kesi ya uhaini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Polisi wenye mitutu wameongezeka jijini Dar, ni maandalizi ya kukabiliana na raia kutokana na matokeo ya Kesi ya Lissu?

    Wakuu, Polisi wameongezeka jijini (Dar es Salaam) kuliko kawaida, maeneo karibu na Mahakama Kuu na sehemu walikokinukisha idadi ya polisi wenye silaha imeongezeka kwa wingi, mpaka wananchi mnabaki kujiuliza kuna nini. Polisi kuwa wengi mtaani huwa haitokei tuu, mara nyingi ni inakuwa ni sababu...
  2. McLaren

    Februari 20: Kesi ya Uhaini inayomkabili Lissu inaendelea leo. Shahidi wa kificho (P9) anatoa ushahidi

    Wakuu, Kesi ya Lissu inaendelea leo Kaa karibu na uzi huu kupata updates ya kinachoendelea Soma Pia: Shahidi wa Kesi ya Lissu (P7): Nauli ya kuja mahakamani leo nimepewa na mwanamke wangu. Ndiye ananiweka mjini Kesi ya Tundu Lissu kuendelea leo Februari 17, 2026, mashahidi wa Jamhuri...
  3. Mindyou

    Februari 19: Kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu inaendelea leo. Shahidi wa 12 anatarajiwa kuzungumza leo

    Wakuu, Kaeni karibu na uzi huu ili mpate updates ya kinachoendelea leo kwenye kesi ya leo Mawakili wa Serikali wameshaingia Mahakamani lakini Majaji na Mshitakiwa bado hawajaingia. Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu amefikishwa tena kizimbani tayari kwa kuvaana na mashahidi wa upande wa...
  4. K

    Sioni utofauti wa mashahidi kesi ya uhaini ya Lissu na Drama za wakatoliki feki

    Hebu kama nchi kama taifa linalotumia dharama kubwa kumtumia waziri wa mambo ya nje kupuyanga mataifa MBALI MBALI kurejesha heshima ya nchi. "Eti Mimi ni dereva bodabida nilipoiona clip ya Lissu kuwa tukakinukishe nikahamasika nikaenda kijiwen kwangu kuhamasisha jamaa zangu kwamba tukinukishe...
  5. Roving Journalist

    Kesi ya uhaini dhidi ya Lissu: Shahidi wa saba kati ya 30 wa Jamhuri kuanza kutoa ushahidi

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, inatarajiwa kuendelea leo Februari 16, 2025, katika Mahakama Kuu, Masijala Ndogo, Dar es Salaam. Shahidi wa saba anatarajiwa kuanza kutoa ushahidi wake kati ya mashahidi 30 wa Jamhuri, ambapo jumla ya mashahidi hao, 19 ni...
  6. H

    Kesi ya Uhaini ya Lissu: Serikali hii ni ya laana, imewatafuta watu wenye dhiki ya maisha na kuwafanya mashahidi wa kificho

    Kwenye kesi bandia iliyotengenezwa na watawala dhidi ya Lisu, kila mmoja alishangaa kuona wale mawakili wa mchongo wa serika wakikazania kuwa na mashahidi wa kificho. Watu mbalimbali walitoka na hisia tofauti tofauti. Baadhi mpaka walifikia kusema kuwa labda wale waliokuwa viongozi wa CHADEMA na...
  7. Waufukweni

    PostGE2025 Kesi ya uhaini ya Lissu, mahakama kutoa uamuzi wa mapingamizi leo Feb 11, 2026

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, leo Jumatano, Februari 18, 2026, inatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu mapingamizi yaliyowekwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, katika kesi ya uhaini inayomkabili. Katika kesi hiyo namba 19605/2025...
  8. Mkalukungone Mwamba

    Mahakama kuu, Kanda ya Dar es salaam Tarehe 11 Februari, 2026 kutoa uamuzi mdogo katika kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu

    Tarehe 11/02/2026 Chadema itakuwa na Kesi 3 Mahakama kuu. Kesho tarehe 11/02/2026 Mahakama kuu, Kanda ya Dar es salaam inatajia kutoa uamuzi mdogo katika kesi ya Uhaini inayomkabili mwenyekiti wa Chadema Mhe. Tundu Lissu, kufuatia pingamizi la Mhe Lissu dhidi ya mashahidi wa kificho akitaka...
  9. Waufukweni

    PostGE2025 Kesi ya uhaini ya Tundu Lissu kuendelea Februari 9 hadi Machi 6, 2026

    Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano, Brenda Rupia ametoa taarifa hii iliyotolewa na Gaston Galubindi, Mkurungenzi wa Sheria CHADEMA Taifa, kuhusu Kesi ya Uhaini ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA); Chadema inawafahamisha kwamba kesi ya uhaini dhidi ya Mhe Lissu...
  10. B

    Kesi ya uhaini ya Tundu Lissu; Mkurugenzi wa sheria, katiba na haki za binadamu CHADEMA anatoa ufafanuzi wa kilichotokea

    10 January 2026 MAZITO YAFAFANULIWA https://m.youtube.com/watch?v=sVw34Jl61eg Advocate Gaston Shundo Garubindi anajibu masuala mbalimbali ktk interview exclusive na Jambo TV yanayogusia ikiwemo kwa uchache ktk mengi Criminal case / kesi Jinai huwa hazitakiwi kusimama session zake hata kama...
  11. Mafyangula

    PostGE2025 Baraka Chacha, aliyeshtakiwa kwa kesi ya uhaini aachiwa leo, na sasa yuko nyumbani kwao

