katiba mpya

  1. JamiiForums Tanzania Muungano unachelewesha kuandikwa Katiba Mpya. Tusipoteze hela nyingine

    UKAWA na CCM walitutia hasara ya mabilioni baada ya kukwamisha mchakato wa kuandika Katiba mpya uliotumia mabilioni yetu ya fedha. UKAWA na Mzee Warioba walitaka Muungano na serikali tatu na CCM walitaka serikali mbili za sasa. Kila kundi lilikuwa na hoja nzuri ila CCM walikuwa na hoja nzuri...
  2. JamiiForums Tanzania Masharti na mashinikizo ya vyama vya siasa na asasi za kiraia katika kujenga msingi wa maridhiano hiyari ya waTanzania kuelekea katiba mpya yapuuzwe

    Kama ambavyo ilitokea kabla na katika uchaguzi mkuu wa oct.2025, wenye misimamo ya vyama vyao ikiwa ni pamoja na kususia uchaguzi mkuu walipuuzwa. Nadahni ni muhimu sana kama taifa kusonga mbele katika utaratibu huo huo kwamba atakae suasia au kuja na mashariti ya chama chake kuelekea maridhiano...
  3. JamiiForums Tanzania Civilian-Coin: ni heri Tundu Lissu afungwe maisha jela ili tupate Katika Mpya iliyo bora, hata kuandamana kutakuwa sahihi.

    Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na ile ya Zanzibar zinamapungufu upande wa sifa za wagombea Urais na Ubunge hata Udiwani. Tatizo wao Chadema wanataka Katiba ya KUINGIA IKULU na CCM wanataka Katiba yakuendelea kubaki madarakani nao makapuku wenzangu wao ndio hawajui chochote zaidi ni...
  4. JamiiForums Tanzania Ridhiwani Kikwete Apinga KATIBA Mpya, Apinga kuachiwa kwa Lissu , yote haya ni sababu ya 'Urais' aloandaliwa anaona unapepea peeeee

    Huyu Jamaa Sasa ndio kajionyesha yeye ni Mtu wa Aina gan. Tulidhani labda ni Matumizi tu mabaya ya Nafasi ya Baba yake... Huyu Mtu ana uchu wa Madaraka, Mtu aliyetayari kufanya lolote ili mradi Awe Rais.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ridhiwan awashukia wanaodai Katiba Mpya, asema wanapita kwenye maeneo hasa ya Vijana wakiwataka waandamane ili wapate Katiba Mpya

    Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesema Katiba Mpya inayohitajika nchini inapaswa kulenga kutatua changamoto za wananchi, badala ya kuwa chombo cha baadhi ya viongozi kugawana madaraka. Akizungumza Julai 10 wakati wa uwekaji wa jiwe...
  6. JamiiForums Tanzania Katiba mpya ni MUHIMU, mtoto analawitiwa washitakiwa wanatakiwa kulipa 800,000 kama fidia na kifungo cha maisha?

    Katiba mpya ni MUHIMU sana kwetu, yaani mtoto mmoja mlemavu wa akili amelatiwa na watu wanne wameshikwa na kuhukumiwa kwenda jela maisha na kulipa fidia ya laki 800,000 kwa kila mmoja? Wanaenda jela watalipaje hiyo pesa? Wasipo lipa watafanywaje? JE alielawotiwa bikira itarudi? Watuhumiwa...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Bajeti 2026/2027 ni ya uongo ina lengo la kumtumbukiza Mtanzania kwenye umaskini, haijaweka fungu la Katiba mpya

    Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 10, 2026, amesema Kamati kuu ya Chama imepitia Bajeti kuu ya serikali ya mwaka 2026/2027 na kwamba haikisi maisha halisi ya Mtanzania, pia haijaweka fungu la gharama ya Katiba...
  8. JamiiForums Tanzania Mapendekezo yangu kwa katiba ijayo,kabla ya uchaguzi 2030

    Kwa maoni yangu binafsi, Sisi wananchi tuchague,wabunge,madiwani na wenyeviti serekali ya mtaa! ---- Wabunge wao ndiyo wawe na nafasi/ mamlaka ya kupiga kura kwa kumchagua rais wa Jamhuri,hili limekaaje? ----- Vita vya kufa na kupona vitakuwepo kwenye nafasi ya ubunge! Ambayo ndiyo ngazi ya...
  9. JamiiForums Tanzania Mabepari wanalia kukatiwa Mirija. Poleni Machawa wote mnaopinga Katiba mpya

    Nimekumbushwa huu wimbo wa Mabepari walia kukatiwa Mirija. Wqlipotangaziwa azimio la Arusha. Mafisadi wa CCM na Chawa wao ndivyo watalia ikitungwa katiba mpya. Katiba mpya yaja, Poleni Machawa wote. Mafisadi na wasioitakia mema Nchi wamejitahidi kupinga katiba Mpya ila imeshidikana sasa ni...
  10. JamiiForums Tanzania Paul Makonda aenda Kuandamana Paris Ufaransa kisa Kiswahili huku Tanzania Maandamano ya KATIBA MPYA yakipigwa Marufuku

    Paul Makonda na Serikali yake Wamefungia Maandamano Tanzania, lakini ajabu ameenda kuandamana Nchi ya watu tena kapewa Ulinzi. Aliandama huku akitabasamu akifurahia kuandamana. Annatumia mmaandamano kueneza ujumbe kuhusu Kiswahili. Ila ukimwambia tuandamane kuhusu Katiba unaitwa mhani sababu...
  11. JamiiForums Tanzania CCM sitawastua tena, atakayewaokoa dhidi ya ICC ni TUNDU LISSU , Muachieni, ridhianeni naye, leteni KATIBA Mpya, Uchaguzi urudiwe upya

    Kauli Moja ya LISSU kwa US na EU na Dunia ndio pekee itakayowaokoa!. Mimi sielewi mmepigwa Upofu wa aina gani Kiasi hasikiii Wala Kuona !!. Mnajijua Mmeua MAELFU kwa MAELFU. Mnajijua mnavita dhidi ya Kanisa KATOLIKI . Mnajijua mnavita dhidi ya CHAMA KIKUUU cha Siasa Nchini, Chama...
  12. JamiiForums Tanzania Kwa maneno haya tatizo sio katiba mpya !

