Kimya Dawson (born November 17, 1972) is an American folk singer-songwriter, best known as one half of the anti-folk duo The Moldy Peaches. Dawson's work with The Moldy Peaches earned her a cult following and critical acclaim, with their 2001 song "Anyone Else But You" landing a spot in multiple acclaimed indie film soundtracks. "Anyone Else But You" as performed by Michael Cera and Elliot Page charted on the Billboard Hot 100 after its prominent inclusion in the 2007 film Juno, the soundtrack of which includes several songs by Dawson and her associated musical acts. The song remains Dawson's highest charting single to date. In addition to her work with The Moldy Peaches, Dawson has released seven solo studio albums and collaborated with various other artists from a diverse range of genres, including Aesop Rock, They Might Be Giants, The Mountain Goats, and Third Eye Blind.
Mlifanikiwa kweli kweli 'Kuwaokota' Mashabiki wenu wenye Mapungufu ya Asili ya Akili na Kufikiri huku Wakirandaranda Mitaani na Kutamba ujio wake wakati kumbe zilikuwa ni Ndoto za Mchana tu.
Kama kwa sasa tu Mshahara wa Aziz Ki wa Shilingi Milioni 23.5 kwa Mwezi unawatoa Jasho na Mchezaji kila...
Watu wengi wanaamini kwamba kupambana na uhalifu ni jukumu la vyombo vya usalama pekee. Lakini ukweli ni kwamba vyombo hivyo haviwezi kudhibiti uhalifu peke yao. Ushiriki wa wananchi katika kupambana na uhalifu ni jukumu muhimu la kiraia na kizalendo.
Miongoni mwa mipango inayoweza kutumika...
Wanaukumbi.
SULUHU aliyoleta Rais Samia inamuacha upande gani Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bw. Tundu Lissu.
Je, huu ni USHINDI kwa CCM na serikali yake au Upinzani.
Thinkers” ni lazima tujiulize maswali magumu.
Je, yaliyotokea hayajawahi tokea miaka ya nyuma?
Kikwete hakuwaita wapinzani...
Waheshimiwa wabunge Livingstone Lusinde, Hamisi Kigwa. Joseph Kasheku Musukuma, Mariam Ditopile mbona mko kimya hadi sasa hamjamsikia Rais Samia kuhusu kuruhusu KUKOSOLEWA?
Mbona hamjatoa tamko lolote kumuunga mkono Rais Samia kwa uamuzi wake wa kutangaza kuwaomba watu wamkosoe ili ayaone...
Walimu, madaktari na watumishi wa kila kada wanajimaliza kwa pombe kali na kucheza kamali za kichina maarufu kama bonanza.
Mishahara ikitoka ni kucheza makamali tu na kunywa pombe kali.
Wanasahau familia zao na kutoa matumizi.
CCM ipo kimya. Watumishi wanahitaji msaada wa kisaikolojia.
Kuna mliokua mkikejeli madubwana yaliyopelekwa Ukraine ya kulinda dhidi ya drones, mkachekelea kwamba hayana kazi, haya hapa matokeo yake, drones zinapigwa chini hamna hata moja inamudu kupita, ndio kete aliyokua amebaki nayo Mrusi, sijui ataomba wapi msaada mwingine.
-----
The Ukrainian Armed...
Habari za sasa wanachama wa Jamiiforums natumai wote ni wazima wa afya, nilikuwa na jambo lini kereketalo moyoni mwangu liitwalo “MAHARI”
Nilikuwa na tatizo na huu utamaduni ulio zoeleka hapa dunia mpaka kukomaa wa malipo ya kifedha/mali kwa mwanaume/mwanamke ili kuweza kukidhi vigezo vya kuoa...
RAIS SAMIA AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 10 UWT JIJINI DODOMA.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan azungumza na Viongozi, wageni mbalimbali pamoja na Wajumbe wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) akifungua Mkutano Mkuu...
Siyo Tundu lissu wala Mbowe sasa wote wapo kimya hali shwaaari!
