Kenya, Chinese space station deal alarms US

Kevin85ify

JF-Expert Member
Apr 6, 2019
2,685
3,429
After the Huawei saga,Kenya has been thrust into the centre of yet another fresh row between the US and China over a multi-billion dollar space programme that Washington says will put its dominance at risk.

The US space agency NASA on Wednesday warned that Beijing was using the space deal with Kenya to undercut Washington and other foreign launch and satellite providers in the international market.


While appearing before the US Congress, NASA chief Jim Bridenstine warned the US lawmakers that US space supremacy is at risk in the face of the planned Chinese space station that involves Kenya and that Beijing hopes will be operational by 2022.

A space station is a spacecraft capable of supporting a human crew in orbit for an extended period of time. The special vessels are mostly used for scientific purposes, including studying climate change but military applications are also possible.

The International Space Station (ISS) is the only one of its kind and is the product of collaboration between state agencies from US, Russia, Japan, Europe and Canada.

China, meanwhile, wants to build its own space station and has enlisted scientists from multiple countries, including Kenyan Physicists from the University Of Nairobi, to participate in its programme.

Others are France, Germany, Japan and Peru, according to Xinhua news agency.
 
Including Physicists from the University of Dar es salam.
Wacha mbio jipeni mda mkuze elimu yenyu kwa sahi hakuna mtu anatambua masomo ya Tanzania. Dunia inajua bado mko chini sana kielimu hata Uganda inawashinda kwa elimu.
Masomo yenyu ni sarakasi za tom and jerry.

Two Ugandans named among Africa’s best scientists

Fungua hiyo link uone kama kuna mtanzania hata mmoja. Uganda wako na wawili, Kenya iko na watat,u Tanzania hakuna hata mmoja. Masomo yenyu ya university ndiyo kama high school hapa Kenya.
 
Maumivu ya kujua hakuna mtu anawatambua kimasomo. Pona hivi karibuni, na ikizidi kamuone daktari.


Ni ugunduzi gani wa kisayansi hao physicists wenu wameufanya kiasi kwamba waweze kuwa na hadhi (credentials) za kujumuishwa katika hiyo space program ya Wachina??.
 
Toa mfano mmoja wa topic moja tu ya Physics katika chuo au high school ya huko kenya ili nikubali usemacho.
HAHAHA, Naona sasa umeanza kuingia wasi wasi. Usijali tunajenga University mpya Inaitwa Kaist (Konza institute of advanced science) ambayo inajengwa na south Korea iwe kama Kaist huko south korea.
Yani bado tutawakalia kimasomo kwa mda mrefu.
 
Ni ugunduzi gani wa kisayansi hao physicists wenu wameufanya kiasi kwamba waweze kuwa na hadhi (credentials) za kujumuishwa katika hiyo space program ya Wachina??.
Wakenya ni watu wa kujituma ndiyo sababu wamejumuishwa na watu werevu, nyinyi ni wavivu na miaka mingi ya kula mihogo na maharage pekee imewafanya akili zenyu hazikuwi vizuri.
Tulianza kufanya utafiti ya space kuanzia 1962 nyinyi mpaka sahi bado mnafikiria mahindi na maharage tu!!.
 
Wacha mbio jipeni mda mkuze elimu yenyu kwa sahi hakuna mtu anatambua masomo ya Tanzania. Dunia inajua bado mko chini sana kielimu hata Uganda inawashinda kwa elimu.
Masomo yenyu ni sarakasi za tom and jerry.

Two Ugandans named among Africa’s best scientists

Fungua hiyo link uone kama kuna mtanzania hata mmoja. Uganda wako na wawili, Kenya iko na watat,u Tanzania hakuna hata mmoja. Masomo yenyu ya university ndiyo kama high school hapa Kenya.
elimu ipi wakati wakenya wengi hawajui kusoma wala kuandika? 😅😅😅😅
2507261_cross-country-literacy-rates.png
 
Wakenya ni watu wa kujituma ndiyo sababu wamejumuishwa na watu werevu, nyinyi ni wavivu na miaka mingi ya kula mihogo na maharage pekee imewafanya akili zenyu hazikuwi vizuri.
Tulianza kufanya utafiti ya space kuanzia 1962 nyinyi mpaka sahi bado mnafikiria mahindi na maharage tu!!.
Space ya njaa? 😅😅😅😅
images - 2020-09-14T111646.581.jpeg
 
Jibu gani wakati unahitaji lishe ya dharura? 😅😅😅😅View attachment 1583786
HAHAHA, Kawaida mtanzania akishindwa hukimbilia mlo.

swali ni hii
i) 1/3 ya 47 million ni ngapi.
ii) 1/2 ya 60 million ni ngapi.

Yani hata na hiyo mlo yote bado akili zenyu haziwezi kufanya hesabu yenye mtoto wa class 4 Kenya anakupigia chap chap.
Hii ndiyo sababu hamwezi jumuishwa kwa vitu vinavyo hitaji akili, nyinyi mnawaza tu tumbo.
 
Tulianza kufanya utafiti ya space kuanzia 1962 nyinyi mpaka sahi bado mnafikiria mahindi na maharage tu!!


Mnajituma for nothing, tangu 1962 mmerusha rocket ipi angani???-- that is wastage of resources and time for funny!!. Halafu mmnakuja hapa kutamba kwamba mnajituma??!🤣🤣

2020-1962= Wastage Years for nothing in the space.
 
Ndiyo vyuo vyenyu vimeshidwa na Uganda na hivi karibuni Rwanda inakuja kuwapita kimasomo.

mpaka sasa bado hatujui faida za kuzidiwa kielimu.kenya mmeizidi kila nchi hapa EA lakini ndio mnaongoza kwa mambo ya hovyo na uduni wa huduma mpaka mnatisha.

madaraja,majengo yanaanguka.
njaa inwavuruga sio kawaida.
 
Back
Top Bottom