jordan

Jordan (Arabic: الأردن‎; tr. Al-ʾUrdunn [al.ʔur.dunː]), officially the Hashemite Kingdom of Jordan (Arabic: المملكة الأردنية الهاشمية‎; tr. Al-Mamlakah al-’Urdunniyyah Al-Hāshimiyyah), is an Arab country in the Levant region of Western Asia, on the East Bank of the Jordan River. Jordan is bordered by Saudi Arabia, Iraq, Syria, Israel and Palestine (West Bank). The Dead Sea is located along its western borders and the country has a 26-kilometre (16 mi) coastline on the Red Sea in its extreme south-west. Jordan is situated at the crossroads of Asia, Africa and Europe. The capital, Amman, is Jordan's most populous city as well as the country's economic, political and cultural centre.What is now Jordan has been inhabited by humans since the Paleolithic period. Three stable kingdoms emerged there at the end of the Bronze Age: Ammon, Moab and Edom. Later rulers include the Nabataean Kingdom, the Persian Empire, the Roman Empire, the Rashidun, Umayyad, and Abbasid Caliphates, and the Ottoman Empire. After the Great Arab Revolt against the Ottomans in 1916 during World War I, the Ottoman Empire was partitioned by Britain and France. The Emirate of Transjordan was established in 1921 by the Hashemite, then Emir, Abdullah I, and the emirate became a British protectorate. In 1946, Jordan became an independent state officially known as the Hashemite Kingdom of Transjordan, but was renamed in 1949 to the Hashemite Kingdom of Jordan after the country captured the West Bank during the 1948 Arab–Israeli War and annexed it until it was lost to Israel in 1967. Jordan renounced its claim to the territory in 1988, and became the second Arab state to sign a peace treaty with Israel in 1994. Jordan is a founding member of the Arab League and the Organisation of Islamic Co-operation. The sovereign state is a constitutional monarchy, but the king holds wide executive and legislative powers.
Jordan is a semi-arid country with an area of 89,342 km2 (34,495 sq mi) and a population numbering 10 million, making it the 11th-most populous Arab country. Sunni Islam, practised by around 95% of the population, is the dominant religion and coexists with an indigenous Christian minority. Jordan has been repeatedly referred to as an "oasis of stability" in a turbulent region. It has been mostly unscathed by the violence that swept the region following the Arab Spring in 2010. From as early as 1948, Jordan has accepted refugees from multiple neighbouring countries in conflict. An estimated 2.1 million Palestinian and 1.4 million Syrian refugees are present in Jordan as of a 2015 census. The kingdom is also a refuge to thousands of Iraqi Christians fleeing persecution by ISIL. While Jordan continues to accept refugees, the recent large influx from Syria placed substantial strain on national resources and infrastructure.Jordan is classified as a country of "high human development" with an "upper middle income" economy. The Jordanian economy, one of the smallest economies in the region, is attractive to foreign investors based upon a skilled workforce. The country is a major tourist destination, also attracting medical tourism due to its well developed health sector. Nonetheless, a lack of natural resources, large flow of refugees and regional turmoil have hampered economic growth.

View More On Wikipedia.org
  1. W

    Michael B. Jordan afuata Nyayo za 'Manguli', ashinda Oscar yake ya kwanza

    Katika kinyang'anyiro kikali cha kuwania tuzo ya Muigizaji Bora wa Kiume (Best Actor), staa wa filamu ya Sinners, Michael B. Jordan, ameibuka kidedea kwenye Tuzo za 98 za Academy (Oscars) zilizofanyika usiku wa kuamkia Jumatatu. Katika filamu hiyo, Jordan ameigiza uhusika maradufu kama mapacha...
  2. 6 Pack

    Kimbunga cha moto kinaelekea Israel, raia wa Jordan, Saudia na Israel wamejifungia majumbani.

