josephat gwajima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    PreGE2025 Gwajima: Kwenye suala la utekaji sitayumba mpaka waliotekwa wajulikane walipo

    Gwajina kasema kwenye hili swala hatayumba mpaka kila aliyetekwa ajulikane yuko wapi na anafanya nini. Lakini pia kila aliyepotea "missing person" wapatikana na kujulikana walipo, kwa msisitizo Gwajima kaongea na kizungu.
  2. B

    PreGE2025 Gwajima: Mtoto wa Jakaya Kikwete, Mwinyi, Majaliwa au Magufuli wakitekwa na kukutwa wametobolewa macho au wamekufa watajisikiaje?

    Gwajima anasema wiki iliyopita alitoa mfano wa mtoto wa Samia kutolewa macho leo kaongeza wengine kwenye mfano huo. Kasema vipi kama akichukuliwa mtoto wa Jakaya Kikwete, Mwinyi, Majaliwa au Magufuli wakaokotwa keaho yake wakiwa hawana macho au amekufa watajiskiaje? Sasa kwanini yasithamiwe...
  3. N

    Rais inawezekana vipi kujibizana na Josephat Gwajima? Mbona sielewi!

    Mheshimiwa Rais wetu tunakupenda sana, tunaumia unavyotukanwa, unavyobagazwa, unavyodunishwa, unavyokebehiwa, inatuumiza. We Rais ni mkuu wa nchi, ni mkuu wa serikali, ni amiri jeshi mkuu, ndio icon ya nchi yetu, ni nani anaweza kukudhihaki na kukutukana ndani ya nchi hii? Gwajima ni tapeli...
  4. chiembe

    Wajumbe wa Mkutano Mkuu CCM unaofanyika 29 na 30 Mei 2025 watoe azimio la kumfukuza uanachama Josephat Gwajima vinginevyo hatutawaelewa

    Nashauri wajumbe watoe azimio hilo haraka mara tu baada ya kuanzia kikao, watoe laana kubwa na kali dhidi ya huyu jahili na laghai. Afukuzwe uanachama
  5. TJF1990

    PreGE2025 Tafakuri ya kisiasa na kijasusi; Majibu ya kitoto kwa hoja nzito za Askofu Gwajima

    Na: Mwananchi Mzalendo Tarehe: 27 Mei 2025 Siku ya Jumamosi ya wiki iliyopita (24 May 2025), Askofu Josephat Gwajima—Mbunge wa Kawe na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM—alizungumza na waandishi wa habari na kutoa kauli nzito juu ya matukio ya utekaji yanayoendelea kushamiri nchini. Kwa maudhui...
  6. Moto wa volcano

    PreGE2025 Sio kila jambo la kisiasa ni la kulitolea tamko mengine kubali yakupite

    Wakati huu wa joto la kisiasa sio kila jambo ni lazma kulitolea kauli mengine mtu unatakiwa ukubali yakupite. Mbaya sana kufunua mdomo kuongea jambo usilokuwa na uhakika nalo. Pia soma: Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa Vyombo vya Usalama wasiondolewe kwenye nafasi zao kwa mapenzi ya...
  7. Waufukweni

    PreGE2025 Vijana wa CCM Kawe: Tunamsema Askofu Gwajima kwasababu aligusa familia za viongozi wetu

    Vijana wa Chama cha Mapinduzi Mbunge wa Jimbo la Kawe, wamvaa Askofu Josephat Gwajima kwa kauli zake za kulaani vikali vitendo vya utekaji vinavyoripotiwa kuendelea nchini Tanzania, na kuhusu viongozi wa Serikali na Chama.
  8. P

    PreGE2025 Vijana CCM waitisha press kumjibu Gwajima, wataka avuliwe uanachama

    Hii ni zaidi fezea. https://www.youtube.com/live/toeAMRhpOZ0?si=V_T-07W3gayr4V6n Vijana wanasema Gwajima ana sehemu nyingi kufikisha taarifa hiyo lakini kaamua kwenda kwenye media na kwa kufaanya hivyo ni kusababisha taharuki. Wanasema pia Gwajima kuongelea kuhusu uchaguzi na utenguzi wa...
  9. Waufukweni

    PreGE2025 Furaha Dominick amlipukia Askofu Gwajima: Hana uhalali wa kuongelea Utekaji, ni muongo na muhuni

    Mmiliki/Mkurugenzi wa Furaha Media na mwanasiasa Furaha Dominick, amemjia juu Askofu Josephat Gwajima kutokana na mkutano wake alioufanya na waandishi wa habari hivi karibuni huku akiongelea masuala mbalimbali yanayoendelea nchini ikiwamo sakata la utekaji Pia, Soma: Askofu Gwajima: Wakuu wa...
  10. M

    PreGE2025 Kwa wanaokerwa na mifano ya Gwajima bila kukerwa na utekaji, hiyo itupe kuamini sisi wananchi wa kawaida kutekwa ni halali tu?

