josephat gwajima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PendoLyimo

    PreGE2025 Gwajima anamaanisha kweli kupambana na utekaji au anatafuta ushujaa mitandaoni?

    GWAJIMA ANAMAANISHA KWELI KUPAMBANA NA UTEKAJI AU ANATAFUTA USHUJAA MITANDAONI? Anaandika Spesho Kabwanga. Askofu Gwajima kwenye speech yake ametaja Neno RAIS si chini ya mara 42, Neno USALAMA WA TAIFA si chini ya mara 35, POLISI si chini ya mara 18, JESHI LA WANANCHI si chini ya mara 14...
  2. B

    PreGE2025 Tuzo za Samia Kalamu zinafanya kazi, hakuna gazeti lililothubutu kuweka habari ya Askofu Gwajima

    Nimepita kuangalia vichwa vya habari vya leo kuona kama kuna aliyeweka habari ya Gwajiboy Askofu Gwajima kujilipua jana, kama nilivyotarajia hakuna aliyefanya hivyo. Magazeti yamejaa habari za Rais Samia kuchafuka na wavujisha siri, Fainali ya Simba na Berkene, na tuvitu vitu vingine. Watu...
  3. covid 19

    PreGE2025 Mtazamo wangu kuhusu press ya Askofu Gwajima jana

    Jana nimeangalia video ya Askofu Josephat Gwajima kwenye YouTube, na haya ndiyo maoni yangu kuhusu kile alichokisema na alivyokisema. Kwanza, ni wazi kuwa Gwajima yupo karibu na watu walio ndani ya system yaani watu walioko kwenye vyombo vya dola. Hawa ndio wanaompa taarifa “nyeti” kuhusu...
  4. DR HAYA LAND

    PreGE2025 Kwanini Gwajima anaonekana ni mzalendo baada ya press yake ya jana?

    Hizi ndo sababu zangu kwamba this guy is patriotic (Mzalendo). Kwa nafasi aliyonayo Gwajima kuanzia Kijamii, kisiasa, kiuchumi. Sifikirii Kama anatafuta umaarufu , na sifikirii Kama anatufa political mileage au anatufa Personal interest. Kwahiyo angeamua kukaa kimya asiongee chochote kuhusu...
  5. mshale21

    PreGE2025 Division zero inatosha kabisa kuelewa ujumbe wa Askofu Gwajima kuhusu utekaji

    Askofu Gwajima kaweka wazi kabisa 1. Kuna kikundi kidogo kinachotumwa na Rais kwa manufaa yake mwenyewe ya kisiasa , kinachopelekea watu kuteswa , kuumizwa vibaya sana au hata kuuawa na kupotezwa kabisa 2. Jeshi la polisi na usalama wa taifa kwa ujumla hawahusiki na utekaji , isipokuwa...
  6. M

    PreGE2025 Gwajima amekuja kutuonesha Watanzania tunatumia njia ambayo siyo sahihi kutafuta ukombozi

    Wakuu habari zenu..... Gwajima jana tar 24 ameitisha pree na kuongea mambo kadha wa kadha. Katika mengi aliyoyaongea Gwajima jambo moja juu ni hili. Gwajima amekuja kutuonyesha kwamba sisi WATANZANIA tunataka ukombozi lakini tunatumia njia ambayo siyo sahihi kuitafuta ukombozi huo. Gwajima...
  7. Baba jayaron

    PreGE2025 Nyuma ya Pazia: Gwajima kuandaliwa kuchangamsha uchaguzi mkuu 2025

    Wasalaam, WEnye macho wataona vipofu watasikia ila zile za ndani kabisa think tank wa system wameona Kanda Ile yenye nguvu lazima apatikane mtu wao ili wachangamshe uchaguzi 2025.... Muda si mrefu na yule wa kwao kutoka Kanda Ile Ile yenye nguvu nae atasogezwa pembeni kuongeza nguvu upinzani...
  8. THE BIG SHOW

    PreGE2025 Alichokifanya Gwajima ni “Insubordination” kwa mwenyekiti wake wa chama. CCM imuite na kumhoji azungumze uhalisia

    Friends and our Enemies, Gwajima kama mwanachama na mbunge wa CHAMA ana platforms za kusimama na kuongea ndani ya serikali, na ndani ya chama. Sasa anaposimama na kusema kwamba huenda hao watu wanaoteka watu may be ni kikundi TU cha watu Fulani ambao wanatumwa na mtu Fulani na inapotokea...
  9. PendoLyimo

    PreGE2025 Tujikumbushe ya Askofu Gwajima

    Jamani wakuu, hivi kuna mtu anayemwelewa huyu mbaba? Maana kila hali ya mambo yake inapodorora, mara moja huibuka na maneno mengi na vioja visivyo na kichwa wala miguu. Jimboni kwake Kawe hakuna lolote la maana alilowahi kufanya, na sasa uchaguzi unakaribia — ghafla ameanza tena na maigizo ya...
  10. Egnecious

    PreGE2025 Gwajima maji ya shingo, kaanza kutapatapa

    Askofu Josephat Gwajima ni mwanasiasa ambaye amekuwa kwa mara kadhaa akitoa matamko na misimamo ambayo inalenga kumtengenezea umaarufu yeye binafsi kwa maslahi yake mwenyewe. Ikumbukwe mwaka 2019 ziliposambaa mtandaoni picha za ngono ambazo yeye mwenyewe baadae alijitokeza na kusema...
  11. Carlos The Jackal

