Kwa maoni yangu binafsi,
Sisi wananchi tuchague,wabunge,madiwani na wenyeviti serekali ya mtaa!
----
Wabunge wao ndiyo wawe na nafasi/ mamlaka ya kupiga kura kwa kumchagua rais wa Jamhuri,hili limekaaje?
-----
Vita vya kufa na kupona vitakuwepo kwenye nafasi ya ubunge! Ambayo ndiyo ngazi ya...