Bila shaka wewe umepitia mafunzo ya kijeshi na umekula viapo vingi sana vya kizarendo, kulinda Taifa, kwa ajili ya masilai maana ya nchi yetu Tanzania (Tanganyika).
Toka hadharani basi, uunganishe nguvu na wazalendo wenzio. Kama Mzee Warioba, Butiku, poleple, Tundulisu, Gwajima nk
Ukimya...