Huwa sielewagi vibonzo vya huyu jamaa. Hiki kibonzo kina maana gani kwa wajuzi wa vibonzo?
Hakuna anaejua kama kobe yuko kwenye nyumba yake akiwa mzima au amekufa.Huwa sielewagi vibonzo vya huyu jamaa. Hiki kibonzo kina maana gani kwa wajuzi wa vibonzo?
Jamaa hajakata kamba... Baada ya kupata ahueni anajificha kusikilizia upepoHuwa sielewagi vibonzo vya huyu jamaa. Hiki kibonzo kina maana gani kwa wajuzi wa vibonzo?
Umeonaje kama yupo ndani?Naona Kobe mwenyewe yupo ndani......!!!
Mbona jamaa mchochezi si akamatweKobe keshatolewa na jumba lake sasa limekaliwa/linalindwa na combat ya jeshi. Mama Samia anaweza kuuota Urais na asiupate
Hujui kuwa kobe akifa gamba lake lina baki ila vitu vya ndani vyote vinaozeana?Jamaa hajakata kamba... Baada ya kupata ahueni anajificha kusikilizia upepo
Yericko NyerereHivi wale waandishi wa hadithi za Ujasusi hawawezi kutusaidia katika hili?
Au uwezo wao ni kusimulia tu.