    Taarifa zilizotufikia hivi punde (leo, Jumatano Desemba 24.2025) zinaeleza kuwa Baraka Chacha aliyekuwa gerezani akishtakiwa kwa kesi ya uhaini amechiwa, na sasa yuko nyumbani kwao Buza Kwa Mama Kibonge, Mtaa wa Mashine ya Maji, Dar es Salaam Jambo TV imezungumza kwa njia ya simu na Baba mzazi...
  12. BIG BROTHER ALEX

    Mika chavala, anaeshikiliwa kwa kesi ya uhaini huyo dogo si mzembe ni balaaa zitooo ndo maana

    Katika pitapita zangu instagram Kuna page nika kuta huyo dogo akifanya mahojiano na professor pro Lumumba aiseee nimechokaaaa, kumbe polisi wanamjua huyo dogo ndo mana nilikua najiuliza huyo dogo mbona wamemtaiti ni nani huyo si wamwachie, kumbe serikali inajua huyo ni mtu hatari. He is so...
  13. sinza pazuri

    Unamjua Mika Chavala? Kijana ambaye bado anaeshikiliwa kwa kesi ya uhaini

    Tukizungumzia vijana wanaoshikiliwa kwa uhaini wengi wanalifahamu jina la binti strong Niffer. Lakini kuna huyu mwamba anaitwa Mika Chavala. Sikuwa namfahamu ila nilim-google baada ya kuona jina lake kwenye media ya kimataifa akitajwa. Nimekuta profile yake ni kijana hodari, jasiri, mbunifu...
  14. Waufukweni

    PostGE2025 Aliyekuwa amepewa kesi ya uhaini adai walitumika kubeba miili ya waliouawa kwenda kuwazika Makaburi ya Kondo

    Muna Love ame-share screenshot ya moja ya ndugu wa aliyekuwa amepewa kesi ya uhaini baada ya maandamano ya Oktoba 29 akidai kuwa walitumika kubeba miili ya waliuawa kwenda kuwazika kwenye makaburi ya pamoja huko Kondo ambako hata ripoti ya uchunguzi ya CNN ilieleza uwepo wa makaburi hayo. "Dada...
  15. Waufukweni

    PostGE2025 Ndugu Jamaa na Marafiki wafurika Kisutu na Maua kusubiri watuhumiwa wa Uhaini kuachiliwa

    Ndugu jamaa na marafiki wamefurika nje ya viunga vya mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es salaam Tanzania wakiwasubiri ndugu zao wanaokabiliwa na mashitaka ya uhaini kutokana na machafuko yaliyotokea Tanzania siku na baada ya uchaguzi mkuu Oktoba. Hapo jana watuhumiwa 210 waliachiwa...
  16. DuaZaMama

    PostGE2025 watu 38 walioshtakiwa kwa uhaini kesi yaahirishwa hadi Desemba 3

    Kesi ya Uhaini namba 26394/2025 inayowakabili washtakiwa 38 ambao walikamatwa kutokana na matukio yaliyotokea Oktoba 29, imeahirishwa mpaka Disemba 3, 2025. Shauri hilo leo lilikuwa linasikilizwa kwa njia ya mtandao mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Beda Nyaki ambapo washtakiwa hawakufikishwa...
  17. Waufukweni

    PostGE2025 Video: Ndugu wa walioshtakiwa kwa Uhaini baada ya Uchaguzi wafurika Mahakamani

    Leo Novemba 19, 2025 kesi za uhaini zinazowakabili washtakiwa zaidi ya 100 (waliokamatwa kwa nyakati tofauti kuanzia Oktoba 29) zinatarajiwa kuendelea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Hata hivyo ndugu na jamaa wa washtakiwa, waliofika mahakamani hapo kwa ajili ya...
  18. M

    Waliofuata Mkumbo na kupewa kesi ya Uhaini wamesamehewa, Waliokufa je?

    Kumbe mlijua kuna vijana wanafuata mkumbo kwanini muwapige risasi za kichwa na marungu? Ndio mnavyolea watoto wenu huko au watoto wa masikini ndio wakujifunzia kulenga shabaha? Nafikiri huu unaoitwa msamaha lengo lake ni kutaka kusamehewa na yeye. Umetengeneza tatizo halifu unjifanya...
  19. Q

    Kosa kubwa alilofanya Samia kwenye hotuba yake ni kukiri kuna Watoto wameuliwa na kupewa kesi ya Uhaini

    Mimi sio ICC prosecutor bali nachojua kama atapeleka huko ataulizwa, umesema polisi walikuwa wanazuia uhalifu je hao watoto walikuwa wanaandamana? Kama walikuwa hawaandamani kwanini ulitoa oder wauawe. Huo uhaini hao watoto waliufanya wapi na lini, na huo msamaha kwa wahaini umeanza lini...
  20. M

    PostGE2025 Rais Samia atangaza msamaha kwa washtakiwa wa kesi ya uhaini, “hasa kwa walioingia kwa kufuata mkumbo“

    Rais Samia amesema kuna vijana ambao ulikuwa ukiwaangalia walikuwa wakionekana wakifuata mkumbo lakini hawakuwa wakielewa kile walichokuwa wanafanya. Hivyo ameagiza vyombo vya ulinzi vijana wote waliofanya makosa kwa kufuata mkumbo wafutiwe makosa yao. Rais Samia amenukuu mstari kutoka kwenye...
Back
Top Bottom