job ndugai

Mr. Job Yustino Ndugai (born 21 January 1960) is a Tanzanian politician who has been Speaker of the National Assembly of Tanzania since November 2015. Previously he was Deputy Speaker from 2010 to 2015.

View More On Wikipedia.org
  1. tonicimmobility

    GE2025 Barabara Zinazoelekea Kwa Hayati Job Ndugai Zinatengenezwa Muda huu

    Barabara zimeanda kufanyiwa marekebisho nyumbani kwa marehemu Job Ndugai, Njedengwa jijini Dodoma ili kurahisisha upitaji wa magari. Soma pia: Mbunge Boniphace Getere: Tunachotaka ni kuona PM Majaliwa anarudi bungeni kuhusu vyeo anajua Mungu Watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa Chama Cha...
  2. Mshana Jr

    Tafakuri yangu: Kifo cha Job Ndugai ( Spika Mstaafu)

    Neno la Mungu linasema.. Maisha ya mwanadamu ni miaka 70 na akiwa na nguvu ni miaka 80....! Baada ya hapo utaishi miaka ya bonus au ya ubatili! Job Ndugai katwaliwa kutoka maisha haya! Bila kuteseka sana na bila maumivu.. Kufumba na kufumbua mtu kanyamaza Ni mojawapo ya vifo bora kabisa! Ambavyo...
  3. DR HAYA LAND

    Je ipi legacy ambayo ameacha Job Ndugai ambayo itakumbukwa vizazi na vizazi?

    Kufatia kifo cha Job Ndugai . Je ipi legacy ambayo ameacha Job Ndugai ambayo itakumbukwa vizazi na vizazi?.
  4. JanguKamaJangu

    TANZIA GE2025 Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia

    Aliyewahi kuwa Spika na aliyekuwa Mbunge wa Kongwa, Job Yustino Ndugai amefariki Dunia, leo Agosti 6, 2025, taarifa ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani, Dkt. Tulia Ackson imeeleza kuwa msiba umetokea Dodoma Dkt. Tulia amesema Ofisi ya Bunge...
  5. mdukuzi

    Job Ndugai amesahau nini bungenj,waafrika hatuna akili

    Ulikuwa spika,umeshaandaliwa mafao yako ya mstaafu. Pumzika kwa heshima hutaki bado unataka kurudi mjengoni Umesahau nini huko Mtu mwenyewe mgonjwa na mfumo haukutaki tena Shame on you
  6. Ileje

    Job Ndugai: Mimi ndiye mke wenu mkubwa

    Ndugai amwaga radhi katika harakati za kusaka ubunge!
  7. DuaZaMama

    GE2025 Wananchi Kongwa wameendelea kumbana aliyewahi kuwa spika Job Ndugai

    Wananchi wa jimbo la Kongwa mkoani dodoma wameendelea kumbada kwa maswali mazito, Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai, ambaye ni Mtia Nia wa Ubunge jimbo la Kongwa mkoani Dodoma akijinadi mbele ya Wajumbe kuomba kura. Chanzo: Jambo Tv
  8. Waufukweni

    GE2025 Job Ndugai: Mimi ndiye Mke wenu Mkubwa

    Job Ndugai ameendelea kuonja joto ya jiwe kutoka jimboni kwake huko kwao Dodoma. Hali si hali, awashuku waliopangwa kumzomea mkutanoni akimwaga Sera.
  9. R

    Job Ndugai, unagombea ubunge Ili iwe Nini?

    Salaam! Kuna Nafasi ipi ya juu bungeni ambayo hukuifikia ambayo inakupa ujasiri wa kugombea Tena ubunge? Kwanini usitafute changamoto nyingine? Tafadhali sana nakusihi , achana na harakati hizo kuepuka hizi aibu ndogo ndogo. Swali: Unagombea ubunge Ili iweje? Nawasilisha 🙏
  10. Mmawia

    GE2025 Job Ndugai akataliwa hadharani, wajumbe wamwambia apumzike sasa

    Jobu NDUGAI ameonja joto ya jiwe kutoka jimboni mwake huko kwao. Naamini huu itakuwa ni mfano mzuri sana kuigwa na wapiga kura na wajumbe hapa nchini. Sikikizeni hali ilivyokuwa mbele ya NDUGAI.
  11. ChoiceVariable

