kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. Kataa kufanya kazi na boss was namba hii

    Watanzania wengi maisha yetu hatuishi kwa kujiajili wengi tumeajiliwa na waajili Lakini katika kuajiliwa huko wapo ambao wameajiliwa na watu sahihi lakini wapo ambao wameajiliwa na watu wasio sahihi Sasa Basi Kuna watu hawafai kabisa kufanya kazi chini yao labda uwe hauna jinsi naa hata Kama...
  2. U

    Natafuta kazi, nina diploma ya ualimu wa sekondari

    Natafuta kazi wanandugu nina diploma ya secondary education mwalimu wa biology naishi Dar es salaam. Mbarkiwe.
  3. NATAFUTA KAZI

    Habari wana JFM Mimi nikijana wa kitanzania,niko na uhitaji wa kazi yeyote iliyo halali. Lakini pia nimesomea shahada ya Information Technology ,mwenye connection na kazi naomba anisaidie . Napatikana singida Tanzania. Email: samwelnduro@gmail.com Phone:0744968695
  4. MWENYE CONNECTION YA KAZI JIJINI MWANZA

    Habari wanajamii forum samahan kama ntakuwa nje ya mada ila nilikuwa nahitaji msaada wenu mtu yeyote mwenye connection ya kazi aniambie elimu yangu ngazi ya Diploma ya manunuzi
  5. Update Mbali mbali za kazi Ambazo ni Skilled na Unskilled

    Usilipe pesa kupata kazi mtandaoni* KWA SABABU ⬇️⬇️⬇️ Nimejitolea kumsaidia kila kijana mwenye uhitaji na kazi bila kujali elimu yake kwa sasa nitaposti kazi zote kwenye huu uzi na ni bure kabisa hakuna pesa za udalali kuwa karibu na huu uzi kisha niambie upo wapi na unaweza nini KUMBUKA...
  6. O

    Hizi ndio kazi ambazo ungeweza kuzifanya visiwani na kutoboa

    Marejea visiwa vilivyoko ziwa Victoria zaidi sababu huko ndiko nilikokuwa enzi hizo. Sijajua kwa Sasa kukoje sababu mpaka Sasa ni zaidi ya miaka 18 tangu nitoke. 1.Kuuza pombe kali na gongo kwa wavuvi 2.Kuuza madawa ya binafamu na kutoa tiiba kama vile kushona walevi waliopasuana sehemu za...
  7. M

    Kunamtu humu aliwahi kuandika Mbowe anafabya kazi na CCM na akasema hamtaamini ni miaka 2 sasa imepita

    Hakika kwa yanayoendelea naamini,toka amepigwa kwenye kura hakuwahi kuongelea Chadema wala kuhudhuria vikao,hata jana kwenda kumsalimu Lissu ni kujiosha tu nami nasema mtakuja kuamini msiyoamini. Hata wengi wanaopinga na mambo ndani ya chama ni watu waje wa karibu,wengine viongozi wenzake mf...
  8. Maombi ya kazi

    Sa
  9. M

    Natafuta kazi

    Ndugu zangu nahitaji kazi nipo KIBAHA MAILI MOJA, Kazi nazoweza kufanya ni 1.Ulinzi 2. Kuhudumia wateja eneo lolote la biashara au bar 3. kazi zote za nguvu hata viwandani 4. kazi za hotelini Kama una kazi nipigie 0681050265 Asante. 🙏
  10. F

    Natafuta kazi

    Naitwa Fredy Gendo, nipo Kilimanjaro Moshi, natafuta kazi nimesomea uongozi wa biashara ngazi ya cheti na nina VIP katika upande wa udereva, naomba msaada wenu wadau, barikiwa.
  11. Kazi za ubunifu za Claudi Cassanovas

    JF inaenda viwango vingine vya kimataifa zaidi.. Tunajiribu kupanua wigo wa mijadala na kazi za ubunifu za maonesho mbali mbali za wabunifu kwenye nyanja zote ambao ni maarufu duniani Kwa kushirikisha kazi zao kwenye mitandao yetu kunatupa nasi nafasi ya kuzitambua na kuzienzi kazi zao adhimu...
  12. Muda wote, nilidhani nikifanyia kazi mkuu wangu, lakini sasa ndipo nimegundua kuwa yeye ndiye alikuwa ananifanyia kazi!

