kinondoni

Kinondoni District is a district in north west of Dar es Salaam's central business district, Tanzania, others being Temeke (to the far Southeast) and Ilala (downtown Dar es Salaam). To the east is the Indian Ocean, to the north and west the Pwani Region of Tanzania. The area of Kinondoni is 531 km2 (205 sq mi).
The 2002 Tanzanian National Census showed that the population of Kinondoni was 1,083,913. The census of 2012 showed that the population of Kinondoni was 1,775,049: 914,247 female and 860,802 male. There are 446,504 households in Kinondoni with an average of 4 people per household.The original inhabitants of Kinondoni were the Zaramo and Ndengereko, but due to urbanization the district has become multi-ethnic.

View More On Wikipedia.org
  1. Inside10

    TANZIA Diwani Wa CCM Kata Ya Mzimuni Manispaa Ya Kinondoni Afariki Dunia

    Diwani wa CCM Kata ya Mzimuni katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Mheshimiwa Manufred C. Lyoto amefariki dunia leo Machi 7, 2026 Taarifa za kifo chake zimetolewa na Mwenyekiti wa CCM Kata ya Mzimini, Abdalah M. Ally, ambaye pia ametoa pole kwa wanachama wa CCM pamoja na wananchi wote...
  2. D

    Kinondoni watengewa muda kutatuliwa changamoto za Maji

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imefungua dawati la huduma kwa wateja katika Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa lengo la kusikiliza, kutatua na kutoa suluhu ya changamoto za wateja juu ya huduma za majisafi. Afisa Huduma kwa Wateja wa DAWASA Kinondoni...
  3. radhiya

    Plot For Sale at Kinondoni Studio

    Plot For Sale. Location: Kinondoni Studio. -3rd Corner Plot from main road(Kawawa Rd). Plot size: SQM 450. Price: TZS 800M. Negotiable. Document: Title Deed For more information or to schedule a viewing, kindly contact us. A small viewing fee applies. Contacts: 0784 829565 or 0767 833345 or...
  4. N'yadikwa

    KERO Chuo Kikuu Huria Kinondoni Center, rekebisheni vyoo mtasababisha hasara ya afya za wanafunzi

    Ukifika hapo Open University Kinondoni Center Biafra Vyoo ni vichafu sana vimejaa vimeziba na majengo yake chakavu sana, mpaka unajiuliza hivi hapa kuna wasomi kweli??!! Hebu rekebisheni basi hivyo vyoo mnahatarisha afya za wanafunzi. Afisa Afya Manispaa ya Kinondoni fika hapo ukakague hivyo...
  5. radhiya

    Plot For Sale at Kinondoni Studio

    Plot For Sale. Location: Kinondoni Studio. -3rd Corner Plot from main road(Kawawa Rd). Plot size: SQM 450. Price: TZS 800M. Negotiable. Document: Title Deed For more information or to schedule a viewing, kindly contact us. A small viewing fee applies. Contacts: 0784 829565 or 0767 833345 or...
  6. Ponjoro wa Kinondoni

    Mimi Ponjoro wa Kinondoni simtambui rais wala Serikali

    Kwakifupi nimekaa hapa nasubiri uchaguzi mkuu. Ujumbe: Ile digidigi itoke huko ilipojificha tule nyama.
  7. Ndengaso

    Nini Kinaendelea Kinondoni ?

    Happening right now. Ni Fataki au milio ya nini ? Nawasilisha. Updates : Ni Sikukuu ya Diwali na wahusika wanasherekea kwa fataki. 🙏
  8. Mafyangula

    GE2025 Polisi na wanajeshi wapinga tizi zito Kinondoni

    Mkoa wa Kipolisi Kinondoni kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama vilivyopo ndani ya Mkoa huo umefanya mazoezi ya pamoja Oktoba 3, 2025. Mazoezi hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Jeshi la Wananchi Mwenge – Kikosi cha Bendi, yalihusisha matembezi mafupi (route match) pamoja na...
  9. Damaso

    Mwanamke wa Njombe ni sawa na wanaume watano wa Kinondoni

    Mwanamke wa Njombe ni sawa na wanaume watano wa Kinondoni. Ukiongeza Anko T kama kifungashio.
  10. P

    KANISA KINONDONI (KRC) LINATETEA MATAPELI

    Kanisa moja maarufu kinondoni biafra (KRC ) lomekuwa likimkingia kifua muharifu wa utapeli kwa zaidi ya miaka 3 sasa. Tapeli anatumia njia ya ulokole na muhumini wa pale kanisani, jamaa anauzaga nguruwe kama mboga pale kanisani kila jumapili ila yeye ni bodaboda pale chuo kikuu huria kilichopo...
  11. Dalali_wa_kimataifa

