Kibonzo cha Kipanya; maumivu ni kwa wote haijalishi wewe ni chama gani.

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,270
1610451088925.png
 
MIMI NAUMIA KUONA WAPOTOSHAJI WANAVYOHANGAIKA KUMCHAFUA RAIS WETU MAGUFULI NA KUBEZA JUHUDI ZA SERIKALI. I HATE YOU MNAOJIFANYA WANAHARAKATI SIJUI MNATETEA HAKI KUMBE NI VIBARAKA WA MAADUI WA NCHI YETU MNAOTAKA RAIS WETU ASHINDWE.
Acha kuwa mnafiki sifia hadharani kwa kuweka V id hakuna anaye amka asubuh amchafuwe Rais ila hali halisi uchumi ndio huwo kama una mtoto au mzazi amepoteza kazi basi zidi kusifia ila watu wanalalamika ukweli anajenga miundombinu while watu wanakufa njaa je ni kwa manufaa ya nani? Pili anataka amalize miradi yote trust me wanamdanganya end
 
Acha kuwa mnafiki sifia hadharani kwa kuweka V id hakuna anaye amka asubuh amchafuwe Rais ila hali halisi uchumi ndio huwo kama una mtoto au mzazi amepoteza kazi basi zidi kusifia ila watu wanalalamika ukweli anajenga miundombinu while watu wanakufa njaa je ni kwa manufaa ya nani? Pili anataka amalize miradi yote trust me wanamdanganya end
NA WEWE WEKA ID YAKO HAPA TUKUJE NI NANI UNAYEISUMBUA SERIKALI NA KUIKOSEA HESHIMA. KILA SIKU SERIKALI INAHANGAIKA KUBORESHA MAISHA UNAJIFANYA HUONI JUHUDI ZOZOTE
 
MIMI NAUMIA KUONA WAPOTOSHAJI WANAVYOHANGAIKA KUMCHAFUA RAIS WETU MAGUFULI NA KUBEZA JUHUDI ZA SERIKALI. I HATE YOU MNAOJIFANYA WANAHARAKATI SIJUI MNATETEA HAKI KUMBE NI VIBARAKA WA MAADUI WA NCHI YETU MNAOTAKA RAIS WETU ASHINDWE.
Wewe ndiye kibaraka tena wa kusifu na kuabudu. Kwani maumivu hatupati wote ?!

Odhis *
 
Back
Top Bottom