    Niaje waungwana Habari ndio hii wakuu, dakika 20 from now, Tel Aviv, Jerusalem na miji mingine ya Israel inakwenda kugeuzwa takataka na majivu. Update: Tel Aviv ameanza kuwaka moto. Inasemekana Netanyahu ashatorosha familia yake kabisa. Na bado asuburi wamalize kufuturu, leo hakuna mtu...
  3. Mhaya

    The Era of Michaels: Miaka ya 90s ilikuwa ni ngumu sana kuliepuka Jina la Michael kwenye burudani

    Asikwambie mtu bwana, miaka ya 90s ilikuwa ni Golden Eras, 1900s ndio vitu vingi viligunduliwa, mapinduzi makubwa ya ulimwengu yalitokea miaka ya 1900s. Hata hivyo miaka hiyo haikuisha kinyonge, mwishoni mwa miaka ya 1900s, nazungumzia miaka ya 1980s kuja mpaka 1990s dunia ilifyatua chata hatari...
  4. Waufukweni

    Askofu Mwagala: Padri Jordan Kibiki alikutwa Mbeya akiwa na depression

    Vincent Cosmas Mwagala, Askofu wa Jimbo Katoliki la Mafinga anaongea muda huu na waandishi wa habari kuhusu sakata la kupotea kwa Padri na kuonekana tena Mbeya.
  5. ELI COHEN

    Kwanini leo Hamas ahangaiki kuikomboa Jordan?

    80% ya nchi ya Jordan ni sehemu ya iliyokuwa BRITISH MANDATE OF PALESTINE kabla ya wayahudi kurudi kwao. Kwanini leo hamas ahangaiki kuikomboa Jordan? Ndio hapo utakapogundua itikadi ndio inayocheza nafasi. Ni ugaidi unaofanyika katika kivuli cha kutafuta haki na ustawi
  6. sanalii

    Kituo kinachofata ni Pakistan, Qatar, Uturuki, Saudia kisha Jordan

    Ukishakua upande wa Marekani unaweza fanya lolite na hakuna kitakutokea, Na Israel hataki kuzunguukwa na nchi zilizo imara. 1. Walisema Israel ikiingia gaza ni ww3, nothing happen 2. Walisema Ukraine ikipiga ndani ya Russia itafutwa, nothing happened 3. Wakasema hisbullah wakiingia wataifuta...
  7. A

    Jordan Badala Ya Kuwasaidia Gaza Anamsaidia Israel

    Hi nchi ni ya kisenge kweli na wananchi wake walivyo wajinga wanakubali mfalme huyo angushe Missiles na Drones za Iran. Kule Gaza anazuia mpaa vyakula visiende. Wakati Al Houthi wamezuia Meli zinazo enda Israel yeye anapitisha vyakula kwenda Israel. Je Jordan ni warabu au Wayahudi? Vipi mkubali...
  8. U

    Jordani yakataa kumzika mfungwa aliyeachiliwa huru aliyefariki kwa saratani

    Maajabu Jordan yagoma kupokea mwili wa gaidi mfungwa wa kundi la kipaleatina Islamic jihad na kuurudisha misri aliachiwa huru na Israel Wadau hamjamboni nyote? Moatassem Radad ni mpalestina mwenye asili ya Jordan na alikuwa gaidi hatari wa kundi la kipaleatina la Islamic jihad na Alikuwa...
  9. zigi 01

    Bachelor of computer science Jordan university college

    Habari, naomba kuelezwa kuhusu ubora wa chuo cha Jordan kwenye kozi ya computer science. Je wapo vizuri kwenye practical na theory? Wana maxingira mazuri ya kujifunzia yaani Lab za computer za kisasa zitakazomfanya mwanafunzi kujifunza vizuri? Napenda nijiunge hapo ila nijiridhishe kwanza na...
  10. Ritz

    Mfalme wa Saudi Arabia amezitaka Misri, Jordan na Qatar kuunganisha nguvu katika kulaani haki za binadamu za Israel

    Wanaukumbi. Mkutano Mkuu wa Nchi za Kiarabu kuijenga upya Gaza. Mfalme wa Saudi Arabia amezitaka Misri, Jordan na Qatar kuunganisha nguvu katika kulaani ukiukaji wa haki za binadamu wa Israel huko Gaza na kuishinikiza Israel kuruhusu misaada ya kibinadamu kufika katika eneo hilo...
  11. R

    Mfalme wa Jordan kaenda white house kamuunga mkono Trump kuwahamisha wapalestina, Misri na nchi nyingine kukutana Saudi Arabia kusuka mpango kazi

    Mfalme Abdullah wa Jordan na Mwanawe Wamtembelea Trump Ikulu Mfalme Abdullah wa Jordan na mwanawe wametembelea Ikulu ya White House kwa mazungumzo na Rais wa Marekani, Donald Trump. Mkutano huo uliangazia juhudi zinazoendelea za kubadilisha mwelekeo wa Mashariki ya Kati, hasa kuhusu uhamishaji...
  12. JanguKamaJangu

    LeBron James afunga pointi 40, aifikia rekodi ya Jordan

    Nyota wa Kikapu, LeBron James ameonesha ukomavu baada ya kuiongoza Los Angeles Lakers kuoata ushindi wa Vikapu 120-112 dhidi ya Golden State Warriors katika Ligi ya NBA. LeBron amefunga Pointi 42, ‘Ribaundi’ 17 na Asisti 8 ambapo ameungana na Michael Jordan kuwa wachezaji wawili pekee...
  13. hamis77

    Je, Misri na Jordan watawapokea Wapalestina?

