john

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kijana John Mnyika apongezwe kwa uzalendo wake!

    Katrika watu kwenye nchi hii ambao wanahitaji pongezi ni John Mnyika. Hana skendo ya rushwa na kila kwenye mijadala mikubwa ya Chadema anakuwepo. Endapo Mbowe akishidwa mtu ambaye anaweza kuhakikisha hakuna hujuma kwenye Chama kwasababu ya ego za watu wa Mbowe ni John Mnyika. Huyu ni mtu...
  2. Cannabis

    JamiiForums Tanzania Baada ya Lissu, Mbowe, Wenje na Heche sasa ni zamu ya John Mnyika kuunguruma

    Katibu mkuu wa CHADEMA anatarajia kuzungumza na vyombo vya habari kesho 07/01/2025 saa tano asubuhi katika makao makuu ya chama hicho.
  3. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Mdau amuuliza John Heche: Unataka Umakamu Mwenyekiti wa Chadema halafu miradi ya Dotto Biteko asimamie nani?

    Kuna mdau kwenye mtandao wa X anamuuliza John Heche anataka Umakamu Mwenyekiti wa Chadema halafu miradi ya Dotto Biteko asimamie nani? Anaendelea kuanika "Hakuna asiefahamu kuwa wewe ndiye Msimamizi wa miradi yote ya Dotto Biteko ikiwemo migodi yake ya Madini".
  4. B

    JamiiForums Tanzania Duh! Mkeka umechanika vibaya sana! Huku Tundu Lissu pale John Wegesa Heche!

    Kugombea nafasi ya umakamo mwenyekiti chadema kwa John Heche ili ni pigo kubwa na baya sana kwenye kambi ya Mbowe na vibaraka wake. Hakika wakati ni ukuta huwezi kushindana na wakati bahati mbaya Mbowe na timu yake hawakufikiria kuhusu wakati kuwakataa kuwa viongozi. Sasa ni rasmi mkeka wao...
  5. Mtoa Taarifa

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Heche: Nitamuunga Mkono Tundu Lissu, na nitagombea Umakamu Mwenyekiti CHADEMA

    Wakuu mmesikia huko? John Heche rasmi ametangaza kumuunga mkono Tundu Lissu na atagombea Umakamu Mwenyekiti wa Chama. Heche ameongeza "Mimi Mbowe kwangu ni Baba wa Kisiasa, amenilea na hamheshimu sana. Tunakwenda kwenye uchaguzi na tutakushinda katika uchaguzi huu. Mimi namuunga mkono Tundu...
  6. Cannabis

    JamiiForums Tanzania John Heche aitisha press conference tarehe 05/01/2025

    John Heche anategemea kutema cheche 05/01/2025, saa tano asubuhi. Press conference hii itakuwa live kupitia vyombo mbali mbali vya habari. Uamuzi huo wa kuitisha press conference umeonekana kuungwa mkono na Godbless Lema kupitia mtandao wa X. Soma zaidi...
  7. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwanza: John Heche kuzungumza na Waandishi wa Habari Januari 5, 2025

    Hii ndio Taarifa mpya kutoka Chadema, iliyosambazwa kote Duniani. Na kwamba Mkutano huo utafanyika huko Mwanza Nchini Tanzania Haijajulikana sababu ya Mkutano huo wala ambacho kitazungumzwa. Zaidi angalia hapa
  8. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania John Okello (Baba wa Taifa la Zanzibar) angekutanishwa na Sultan Jamshid

    Nlisoma humu uzi kuwa baba wa Taifa la Zanzibar ni John Okello (RIP) Huyu ni Che Guevara wa East Africa. Mwanamapinduzi na mpigania Uhuru. Huyu alitoka kwao Uganda kuja kuwakomboa Wazanzibar. Alikuwa na moyo wa kipekee sana. Dunia haipaswi msahau. Napendekeza kama ana ndugu zake anapokuja...
  9. Cecil J

    JamiiForums Tanzania John Wick 2014 haina simulizi inayoeleweka! Storyline yake ni mbovu!

    Awali ya yote kwa yeyote aliyekuja pupa ili kunijibu nina maneno mawili tu, "Punguza spidi", rejea kichwa cha uzi kisome vizuri kisha urejee tena. Nakiri kwamba sikuwahi kuangalia filamu ya John Wick hapo awali, nilikutana na Posters zake tu ila sikupata muda wa kuitazama. Siku ya juzi...
  10. Z

    JamiiForums Tanzania John Mnyika, Kigaiya na Lema mko wapi, chama kina pasuka vipande?