    "Tunapokufa, pesa zetu zinasalia benki... Lakini tunapoishi, hatumiliki pesa za kutosha kwa matumizi. Kwa kweli, tunapotoka, bado kuna pesa nyingi ambazo hazijatumika. Mfanyabiashara mkubwa wa China alikufa. Mke wake, akiwa amebakiwa na dola bilioni 1.9 benki, alioa dereva wake. Dereva alisema...
  13. Sitoomba tena kupigwa ban, hii kazi namuachia Laban OG

    Habari wadau. Poleni na majukumu ya kujenga taifa. Moja kwa moja kwenye mada mimi shuka chini niliomba kupigwa ban endapo Simba atafuzu kwenda Nusu Fainali. Dah! MUNGU saidia akafuzu. Sasa Mods wakawa wamesahau kunilamba ban sijui mbeya gani akafukunyua uzi wangu hatimae nikapigwa ban...
  14. Nahitaji kazi, fani yangu ni fundi mitambo (mechanical technician)

    Nahitaji kazi, fani yangu ni fundi mitambo (mechanical technician) -> Naishi Dar es salaam -> mawasiliano: inbox
  15. I

    Natafuta kazi yoyote ya kuendesha maisha

    Habari wanaJF, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, elimu yangu ni bachelor degree in Logistics and Transport Management, naomba nafasi ya kazi yoyote ile itakayosaidia kuendesha maisha
  16. Wakati Tz ikiendekeza sikukuu, China yaunda jua kuongeza muda wa kupiga kazi

    China imeunda Jua la Kwanza la Bandia duniani. Jua hilo la bandia linaweza kuangaza nchi yao nzima na kugeuza Usiku kuwa Mchana. Tayari wamelijaribu mara mbili na limefanya kazi kikamilifu. Jua hilo la bandia huchomoza wakati wa machweo na kuzama wakati wa mapambazuko. Kupitia jua hili bandia...
  17. J

    Natafuta kazi Arusha

    Habari zenu natafuta kazi maeneo ya Arusha nina degree ya Umeme, mwenye connection ya kazi za viwandani, kampuni, dukani, supermarket, sheli naomba anisaidie. Natoa shukran kwa wote
  18. B

    Nina ujuzi wa quantum geographic information system (Q. G. I. S), naombeni kazi wakubwa

    Wakuu, habarini za saizi, kama mada inavyojieleza hapo juu, nina ujuzi na programu ya QGIS (Quantum Geographic Information System) . naombeni mnisaidie ni namna gani naweza kupata kazi hizi za GIS. je hapa Dar kuna kampuni lolote linalohusiana na haya mambo ya GIS? kama lipo, naombeni mnisaide...
  19. E

    Fursa: Nafasi 700 za Kazi za Kuangalia Wazee New Zealand

    Fursa: Nafasi 700 za Kazi za Kuangalia Wazee New Zealand (Kupitia Danvast Career Search) Habari wanajamii, Nimekutana na tangazo la kazi ambalo naona linaweza kuwasaidia baadhi yetu humu. Kuna nafasi 700 za kazi za kuangalia wazee (Caregiver Jobs) katika nyumba za kulelea wazee New Zealand...
  20. T

    Wakuu natafuta kazi Leo ni weekend ya mwisho kesho ni mapambano

    Mambo vipi wakuu, je ni kwema, Leo ni siku ya mwisho ya mapumziko wakuu, kesho tukiamka salama ni siku ya mapanbano lakini Mimi ndugu natafuta kazi iwe mkoa wowote Mimi nakuja kufanya kazi, Sijasoma sana nimeishia form 2 tu ndugu zangu Sina ujuzi wowote ule lakini naweza nikioneshwa kazi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…