    PreGE2025 Angalizo kwa machawa na genge lote linalofanya utekaji, machaguzi ni mawili tu, kumjibu Gwajima ili awapasuepasue, au kimya bado awapasue

    Hii inaitwa ikisimama Nchale, kukimbia Nchale! Mziki wa Gwajima mnaujua, Gwajima ni Lijabali likuuuuubwa sanaaaa. Hoja za Gwajima ni za Kweli na Haki. Sasa watumeni Akina Steve Mangele, Mafufu, Sijui Akina kibajaji, Makonda, na wajinga wajinga wa aina hiyo wamjibu GWAJIMA. Uzuri kasema 'kuna...
  12. King Kong III

    PreGE2025 Video za Askofu Gwajima zafutwa Youtube

    Umuofia Kwenu wana JF, Nimejaribu kupitia link karibu tatu zilizorusha Stream ya Askofu Gwajima ,Zote zimefutwa. Pia soma: Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa Vyombo vya Usalama wasiondolewe kwenye nafasi zao kwa mapenzi ya mwanasiasa aliyewaweka
  13. Lord Denning

    PreGE2025 Wenye akili tumemuelewa Gwajima. Kuna kikundi kinafanya Utekaji hata Wakuu wa Vyombo hawana mamlaka nacho na hawawezi kukigusa

    Kwa wenye akili tumemuelewa Gwajima. Kwa maneno yake ukimsikiliza neno kwa neno utaelewa kuwa kwa sasa kuna kikundi kinachowajibika kwa Rais tu ambacho kinafanya vitendo vya Utekaji na Mauaji ya Watanzania wanaompinga Rais na CCM. Ukimsikiliza vizuri Gwajima utaelewa kuwa imeonekana katika...
  14. The Palm Beach

    Nabii Steven Jacob: Rais ajaye wa Tanzania. Mch Josephat Gwajima ndiye. Amtaka atoe tamko sasa

    https://youtu.be/N56WUqh2ODg?si=A_rAwRxypLvDeseF Mungu awe nanyi nyote..!! Ni dhahiri shahiri kwamba yajayo nchi hii, yanafurahisha... • Ni mwendelezo wa ujumbe wa Mungu juu ya utawala wa nchii toka kwa mtumishi wa Mungu Nabii Steven Jacob wa Huduma ya Kristo (The Christ's Ministry) iliyoko...
  15. R

    Agenda ya Josephat Gwajima kuhusu benki ya mbegu za Asili izingatiwe

    Hellow Tanganyika!! Vita ya kiuchumi imepamba moto, hivi sasa unakula embe ,chungwa, papai linalochukua miezi chini ya SITA tu, linakuwa tayari Kwa chakula, Cha kushangaza hakuna mbegu ndani ya tunda Hilo. Mahindi vile vile, tunaletewa mahindi ya mbegu ambayo huwezi kuyaotesha baada ya kuvuna...
  16. Gabeji

    PreGE2025 Josephat Gwajima karibu CHADEMA tuijenge nchi

    Poleni na hongereni na kutafuta mkate wa kila siku! Leo roho wa Mungu amenisukuma niseme na mtumishi wa Mungu Akofu jophate Gwajima. Upo ccm huna amani, huna furaha, huna uhuru wa kusema uovu unafanywa na na viongozi wa ccm ni kwa sababu upo CCM. Na wewe ni msema kweli, kiasili ww hauwezi...
  17. Mganguzi

    Askofu Josephat Gwajima, anayofanya askofu mwanamapinduzi ni wewe unamtuma? Kwanini hujamfukuza kanisani kwako?

    Ndugu yangu askofu Josephat Gwajima wewe ndiye baba askofu mkuu wa makanisa yote ya ufufuo na uzima Tanzania, wewe ni mbunge na ni kada wa chama Cha mapinduzi unakiona anachofanya mojawapo ya wachungaji wako pale Kibaha kwa Mathias ? Askofu mwanamapinduzi amelibadili kanisa la Kibaha kuwa...
  18. R

    Bishop Josephat Gwajima: Mamlaka ya Rais yadhibitiwe Ili asitoke nje ya mpango na Dira ya nchi ya muda mrefu

    Salaam, Shalom!! Askofu Gwajima ameendelea kusisitiza juu ya umuhimu wa KATIBA mpya kuwa mamlaka ya Rais ni muhimu yadhibitiwe, Rais aingiapo madarakani aikute dira na mipango na vipaumbele vya Taifa vya muda mrefu Ili ajikite hapo. Amesisitiza kuwa, maono ya Taifa ya muda mrefu yakiwekwa...
  19. Stephano Mgendanyi

    Askofu Dkt. Josephat Gwajima amechangia bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi

    JOSEPHAT GWAJIMA AKICHANGIA BUNGENI BAJETI YA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI MWAKA WA FEDHA 2023/2024 Mbunge wa Jimbo Kawe lililopo Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Askofu Dkt. Josephat Gwajima amechangia bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi iliyowasilishwa Bungeni na Waziri wa Mifugo...
  20. S

    Mbunge Josephat Gwajima na genge lako, Tubuni dhambi ya uongo labda Mungu atawasamehe

    Salam wakuu. Niende kwenye mada. Katika kuzunguka huku na kule ndani ya nchi ktk kutimiza majukumu yangu, mwishoni mwa juma lililopita nilikuwa kusini mwa nchi. Mkoani Ruvuma, wilaya moja ya Nyasa ambayo makao yake makuu ni Mbamba Bay. Sasa, kwa siku mbili mfululizo yaani Alhamisi na Ijumaa...
Back
Top Bottom