alikua na nafasi nzuri mno ya kushauri anachosema sasa ambacho kwa wengi kinaonekana kama ni unafiki mtupu. Ni afadhalli angeshauri wakati akiwa na nafasi halafu ushauri wake ukataliwe kwa vielelezo angalau leo hii angelionekana mtu wa maana kiasi. Hivi sasa, historia ina...
  2. GE2025 Tujiandae kisaikolojia kusikia Mpina ameondolewa na Tume kugombea urais

    Waswahili husema mwanzo wa ngoma ni lele na ukisikia zindindi, zinduna haziko mbali. Hadithi ya secretariat ya CHADEMA kutimuliwa ilianza na barua ya kada wao ndugu Mchome. Kadhalika hadithi ya CHADEMA kuzuiwa kufanya shughuli za siasa ilianza na mashtaka yaliyofunguliwa na Said Issa Mohamed...
  3. M

    Simba tumeshajiandaa kisaikolojia na figisu ligi kuu za kukosa ubingwa misimu kadhaa kwa kutochangia harambee, tumesimama imara !

    Tumeshajiandaa kwa lolote hasa msimu huu mpya unaweza kuwa mgumu sana kwa kushindwa kuchangia chochote ccm walioenea kila idara za michezo. hata tukose kombe misimu kadhaa ijayo haitakuwa jambo la kushangaza. kwa upande mwengine Yanga wanaweza kuwa na msimu mwepesi sana kuanzia ratiba, marefa...
  4. Kuwatetea Watanzania inahitaji kidogo uwe na tatizo la Kisaikolojia

    Hamjambo! Moja ya mambo niliyojifunza kwa muda mfupi kuhusu utetezi wa Haki ni pamoja na uhusiano wa Haki na Saikolojia. Na hapo ndipo nikakuta mifano halisi katika jamii yetu. Nitakupa mifano kadhaa; 1. Huwezi tetea haki za Waumini wa Manabii wa upako ambao unahisi au unajua wanatapeliwa...
  5. D

    Hebu watu wamsaidie basi Polepole kisaikolojia. Ni kama kachangangikiwa.

    Anachanganya mada sana kadri siku zina yoenda sasa wenye akili tunajua amechanganyikiwa anahitaji msaada. Leo karukia kwa Lisu kutafuta sympathy ya watanzania baada ya kuona kalikoroga tayari. Aliyemshauri polepole sijui alikuwa na malengo ya kumpoteza au alikuwa na maana gani. Namuonea huruma...
  6. Mbinu 5 Za Kisaikolojia Zilizokatazwa – Lakini Zinafanya Kazi Kama Uchawi

    1. Mbinu ya “Chaguo la Uongo” (False Choice Trick) Mfano: “Ungependa tukutane saa 9 au saa 11?” Kwa nje inaonekana ni wewe unachagua, lakini kisaikolojia chaguo zote mbili zinampeleka mpangaji kwenye anachotaka. Saikolojia Inavyofanya Kazi: Hii inaitwa Illusion of Control. Wakati ubongo wako...
  7. Askofu Gwajima anahitaji msaada wa haraka wa kisaikolojia

    Kila kitu kinajionyesha wazi kua muungwana anapitia msongo wa mawazo wa kiwango kibaya zaidi, na binafsi yangu napendekeza apatiwe usaidizi wa mapema hasa wa kisaikolojia. Na kwa hulka yake ya kujimwambafai na kufurahisha wafuasi wake na public kwa ujumla, anaweza kuadai kwamba yupo fiti...
  8. Kufeli kwa Azam Fc , Singida na vilabu vingine vya mikoani ligi kuu ni suala la kisaikolojia? Ibenge na Gamond wanaenda kufuta inferiority complex

    Leo Tarehe 7/7)2025 naandika huu uzi kama utabiri Azam Fc ina resources zote pesa, uwanja na wachezaji wazuri wenye viwango vya kimataifa. Ni kawaida kwa mashabiki wa Simba au Yanga kuiita azam ni timu ndogo timu ya ukwsju na embe huku wengine wakiifananisha na kobe dhihaka zote huelekezwa...
  9. Je, Mpango wa Kumuua Tundu Lissu kwa Sumu Ukiwa Kizuizini Ni Dalili ya Taifa Lenye Hofu ya Ukweli na Kukwama Kisaikolojia Kabla ya Uchaguzi Mkuu 2025?

    Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya CHADEMA, kuna taarifa za kijasusi zinazoibua hofu kuhusu mpango wa kumuwekea sumu Tundu Lissu akiwa kizuizini. Swali kuu ni: tunapoingia uchaguzi mkuu wa 2025, je, hii ndiyo lugha ya kisiasa tunayoruhusu kama taifa? Kama msomi wa saikolojia ya siasa, jaribio la...
  10. Je, Viongozi Wetu Wana Tatizo la Malignant Narcissism? Tafakari ya Kisaikolojia kwa Wanaokandamiza Wakosoaji

    Mpaka sasa, mwenendo wa baadhi ya viongozi wetu unaashiria kuwepo kwa tatizo la kina la kisaikolojia ambalo linahitaji kuchambuliwa si kwa mihemko, bali kwa misingi ya kitaalamu ya clinical psychology na political behavior analysis. Kitendo cha kuwatishia, kuwakamata au hata kuwapoteza raia kwa...
  11. Z

