kenyatta

Jomo Kenyatta (c. 1897 – 22 August 1978) was a Kenyan anti-colonial activist and politician who governed Kenya as its Prime Minister from 1963 to 1964 and then as its first President from 1964 to his death in 1978. He was the country's first indigenous head of government and played a significant role in the transformation of Kenya from a colony of the British Empire into an independent republic. Ideologically an African nationalist and conservative, he led the Kenya African National Union (KANU) party from 1961 until his death.
Kenyatta was born to Kikuyu farmers in Kiambu, British East Africa. Educated at a mission school, he worked in various jobs before becoming politically engaged through the Kikuyu Central Association. In 1929, he travelled to London to lobby for Kikuyu land affairs. During the 1930s, he studied at Moscow's Communist University of the Toilers of the East, University College London, and the London School of Economics. In 1938, he published an anthropological study of Kikuyu life before working as a farm labourer in Sussex during the Second World War. Influenced by his friend George Padmore, he embraced anti-colonialist and Pan-African ideas, co-organising the 1945 Pan-African Congress in Manchester. He returned to Kenya in 1946 and became a school principal. In 1947, he was elected President of the Kenya African Union, through which he lobbied for independence from British colonial rule, attracting widespread indigenous support but animosity from white settlers. In 1952, he was among the Kapenguria Six arrested and charged with masterminding the anti-colonial Mau Mau Uprising. Although protesting his innocence—a view shared by later historians—he was convicted. He remained imprisoned at Lokitaung until 1959 and was then exiled to Lodwar until 1961.
On his release, Kenyatta became President of KANU and led the party to victory in the 1963 general election. As Prime Minister, he oversaw the transition of the Kenya Colony into an independent republic, of which he became president in 1964. Desiring a one-party state, he transferred regional powers to his central government, suppressed political dissent, and prohibited KANU's only rival—Oginga Odinga's leftist Kenya People's Union—from competing in elections. He promoted reconciliation between the country's indigenous ethnic groups and its European minority, although his relations with the Kenyan Indians were strained and Kenya's army clashed with Somali separatists in the North Eastern Province during the Shifta War. His government pursued capitalist economic policies and the "Africanisation" of the economy, prohibiting non-citizens from controlling key industries. Education and healthcare were expanded, while UK-funded land redistribution favoured KANU loyalists and exacerbated ethnic tensions. Under Kenyatta, Kenya joined the Organisation of African Unity and the Commonwealth of Nations, espousing a pro-Western and anti-communist foreign policy amid the Cold War. Kenyatta died in office and was succeeded by Daniel arap Moi.
Kenyatta was a controversial figure. Prior to Kenyan independence, many of its white settlers regarded him as an agitator and malcontent, although across Africa he gained widespread respect as an anti-colonialist. During his presidency, he was given the honorary title of Mzee and lauded as the Father of the Nation, securing support from both the black majority and the white minority with his message of reconciliation. Conversely, his rule was criticised as dictatorial, authoritarian, and neo-colonial, of favouring Kikuyu over other ethnic groups, and of facilitating the growth of widespread corruption.

View More On Wikipedia.org
  1. MIXOLOGIST

    Is Kenyatta getting emotional?

  2. BARD AI

    Kenya2022 Rais Kenyatta aahidi kukabidhi Madaraka kwa amani

    Rais amewahakikishia Wakenya kuwa ataheshimu uamuzi wa Mahakama ya Juu ulioidhinisha kuchaguliwa kwa Naibu Wake, William Ruto kuwa Rais Mteule. Taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Kenya imesema Rais Uhuru atahakikisha kuwa kutakuwa na makabidhiano Madaraka kwa amani na kwamba mchakato huo tayari...
  3. Carlos The Jackal

    Kenya2022 Ruto: Maamuzi ya mahakama tunamuachia Mungu

    "Sisi ni watu ambao tunamtambua Mungu, maamuzi yatakayoenda kutolewa kesho tumemuachia Mungu na viongozi wa mahakamani waamue na kenya iweze kwenda mbele". "Mimi naomba kwa heshima kubwa mumuombee Kenyatta hasa katika kipindi hiki cha transition, Mungu amsaidie ampatie hekima, kuwe na...
  4. JanguKamaJangu

