Aisee nahisi nimepoteza uwezo wa kuwaza.
Kama mimiAisee nahisi nimepoteza uwezo wa kuwaza.
Hii katuni inamaanisha nini?
Aiseee! Pole sana. Tuma na ya kutolea hahaBinafsi sijaelewa kabisa, kuuliza si ujinga, nisaidieni inamaanisha nini?
MakandeOK. Ipo hivi, huyo mwanamke ni mke wa mbunge mmoja ambaye ana jina linafanana na chakula pendwa cha watanzania.
Chunguza pombe zote za kienyeji utajua jina lake mkuuMakande
Wali
Ugali
Ndizi
????
lowasa sijui matatizo ya akili ipo kwe jina au ukoo...yaani anonymous na bado unashindwa elezea vizuri..watanzania tumezidi unafikiOK. Ipo hivi, huyo mwanamke ni mke wa mbunge mmoja ambaye ana jina linafanana na chakula pendwa cha watanzania.
Mkuu type lonjaChunguza pombe zote za kienyeji utajua jina lake mkuu