Walituaminisha Serikali inafuja pesa kujenga miundombinu, walituaminisha bwawa LA nyerere siyo kipaumbele, walituaminisha utawala awamu ya tano hautoi huduma mhimu kwa wananchi!
Sasa tangu utawala wa awamu ya Sita uwashike mkono...
Wakati aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Bashiru Ally akiendekea kuandamwa na kauli yake, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla amejitosa akimtaka kiongozi huyo kukaa kimya kama hataki kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika...
BUNGE jana limeibua Kashfa ya upigaji wa zaidi ya trilioni 1.5 kwenye mradi wa bwawa la nyerere lakini tangu jana tuhuma hizo zimeibuliwa bungeni na mbunge wa kisesa, luhaga mpina nilitegemea zito kabwe ungetoa tamko juu ya suala hilo.
Ukimya wa Zitto Kabwe kwenye mambo mazito kama haya...
Ndio dhambi za dhuluma, unamega ardhi ya watu ila ujue hata kama miaka itapita mia lazima itakuja watoka wajukuu wako puani, Urusi baada ya kuiba Crimea ikaifanya sehemu ya nchi yake, ila wazalendo wa Ukraine wametembeza kichapo cha balaa na imekua wazi Warusi wataishia kutema maeneo yote...
Haka kabinti nilikatongoza mara mbili, kalikataa kabisa kwakuwa mimi ni shemeji yake. Sasa naona tabia yake ile ya kuniomba nimnunue hiki mara nimtolee pesa ya mchezo, mara ya kula naona bado hajaiacha.
Vipi nimchane live kuwa akiwa na shida amwombe dada yake kisha dada yake ndiye afikishe...
Habari wakuu, mimi ni mpenzi wa nyimbo zote nzuri. Mwezi Septemba Barnaba na Marioo walitoa wimbo wao unaitwa "Marry Me".
Kwakweli ni wimbo mzuri sana. Unaweza kuusikiliza ukiwa sehemu yoyote na watu wa aina yoyote bila shaka. Nimekaa nausikiliza peke yangu, nikaona siyo mbaya kushirikisha na...
CHADEMA wapo kimya ila CCM wenyewe kila siku ndiyo wamekuwa wasemaji kwa niaba ya CHADEMA. Yaani CHADEMA wakitaka kusema CCM wanatumia vyombo vya dola kuwazuia kusema, wakikaa kimya bado inakuwa nongwa.
CCM wanaanza kuuliza "Mbona CHADEMA wapo kimya".
Yani hizi updates za Jamaa kugongewa na kuchapiwa zinachagamsha jamvi kichiz na kusisimua.
Watanzania tunafurahiiii nakusahau shida zetu.
Naomba tu hili saga liendelee hadi krismas huko watu tuenjoy maumivu ya wengine kwasababu huu mlo mmoja kwa siku wengi tunaupata bila kusindikizwa na umbea...
Inasikitisha sana kuwa serikali yetu iko kimya sana kuhusu hii ishu.
Nini kifanyike ili wananchi wa Tanzania wasikumbane na madhila ya namna kama hii?
Elimu itolewe kuhusu utapeli wa mitandaoni.
Mashabiki wavumilivu ndio wanaokula mbivu, Simba inapoyumba yumba wanayumba nayo inapoinuka wanainuka nayo.
Lakini kwa wengine baada ya Simba kuyumba kidogo msimu uliyopita mashabiki wasio wavumilivu walijitangaza waziwazi na wengine kimyakimya kuhamia Yanga.
Leo walewale wanakuja kimya...
Hivi karibuni kumekuwepo na taarifa ya kufungiwa kwa waamuzi wawili Amina Kyando na Ahmed Arajiga kwa kipindi cha miezi sita ingawa taarifa zao hazijatangazwa kama ilivyo kawaida.
Habari za ndani kutoka kwenye Kamati ya Waamuzi Nchini, zilieleza kuwa waamuzi hao walifungiwa kutokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.