    Yard inauzwa ipo Kinondoni Dar es salaam Tanzania kwa dollars 1.8M

    #yardforsale YARD HII INAUZWA IPO KINONDON BARABARA HII YA MANYANYA UKITOKEA HUKU KAMA UNAELEKEA SALENDA BAADA YA MSIKITI MKUBWA WA BAKWATA YENYEWE IPO KULIA KABLA YA KUFIKA KWEMYE MAKABURI PLOT IMEGUSA LAMI BIASHARA IMENYOOKA INA TITLE DID SQM 2,956.37. ENEO ZURI SANA KWA KUJENGA...
  12. H

    Polepole Amuonya Chalamila. Asema Amemtukana Rais

    Polepole amemuonya Chalamila kuwa hana mamlaka wala uwezo wa kujibu hoja zake. Yeye Polepole alikuwa mjumbe wa kamati kuu akiwa na majukumu maalum, anayejua mambo mengi. Kaeleza kuwa Chalamila indirectly amemtukana Rais aliposema kuwa eti yeye Chalamila anaenda kufuata mafaili ya Polepole huko...
  13. Ponjoro wa Kinondoni

    Ponjoro wa Kinondoni nimepenya, Aliyenipa jina Anaishi kama digidigi

    Nimeandaa nyamachoma festival siku ya jumatatu, natamani mgeni rasmi awe yule PhD holder aliyenibatiza jina la Ponjoro wa Kinondoni. Akija atatusimulia experience ya kono la baunsa. Ndugu wana JF nitawawakilisha vyema kumtetea Rais Samia bungeni pamoja na ndugu Abdul ili wasishambuliwe. Nataka...
  14. R

    Picha: Wajumbe wa CCM Wilaya ya Kinondoni washiriki Mkutano Mkuu Maalum, Gwajima hajaonekana

    Wakuu, Aliyekua Mbunge wa Kawe Askofu Gwajima hajaonekana kwenye mkutano mkuu maalum wa CCM, au ndo kashiriki Mtandaoni?
  15. Ponjoro wa Kinondoni

    Mimi Ponjoro wa Kinondoni October Sitamuunga mkono Samia Suluhu Hassan. Namwomba Apumzike kama Philip Mpango na Majaliwa Majaliwa

    Kwanza napenda kuwajulisha kuwa mimi nampenda sana mama yangu Rais Samia Suluhu Hassan hivyo maoni yangu hayahusiani na chuki bali mapenzi ya kweli kwake. 1. Sikuridhishwa na mkataba wa DP World, itoshe tu kusema ule ni UTAPELI na lazima kila aliyehusika awajibishwe ili kuwa fundisho kwa...
  16. Lenin23

    Nahitaji chumba kinondoni

    Wapendwa habari Kama una namba za dalali au chumba cha kupangisha maeneo ya kinondoni kindly pm me your number so that i can call you , natanguliza shukrani zangu za dhati.
  17. Dennis Robert Shughuru

    Njia ntakayotumia kuboresha maeneo kama Magomeni, Mburahati, Kigogo, Mabibo, Manzeshe, Kinondoni, Mwananyamala, Kijitonyama, Sinza, Ilala, Keko n.k

    Hayo maeneo ni sehemu ya city centre kwa hiyo yanatakiwa yaboreshwe Zifuatazo ni njia ntakazotumia kuboresha na kuyafanya ya kisasa ntatumia njia zifuafazo Hayo maeneo yatajengwa gorofa kuanzia 5 na mpaka 100 Wale wote wenye maeneo watatoa maeneo hayo na kuwapa madeveloper Madeveloper watajenga...
  18. DuaZaMama

    GE2025 Hamad Komboza amejitosa kuomba ridhaa CCM kuwania ubunge Jimbo la Kinondoni

    Hamad Komboza Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu Tanzania Jumatano hii amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kuwania ubunge wa Jimbo la Kinondoni.
  19. Just Pray

    PreGE2025 Katibu wa Watanzania waishio nje ya nchi 'Daispora' Tanzania, Hassan Maftaha achukua fomu kuwania ubunge Kinondoni

    Katibu wa Watanzania waishio nje ya nchi 'Daispora' Tanzania, Hassan Maftaha akionyesha fomu ya kuwania ubunge wa Kinondoni baada ya kuichukua leo Jumapili Juni 29,2025. Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu Msaidizi wa Uchaguzi Wilaya ya Kinondoni, Amosi Richard kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo
  20. A

    KERO TARURA wilaya ya Kinondoni wananizungusha malipo yangu

    Mh. Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, habari ya leo? Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza. Ningependa kujuzwa, hivi raia anapoidai serikali (halmashauri) inachukua muda gani kulipwa stahiki zake? Ninawadai Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni pesa kwa mradi wao wa Tarura uliopita kiwanjani...
Back
Top Bottom