- Habari za muda huu wana jamii wenzangu, natumai ni njema.
- Nilikuwa na dukuduku kuhusu uwepo wa taifa letu la Tanzania Jumuiya ya Madola, dukuduku langu limezaa maswali kadhaa yenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu wana jamii wenzangu.
1. Kwanini Taifa la Tanzania lipo Jumuiya ya Madola?
2...