kipanya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kibonzo cha Kipanya; Diary au Notebook

    Imeguswa kidogo tu tumeona yaliyotokea. Ikifinguliwa tutakimbiana hapa.
  2. Kibonzo cha Kipanya; hali halisi ilivyo

  3. Kipindi cha Kipanya; tukishapiga nyungu tupewe vyeti

    Chanjo hamleti basi tupeni vyeti tukishapiga nyungu na sisi tuonyeshe tunavyopigana na COVID.
  4. Kibonzo cha Kipanya; mti umekatwa

    Huu mti ulikua imara na mizizi yake iliulinda mti huu usianguke. Aliyeukata mti huu ana nyenzo imara kama chainsaw.
  5. Kibonzo cha Kipanya; baada ya pesa kukosekana mtaani watu wameanza batter

    TRA mtasubiri sana tumeamua mwendo wa mali kwa mali.
  6. Kibonzo cha Kipanya leo kinamhusu kiongozi wa wale 19 walioaposhwa garage

  7. Tanzania na Corona: Ujumbe wa Masoud Kipanya

  8. Uzi maalumu kwa vibonzo vya Kipanya

    Kufuatia vibonzo vya Masoud Kipanya kupenyeza ujumbe fulani wa muhimu nimependezwa kuona kuwa vibonzo vyake vyote vya kila siku view updated kwenye huu uzi tukijadili ujumbe uliokusudiwa.
  9. Kibonzo cha Kipanya; kuna anaetarajiwa kuingia ikulu na mzee!

  10. Kinonzo

    My take: Wapinzani wa Uganda walipitia mateso makali wakati wa uchaguzi lakini wamepata wabunge kadhaa japo urais walipoteza, sisi hofu yetu ilikua kubwa tumenyongwa kweli. Tusitegemee matumaini ya ushindi wakati tumejaa woga.
  11. Kipanya anamuelewesha mwanae; ukiwa Rais una uwezo wa kufanya lolote

  12. Kibonzo cha Noeli kutoka kwa Kipanya

  13. Kipanya aibukia kwa Spika Ndugai

    Yule msanii maarufu wa michoro ya katuni au vibwengo kama kwetu sisi uswazi tunavyo viita ameibukia mjengoni kwa Ndugai. Binafsi nimeshindwa kuitafsiri hiyo picha nini ina maanisha,hivyo wadau wenye ujuzi wa haya mambo tunaomba mtujulishe.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…