    Watawapokea Wapalestina wa Gaza Wa kwanza ni Abdel Fattah El-Sisi, rais wa Misri, na wa pili ni Abdullah II, mfalme wa Jordan Hawa jamaa ni pro west na pro Israeli. Walipokea misaada ya kutosha toka Marekani sasa na wao ni wakati wa kulipa. Wametakiwa kuwapokea wana Gaza milioni 1.5 ili...
  14. Waufukweni

    Mtoto wa Michael Jordan, akamatwa Florida baada ya kukutwa na dawa za kulevya

    Marcus Jordan, mtoto wa mwanamichezo maarufu wa mpira wa kikapu, Michael Jordan, amekamatwa Florida kwa tuhuma za kuendesha gari akiwa amelewa na kumiliki dawa za kulevya aina ya cocaine. Polisi walimkamata baada ya kugundua gari lake, Lamborghini, limekwama kwenye reli za treni, ambapo...
  15. sanalii

    Trump akazia, Jordan na Misri watawachukua wapalestina wa Gaza, mana US imewafanyia mengi

    Alipokua akiulizwa kuhusu kauli yake alioitoa kuhusu kuhamishwa kwa wapalestina walioko Gaza, aliendelea kisisitiza msimamo huo. Muda utatuambia kua huyu mzee hamnazo kabisa, kama lengo lake ni kushirikiana na wazayuni awatoe wapalestina gaza, amechelewa sana na haiwezekani. Haiwezekani mtu...
  16. U

    Trump awaonea huruma mateso wanayopata wapalestina, aagiza misri na jordan kubadili sera zao na kuanza kuwahamishia wengi zaidi nchini mwao!

    Wadau hamjamboni nyote? Rais trump atoka maagizo mazito ya kiutendaji kwa nchi za Jordan na misri Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kimombo: January 26, 2025 By Agencies Today, 4:32 am US President Donald Trump says that Jordan and Egypt should take more Palestinians from Gaza, where...
  17. mdukuzi

    Bila Freeman Mbowe na Jordan Rugimbana, Tundu Lissu angepoteza uhai siku ile aliyopigwa risasi Dodoma

    Wale walenga shabaha(snipers )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu. Mnaidhani wale sio sniper refer Donald Trump alipunyuliwa nywele badala ya kupigwa kichwa na sniper....tuendelee Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili. Mbowe mtoto wa mjini akahisi...
  18. Webabu

    Kazi imeanza mpaka wa Jordan na Israel.Walinzi watatu wa Israel wauawa.

    Walinzi watatu wa Israel wameuawa kwa kupigwa risasi kutokea upande wa mpaka wa Jordan kwenye kivuko pekee cha daraja linalounganisha ukingo wa magharibi wa Palestina na Jordan. Uchunguzi umeanza kubaini tukio hilo kwenye daraja lijulikanalo kama Allenby Shooting attack at the West Bank-Jordan...
  19. Mkalukungone Mwamba

    Mtoto wa Michael Jordan, amepigwa picha akiwa anatumia dawa za kulevywa aina ya Cocaine

    Marcus Jordan Mtoto wa Legend wa mpira wa kikapu duniani na gwiji wa NBA Michael Jordan, ameingia kwenye skendo kubwa na ya aibu baada ya kupigwa picha akiwa anatumia madawa ya kulevywa aina ya Cocaine, - Picha hizi zimepigwa na mapaparazi wa Ufaransa ambao kwao ni msimu mkubwa wa mapato...
  20. Matteo Vargas

    Jordan yasema itatungua kombora lolote litakalopita kwenye anga lake kwenda kuishambulia Israel

    Nchi ya Jordan imesema haitarusu kombora au makombora au drones za aina yeyote kupita kwenye anga lake kwenda kuishambulia Israel. Na kama kuna aina yeyote ya silaha itayoonekana kwenye anga lake kwenda Israel basi utatunguliwa mara moja. Huko mashariki ya kati watu wamechafukwa.
Back
Top Bottom