    Maswali ni mengi sana juu ya hili Nikweli kabisa mifano ya Mbunge huwenda haikuwa sawa sana, ila kwangu mimi nilidhani, hiyo mifano ndiyo ingetuleta kwa pamoja kama taifa kuzungumza kwa lugha moja kukemea na kukataa utekaji, Mh na Mbunge mwenzenu wa CCM ndugu Josephat Gwajima Yeye kaongelea...
  11. Bila bila

    PreGE2025 CCM mnajikaanga kumshambulia Askofu Gwajima bila kutoa suluhisho la utekaji

    Ni kichaa tu atakayewaunga mkono Kwa matamko yenu yasiyotoa suluhisho Kwa tatizo la utekaji. Ni Machawa wenu wasio na impact mliowaswaga wamjibu Gwajima Kwa Jambo ambalo wananchi wote wanaliona na nyie wenyewe mnaona lipo na linazidi kukomaa. Pia soma Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa...
  12. Tajiri wa kinyankole

    PreGE2025 Tunatakiwa kulisukuma tena Bunge la Ulaya kujadili hali kisiasa nchini, Gwajima katoa maoni anashambuliwa na wananchi kuitwa kenge!

    Ni aibu kubwa kwa taifa bunge zima tangu utekaji umetamalaki wanakaa kimya amejitokeza mmoja wao Askofu Joseph Gwajima akatoa ushauri tena nje ya bunge kuhusu utekaji unaoendelea ameonekana kukosea pakubwa na wengine kufikia kuita wananchi kenge. Pia soma: Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa...
  13. GoldDhahabu

    PreGE2025 Kwa hili, Bishop Gwajima kathibitisha yeye ni akili kubwa

    Kama angeyaeleza hayo bungeni, asingefanikiwa. Lazima angefanyiwa mizengwe na wabunge wenzake kwa kumpiga taarifa, n.k. Kama angesema akayaibue chamani, ukinzani ambao angekutana nao humo ungekuwa mkubwa zaidi kuliko wa bungeni. Gwajima alilizungumzia suala la utekaji kwa namna ambavyo hata...
  14. Magufuli 05

    PreGE2025 Nileteeni Gwajima, nileteeni Gwajima!

    Hongera Gwajima. Acha wajinga wakushambulie lakini watanzania wenye akili tumekuelewa Gwajima ameagana na nyonga kabla ya kukimbia. Haikuwa rahisi kujitokeza hadharani kwa desturi ya nchi yetu kwa mbunge tena wa chama tawala kuzungumza jambo linalogusa maisha ya watanzania kwa kiasi kile. Na...
  15. MamaSamia2025

    PreGE2025 Ifike wakati CCM izuie makada wake kufanya press conference kiholela. Jerry Muro kaharibu sana

    Mimi ni mwanaCCM niliye na kadi hai ila napinga vikali tabia ya makada kuandaa mikutano na waandishi wa habari wakiwa hawajajipanga. JERRY MURO kaharibu sana zaidi ya kujenga. Kakurupuka mno na kuongea uharo mtupu. Ishu ya Gwajima ni sensitive na ya kujibiwa kiakili kwa sababu Gwajima pia ni...
  16. Erythrocyte

    PreGE2025 Watu duni wenye uwezo mdogo na Wasio na Ushawishi wowote hawataweza kuzima hoja Kabambe za Askofu Gwajima

    Tunafahamu kwamba ili upate uteuzi kwa serikali ya CCM unapaswa kujipendekeza kwa kiwango cha kutia aibu bila kujali namna utakavyodhalilisha familia yako, Yaani ili Mamlaka ya Uteuzi ikuone unafaa unapaswa kudhalilika kwanza kwa kupinga hata Ukweli. Mifano ni Mingi, Jerry Silaa alipata Uwaziri...
  17. R

    PreGE2025 Jerry Muro unatafuta uteuzi?

    Ulipotea kwenye ulingo wa siasa, now you want to maka use of this "opportunity" to impress Samia na hivyo akukumbuke. Jaribu unaweza kupata bahati! Pia soma: Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa Vyombo vya Usalama wasiondolewe kwenye nafasi zao kwa mapenzi ya mwanasiasa aliyewaweka
  18. P

    PreGE2025 Jerry Muro aitisha press kumjibu Gwajima kuhusu utekaji

    Kwahiyo hapa huyu Jerry anamjibu Gwajima kama nani wakati wakuu wake wameufyata? Wao si ndio walikuwa waje kujibu na kutoa ufafanuzi kama wanachukua ushauri wake ama lah? Ndio anatafuta teuzi kwa nguvu? https://www.youtube.com/live/yxNmWDyh7IY?si=5XhLpYUAZTHZeV6I "Luhaga Mpina akinyimwa...
  19. S

    PreGE2025 Alichokosea Mchungaji Gwajima ni kuilenga Kamati ya Uteuzi ya Rais kwa Vyombo vya Ulinzi

    Kwa kweli ameshindwa kuwasilisha au kuwakilisha alichokikusudia na badala yake anaelekeza kwenye kamati ya Raisi inayojihusisha na uteuzi ,ambapo hapa Gwajima amepaona ndiopo penye ukakasi wa wakuu wa ulinzi kwa ujumla wao kusitishwa kuendelea na uchunguzi utekelezaji au ufuatiliaji endapo kuna...
  20. Gabeji

    PreGE2025 Taifa ni muhimu kuwa na watu jasiri kama Askofu Gwajima, kwa ajili ya kutetea haki

    Hakika leo umenifurahisha sana mtumishi wa Mungu askofu Gwajima. Hii ndio asili Yako ya kutetea haki, utu, uzalendo, taifa. bila shaka watanzania wote wamefurahishwa sana na hiki ulichokifanya jana, hata Mungu amefurahi. Pia soma...
Back
Top Bottom