    Lissu akitoka gerezani atamkuta Heche kabaki peke yake kwenye Chama. Hapo ndipo watajua kuwa Mbowe alikuwa mwamba

    Sasa ndio mtajua kuwa Chadema ilijengwa na Mhe. Mbowe au Lissu. Gharika kubwa zaidi inakuja. hakuna atakaye salia, Katibu Mkuu, Kamati kuu, Bavicha, Bawacha, wazee wa CHADEMA wote watabwaga manyanga muda si mrefu. Atakaye enda gerezani kesho j.mosi 10/05/2025, asiache kumwambia ukweli chama...
  12. Simba tujiandae kisaikolojia hiyo june 15

    Ni michezo kadhaa ya derby imepita tangu Simba ipate ushindi mbele ya Yanga. Baada ya hapo tumekuwa tukipokea vipigo mfululizo, ushauri wangu tujue wazi kupata pointi 3 mbele ya Yanga kwa sasa ni jambo ambalo haliwezekani ili tusije kuanza kulaumu wachezaji baada ya mechi. Walau pointi moja...
  13. R

    Boniface Jackob, jiandae kisaikolojia, trust ni kwa Mungu pekee, SI wanadamu

    Salaam ndugu, Moyo wa mtu ni kichaka, Na duniani hapa, wanadamu wote hutenda DHAMBI, toba ndio kitu pekee Cha kuharakisha kufanya ikitokea umeteleza. Ninaona unajaribu Kurudisha watu warudi kumuongelea kiongozi aliyeshindwa uchaguzi na kustaafu. Yaliyo moyoni mwa role model wako, ummekiri...
  14. Kwa Nini Wengi Hawahoji Maisha? – Safari ya Kifalsafa, Kisaikolojia na Kihistoria ya Udadisi wa Akili ya Binadamu

    Je, binadamu aliwekwa duniani kuishi tu kama mnyama mwingine yeyote—kula, kulala, kuzaa, na kufa bila kuuliza chochote? Je, maisha haya ni mkusanyiko wa matukio yasiyo na maana, au yana lengo ambalo linapaswa kuchunguzwa kwa undani? Hili ni swali la msingi ambalo kila binadamu anapaswa...
  15. Usitegemee Ndugu: Watakumaliza Kisaikolojia na Kukuteka Kimaisha

    Kuna jambo moja watu wengi huchukulia poa hadi wapitie wenyewe: msaidizi wa karibu sana anaweza kuwa mtesi wako mkubwa kuliko hata adui wa mbali. Ndugu zako—wale mnaoshiriki damu moja—wakiamua kukusaidia, mara nyingi wanakuwa na hidden terms and conditions ambazo hawazisemi hadharani, lakini...
  16. Cheating (Kuchepuka) Inaua Zaidi ya Mapenzi — Je, Watu Wanaelewa Madhara Yake ya Kisaikolojia na Kijamii?"

    Kuchepuka imekuwa kama kitu cha kawaida katika mahusiano mengi siku hizi — wengine wanakiona kama ujanja, wengine kama sehemu ya maisha. Lakini watu wengi hawazungumzii madhara makubwa yanayotokana na kutokuwa waaminifu. Baadhi ya madhara ya kuchepuka ni: Kuvunjika kwa imani (trust) — jambo...
  17. Msaada wa kisaikolojia umetolewa kwa watu wenye ulemavu

    MSAADA WA KISAIKOLOJIA UMETOLEWA KWA WATU WENYE ULEMAVU Watu wenye Ulemavu 821,763 (wanaume 411,321 na wanawake 410,442) walipatiwa huduma za msaada wa kisaikolojia. Kati ya hao, watu wenye Ualbino 67,502 walipatiwa msaada wa kisaikolojia wakati wa uendeshaji wa kliniki za uchunguzi wa...
  18. I feel for makutupora! Miaka 30 alafu unakuta mishe haziendi na dira ya maisha haiosomi, lazima uchanganyikiwe

    makutupora pole ndugu yangu. Msaada wako wa kwanza ni wewe ndugu yangu, nakuonaga wewe ni bonge la hyper katika nyuzi nyingi, nakushauri ujikimu katika u-MC, anzia events za mtaani kwa kufanya bure huku ukionesha passion. Ila tambua Wewe ni mmoja kati ya vijana lukuki wa aina yako katika taifa...
  19. Kisaikolojia mtu akiwa ameajiriwa ofisi fulani anapokaribia kustaafu huwa anajitahidi kuhudhuria kila tukio na kuandaa events zakualikwa na zake pia

    Mngeiita tu SAMIA FESTIVAL… nadhani ingekuwa sawa tu. “kuliko kuweka hilo neno serengeti Majina ya Festival huwa yanatokana na either: • Unachotaka kukinadi • Unachotaka kukienzi • Unachotaka kukiwekea kumbukumbu • Maudhui ya tukio zima CHAGUENI MOJA, badala ya kudogosha our NATIONAL...
  20. Dimitri Payet kuchunguzwa na polisi nchini Brazili baada ya kushutumiwa kwa 'unyanyasaji

    Mchezaji wa mpira wa miguu, gwiji Dimitri Payet anaripotiwa kuchunguzwa na polisi nchini Brazil baada ya kushutumiwa kwa 'unyanyasaji wa kimwili na kisaikolojia' dhidi ya aliyekuwa mpenzi wake mwanadada Larissa Ferrari wakati wa mapenzi yao ya miezi saba. Nyota huyo wa zamani wa klabu ya West...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…