    Katibu Mkuu John Mnyika, Kigaiya, Lema na Mrema mko wapi chama kinapasuka. Mnawaangalia Viongozi waandamizi wakiumbuana hadharani!!!! Mnyika umekaa kimya!!kulikoni? Au ndio tunagawana mbao? Tunajua mwenyekiti kafeli, mwambieni ukweli, aache kukipasua chama.
  11. Miss Natafuta

    JamiiForums Tanzania John Heche ndo anafaa kuwa mwenyekiti CHADEMA

    Merry Christmas 🎄 Lissu big no. Ana mihemko.hataweza kudeal na mambo makubwa.itakuwa vurugu Mbowe nae big noo.miaka zaidi ya 20 jamani apumzike. John Heche.kwanza handsome, bonge la genius, ana point za maana All in all mama Samia forever
  12. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Laana ya Hayati Rais John Pombe Magufuli yaitafuna Chadema.

    Sikumuogopa Rais John Magufuli aliyekuwa na majeshi leo hii nimuogope Tundu Lissu,ambaye ni kiongozi mwenzangu tulikuwa nae kwenye chama! kauli tata sana hii,kumekucha!!,Chadema kazi imeanza,Lissu anasema ataendelea kupigania anachokiamini,ataendelea kupiga kelele kama zile kelele za vishindo...
  13. Gabeji

    JamiiForums Tanzania John Heche amesema atatoa msimamo wake juu ya uchaguzi ndani ya chadema.

    Watu wa mara ni watu strong sana sina wasiwasi nao, heche amesema watanzania wanatakiwa kupata CHAMA mbadala kitakacho pinga Rushwa kwa vitendo. Na amesema ataoa msimamo wake hivi punde. Mungu ibariki chadema chini ya mpigania haki ya kweli ambae ni Lisu. by mwinjilist wenu Gabeji.
  14. D

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Heche chukua Umakamu Mwenyekiti wa CHADEMA

    Kwa hali ilivyo wananchi na wanachadema wote wanaomba uchukue fomu kwa ajili ya Makamu Mwenyekiti. John unazo sifa zote kuliko Wenje na mwingine yeyote kwa nafasi hiyo. Ni mwanachama Asili wa Chadema umepikwa na kupikikia na ni mzalendo wa kweli na mwenye Busara na Hekima utamsaidia...
  15. S

    JamiiForums Tanzania John Heche: Nimewasikia watanzania, nitazungumza

    Kaandika hivi katika mtandao wa X: Tuna jukumu la kihistoria la kuhakikisha tunaipatia Nchi yetu chama mbadala, na serikali mbadala itakayowatumikia watu na kuwaondoa katika umasikini wa miaka 63 ya Uhuru.Serikali na chama kitachopinga rushwa bila aibu, chama kinachochukia umasikini, chama...
  16. G

    JamiiForums Tanzania Mbowe na chama chake anaelekea kuingia kwenye kundi la John Cheyo Mrema Lipumba ameamua kuzama na Jahazi

    Kuna haja Gani ya kungangania madaraka Kama umejenga chama na Mifumo imara kwa miaka 20 Nilifikiri angegombea Uraisi lakini pia hafai kabisa , Kama mkiti wa chama ameshindwa kujenga Mifumo ni nchi iliyojaa rasilimali Kibao Aibu kwa watu tuliowaona wangemshauri wamekuwa machawa
  17. G Sam

    JamiiForums Tanzania John Heche anaunga mkono Mbowe kupisha nafasi ya uenyekiti wa Chadema taifa kwa heshima

    John Heche kwenye ukurasa wake wa Twitter ame- repost ujumbe wa David Mfugwa wa Chadema ambao unamtaka Mbowe kustaafu kwa heshima na kulinda heshima yake ndani ya Chadema. Hii ina maana kuwa hata Heche hakubaliani na kauli ya #Mi5tena. Msimamo wetu hautaturudisha nyuma. Ni ama Mwamba avuke na...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Mbowe atoke ili John Mrema na Benson Kigaila waishije?

    Toka John Mrema ahitimu elimu ya Ualimu na kupata Gentlemen pass hajawahi kuwa na maisha nje ya Chadema au siasa. Gari ya kwanza kumiliki Mbowe alimpa zawadi ya Nissan Safari ambayo ilikuwa Mali ya Chadema. Kapata mke kupitia posho za chadema. Kajenga kupitia pesa ambazo anahongwa na Mbowe...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Mnyika alivyomkabidhi fomu Tundu Lissu kugombea Uenyekiti CHADEMA

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amechukua rasmi fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho leo, Jumanne Desemba 17, 2024, katika ofisi za makao makuu ya CHADEMA zilizopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam. Pia, Soma: CHADEMA watoa tamko zito, John Mnyika aanika gharama za fomu...
  20. L

    JamiiForums Tanzania TANZIA Msajili wa Vyama vya Siasa Mstaafu, John Tendwa Afariki Dunia

    Ndugu zangu Watanzania, Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo. Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013. Amepigana vita iliyo...
Back
Top Bottom