    Kenya2022 Kambi ya Ruto haijafurahishwa na ukimya wa Rais Kenyatta

    Ukimya wa Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta kuhusu ushindi wa William Ruto imedaiwa haupokewi vizuri na kambi ya Ruto licha ya maandalizi ya maandalizi ya makabidhiano ya ofisi kuendelea kwa amani. Rais Kenyatta amekutana na vingozi wa dini Ikulu na kuwaaga akiwaeleza makabidhiano yatafanyika kwa...
  5. kavulata

    Utelezi wa vita ya Ukraine umemwangusha Kenyatta na Raila Odinga Kenya

    Maisha yamepanda, maisha ni magumu na hali ni mbaya sana kwa watawala katika kipindi hiki. Ni vigumu kuwashawishi wapigakura kuwa hali hii nguvu ni kwasababu ya vita ya Ukraine na Russia na sio uzembe na ufujaji wa viongozi wao. Kilichomwangusha Raila kwenye sanduku la kura ni kuungwa mkono na...
  6. Nobunaga

    Mwanzo wa uasi wa Mlima Kenya dhidi ya Rais Kenyatta

    Rais Uhuru Kenyatta alipowasihi wafuasi wake wa Mlima Kenya mwaka wa 2013 kumkumbatia William Ruto kama mrithi wake anayetarajiwa, alikuwa ameweka agano bila kujua hangeweza kulivunja. Wakaazi wa Mlima Kenya walikuwa wamedhamiria sana kumuona Dk Ruto akichukua mamlaka mwaka wa 2022 hivi kwamba...
  7. benzemah

    Kenya2022 Ruto Ameshinda, Je, ni kweli Rais Uhuru Kenyatta Ameshindwa? Au Odinga kachezewa Mchezo?

    Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Kenya (IEBC), jana ilimtangaza Ndugu, William Samoei Arap Ruto kuwa Rais Mteule wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Kenya. Ruto ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kenya, na amehudumu chini ya Rais Uhuru Kenyatta kwa takribani miaka 10 sasa. Pamoja na urafiki wa muda...
  8. peno hasegawa

    Kenya2022 Nairobi: Ruto ashinda Kura kituo walichopiga Kura familia ya Uhuru Kenyatta

    Licha ya Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, kuwataka Wakenya wasimpe kura mgombea urais wa Kenya Kwanza na Naibu Rais, William Ruto bali wampe kura hizo mgombea urais wa Azimio la Umoja, Raila Odinga ameshindwa kumbeba mgombea huyo katika kituo alichopigia kura. ====== Licha ya Rais wa Kenya...
  9. Naantombe Mushi

    Kenya2022 Why Kenyatta chose the losing side? Or is it part of the plan to cancel Raila forever?

    Looking at the momentum of how things are unfolding during the campaign also in various social media, It looks like wananchi are with Kenya Kwanza. Personally, I am not Kenyan, but i have followed the manifesto and the think tank behind these two movements. The quick conclusion i can draw is...
  10. Lady Whistledown

    Kenya2022 Ruto kwa Uhuru Kenyatta: Acha kuwatisha Wakenya na Kuniongelea

    Deputy President William Ruto has yet again launched an onslaught against his boss, Uhuru Kenyatta, following a series of remarks made by the Head of State recently. In a bare-knuckle response to alleged threats by President, the DP has fired back at Uhuru telling him to focus on his retirement...
  11. Jidu La Mabambasi

    Uhuru Kenyatta hatasahaulika kwa muda mrefu sana, ni kiongozi mstaarabu sana

    Kama kuna Rais nimependezwa naye toka Kenya ni ndugu yangu Uhuru Kenyatta. Huyu jamaa ni simple, hayuko comlicated kma wanasiasa wengi. Yuko down to earth. Huwa napenda sana kusikiliza hotuba zake zenye vichekesho vingi. Na si kwamba ni mtumwepesi, ana mali nyingi tu za kutosha. Lakini...
  12. MSAGA SUMU

    Ni wakati wa Kenyatta kupewa semina kabla ya kukutana na mama.