    "Kuondolewa kwangu kama mnavyojua zilianza shida ndogo ndogo zile za Trilioni moja na nusu, halafu Spika Ndugai akaleta mazungumzo yale mpaka mwisho nikahisi tu mimi mwenyewe na unajua Tanzania hii ni Nchi ndogo sana, unapewa taarifa mapema kwahiyo kuna mtu akaniambia sasa hivi wameanza mchakato...
  13. W

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yatishia Maandamano nchi nzima kufufua mchakato wa Katiba Mpya na Lissu aachaliwe

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kimetishia kuandaa maandamano ya nchi nzima yenye lengo la kushinikiza serikali kufufua mchakato wa Katiba Mpya na kuachiliwa huru kwa Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche...
  14. JamiiForums Tanzania Kwahiyo Heche nani unamdai katiba mpya?. Wananchi au viongozi na serikali haramu msiyoitambua?

    Kuna vitu mpaka unajiuliza hivi hawa wapinzani uchwara wanavuta bangi ya Msumbiji, Malawi au hii hii ya Arusha. Katiba mpya sawa . Mnazunguka kudai katiba mpya. Kwenye madai kuna pande 3 . 1. Mdai 2.Mdaiwa 3.Msuluhishi, mpatanishi, mwamuzi. Nambari tatu si lazima. Huyu mdaiwa wa katiba mpya ni...
  15. JamiiForums Tanzania CHADEMA wanapigania katiba mpya kwa lengo moja tu. Wanadhani katiba mpya ndiyo itawapa nafasi ya kushika Dola

    Ukiona jambo lolote linapiganiwa na viongozi wa CHADEMA ujue linawagusa. Hebu tuangalie mfano huu. Kuna askari usu wa wizara ya maliasili na utalii, Askari wa TFS, TAWA, NGORONGORO, TANAPA . Kwa vitendo vya ukatili vya askari hawa wa maliasili ni hatari zaidi ya polisi. They kill randomly...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Tuko tayari kuunga mkono mamlaka ya umma kwa kubadilsiha sheria hizi

    Nianze kwa Istilahi hii ngeni. Mamlaka ya Kiraia. istilahi hii inapaswa kuwa ndio mwelekeo wa Watz wanaporefer maana ya Serikali. kwani kunekuwa na upotofu kuwa Serikali ni Watendaji wa Serikali. Hapana. Serikali ni sisi raia tunsotengeza mamlaka ktk nchi za kidemokrasia. Maana hii...
  17. N

    JamiiForums Tanzania Kagoda,Deep green, Escrow,Richmond,ubinafsishaji wa bandari,mikataba mibovu kwenye madini,utekaji na mauaji,CCM haiwezi kukubali katiba mpya kamwe

    CCM kukubali katiba mpya ambayo italeta tume huru ya uchaguzi ni kujisogeza kaburini hii ni kutokana na hali halisi ilivyo na mwamko wa wananchi hasa vijana Katiba mpya itaifanya CCM isikae madarakani zaidi ya miaka kumi na tano toka mwaka itakapoanza kutumika. CCM ikipoteza hatamu hapo kila...
  18. G

    JamiiForums Tanzania Hongera CHADEMA kuunda kikosi kazi cha maoni ya Katiba Mpya. Hawa wajumbe mmezingatia uwiano mzuri wa Tanganyika na Zanzibar?

    Wajumbe wa kamati ya Maoni ya chadema Dk. Rugemeleza Nshala Wakili Deogratius Mahinyila Wakili Ali Ibrahim Suzan Lyimo Ruthy Moleli Pamela Maasay Wakili Gaston Garubindi Zeud Mbano Boniface Jacob (maarufu Boni Yai) Wakili Mpale Mpoki Wakili Jeremia Ntobesia Nimeanza na pongezi maana hii...
  19. JamiiForums Tanzania Katiba Mpya ingekuwa Jibu, Kenya wasingelia tena na ufisadi, tatizo ni watu

    Kama ukiweza kuipata na kuisoma KATIBA YA KENYA utagundua kuwa ni moja ya KATIBA makini zinazojitosheleza kwenye kila nyanja za KITAIFA katika zama hizi. Tatizo la Afrika Mashariki, hususan Kenya, mara nyingi limekuwa likihusishwa na ufisadi. Wazo la Katiba Mpya lilionekana kama suluhisho la...
  20. JamiiForums Tanzania Nashauri katiba mpya wapewe watu wa Zanzibar waiandike kwa niaba ya Tanzania, ni watu wakarimu sana

    Badala ya kusimamiwa na majaji wa Tanzania bara kama ilivyo kwa warioba na majaji waliotangulia, hii ya sasa tuwape wa Zanzibari hakika watatuletea katiba iliyojaa haki kwa kila upande wa muungano wetu wazanzibari ni watu wakarimu sana wapenda haki na utawala wa sheria
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…