    Huwezi kukutana na mama Samia,rais wa nchi, Amiri jeshi mkuu, mkuu wa nchi na serlikali halafu unajiaachia tu ,unakaa Kama unasubiri githeri maeneo ya Kayore. Ebu angalia utulivu wa mama halafu linganisha na ule wa Uhuru Uhuru next time jitahidi brother.
  13. JanguKamaJangu

    Siku chache kabla ya kuachia madaraka, Kenyatta amteua Mkuu mpya wa Jeshi la Ardhini

    Peter Mbogo Njiru Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amemteua msaidizi wake wa zamani (aide-de-camp - ADC) Peter Mbogo Njiru kuwa Mkuu wa Majeshi wa Kenya, ikiwa ni wiki chache kabla ya kuondoka madarakani. Njiru amepandishwa cheo kutoka kuwa Meja Jenerali na kuwa Luteni Jenerali nafasi ambayo...
  14. Lady Whistledown

    Kenya2022 Gachagau: Kenyatta alini-blackmail nisimuunge Mkono Ruto

    Mgombea mweza wa Urais nchini Kenya, kupitia Kenya Kwanza, Rigathi Gachagua amemtuhumu Rais Uhuru Kenyatta kumtuma Mshauri wake kumwonya iwapo angeendelea kumuunga mkono Rutto lingempata jambo Madai hayo yanakuja baada Mgombea huyo kudai kuwa kukamatwa na kufungiwa kwa akaunti zake za benki kwa...
  15. JanguKamaJangu

    KENYATTA: Nilikuwa tayari kuachia madaraka ya Urais ili kuepusha umwagikaji wa damu 2017

    Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema alikuwa tayari kuachia madaraka ya Urais baada ya Mahakama Kuu kuufuta ushindi wake katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2017, angefanya hivyo ili kuzuia umwagikaji wa damu lakini Naibu wake, William Ruto alimshawishi kutofanya hivyo. Mahakama iliagiza kurudiwa...
  16. Lady Whistledown

    Kenya2022 William Rutto: Nilimfanya Uhuru Kenyatta Rais wa Kenya

    Akizungumza mjini Meru katika siku ya mwisho ya ziara yake ya Mlima Kenya Mashariki, Makamu wa Rais Ruto amesema wakati Mahakama kuu, ilipoamuru uchaguzi wa marudio mnamo 2017, Rais Kenyatta hakutaka kurudia na alimlazimisha kurudia uchaguzi huo kwani asingemruhusu kuacha kazi aliyoifanya kwa...
  17. JanguKamaJangu

    Kenya2022 Uhuru Kenyatta amwambia Ruto hafanyi kazi amekalia mdomo tu

    Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amemjia juu Naibu wake, William Ruto kuelekea Uchaguzi Mkuu akisema kama ameshindwa kufanya akiwa na nafasi ya juu Serikalini ataweza vipi kwa mara nyingine anapoomba nafasi ya Urais Kenyatta akizungumza katika Sherehe za Ushirika amesema: “Mimi nasikitika kuona...
  18. JanguKamaJangu

    Jaji Mkuu Kenya ataka Kenyatta aondolewe madarakani kwa kukiuka Katiba

    Martha Koome ambaye ni Jaji Mkuu Nchini Kenya anataka Mahakama ya Rufaa ya Kenya kuangiza Rais Uhuru Kenyatta kuondolewa madarakani kwa kukiuka Katiba baada ya kukataa kuwateua majaji sita miongoni mwa 40 walioidhinishwa na Tume ya Huduma za Mahakama (JSC) miaka mitatu iliyopita Pamoja na...
  19. JanguKamaJangu

    Rais Kenyatta avunja kanuni, amnyima Naibu wake fursa ya kuhutubia Taifa

    Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amekataa kumpa fursa Naibu wake kuhutubia taifa katika maadhimisho ya Siku ya Madaraka, Juni Mosi, 2022 Hii ni mara ya kwanza Ruto amekosa kupewa fursa ya kuhutubia taifa tangu Kenyatta alipoingia madarakani mwaka 2013. Hatua ya Kenyatta imetafsiriwa na raia wa...
  20. sky soldier

    Wakenya naomba mnijuze, Rais Uhuru Kenyatta na mpambe wake ni ndugu?

    Nimekuwa nikiona matukio kadhaa mpambe wa Rais akiwa na mazoea sana na Rais wa Kenya, ni kama vile imevuka mipaka. Je, huyo mpambe wake ni ndugu?
Back
Top Bottom