    PreGE2025 Job Ndugai : CCM Itapata Ushindi wa Clean Sheet uchaguzi 2025

    My Take Chadema mpo? Kuna ujumbe wenu Kwa Ndugai. === Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai amesema Jimbo hilo kupata ushindi wa 'Cleen Sheet' kila chaguzi zinazofanyika ikiwemo 2020 ni sababu ya eneo hilo kuwa kitovu na ngome ya demokrasia kwa CCM katika mkoa huo. Ndugai ambaye ni Spika Mstaafu wa...
  12. Mzee wa Code

    PreGE2025 Job Ndugai abadili msimamo, sasa autaka tena ubunge wa Kongwa

    Aliyekuwa Spika wa Bunge na Mbunge wa Kongwa kwa zaidi ya miongo miwili, Job Ndugai, ameibua mjadala mpya katika siasa za jimbo hilo baada ya kutamka kuwa atagombea tena ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025—miezi kadhaa baada ya kutangaza kuwa hatagombei tena. Mei 2022, Ndugai alisema...
  13. ChoiceVariable

    Picha: Unyonge na udhaifu ni sifa ya Ndugai. Ona anavyonyooshewa Kidole Cha Onyo na Lisu

    Tundu Lissu ndiye mbunge wa kwanza duniani kuingia bungeni na vitabu vingi na kuvitumia vyote kujenga hoja zake. Kumshinda lissu kwa hoja, ni lazima uwe umesoma sana
  14. Mshana Jr

    Hatuwajibiki kwa pamoja ila tunalaumiana na kutegeana

    TLS tuliitisha Mdahalo wa Kitaifa kuzungumzia Utekaji Baadhi ya sababu kuu zinazochangia utekaji kulingana na mjadala ule ni pamoja na Udhaifu wa mifumo ya utendaji wa Jeshi la Polisi ( Colonial Mentality ) na kutotenganishwa kwa shughuli za Upelelezi na Uchunguzi kutoka Jeshi la Polisi na...
  15. Mshana Jr

    Job Ndugai...

    Muhtasari Mheshimiwa Job Yustino Ndugai ni mwanasiasa wa Tanzania na aliwahi kuwa Spika wa Bunge la Tanzania tangu Novemba 2015 hadi alipojiuzulu Januari 6. Hapo awali alikuwa Naibu Spika kuanzia 2010 hadi 2015 kabla ya kuwa Spika chini ya serikali ya Magufuli.
  16. JanguKamaJangu

    PreGE2025 Ndugai atoa hoja utaratibu kumwona daktari kwa Tsh. 10,000 ufutwe

    SPIKA Mstaafu na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai ameishauri serikali kuangalia upya utaratibu uliopo sasa, katika hospitali nyingi za umma kuwa ni lazima mgonjwa kutoa Sh. 10,000 kwa ajili ya kumuona daktari. Ndugai, alisema hayo juzi jijini hapa, wakati akichangia hoja kwenye kikao cha Kamati ya...
  17. Chakaza

    Job Ndugai, Ujumbe Wako Tumeuelewa Tutatekeleza na Kuueneza Watu Wengine Wauelewe.

    Hakika kama Spika ulipokuwa ofisini kwako ulikuwa na nafasi ya kuelewa mengi na kwa undani zaidi. Hivyo kama ilivyo, Msema kweli ni mpenzi wa Mungu na dhahiri anakuwa adui wa shetani. Tumeelewa. Sasa kwa kuenzi huo ukweli aupendao mwenyezi Mungu tumekuelewa na tutausambaza kila kona ya nchi na...
  18. R

    Job Ndugai, salamu hizi zikufikie popote ulipo

    Hellow Tanganyika!! Nimekaa Mahali USINGIZI umekata, wazo likanijia kumhusu Mh Ndugai pale alipoitisha press kuishauri Serikali kuhusu kujitegemea kuachana na mikopo kiduchu. Na kilichonivutia zaidi, ni pale ulipomalizia Kwa kauli kuwa "Watanzania wataamua, ikiwa watachagua viongozi Hawa...
  19. The Supreme Conqueror

    Toka mfumo wa vyama vingi uanze,tumekuwa Bunge 5 lipi kwako unalikubali?Bunge la Job Ndugai

    Bunge la Job Ndugai Bunge la Anne Makinda Bunge la Samweli Sitta Bunge la Pius Msekwa. Bunge la Tulia Akson Lipi lilikidhi Kiu yako na uliona kama faida kwa nchi na lipi halijawahi kukata kiu yako na unaliona kama hasara kwa nchi?
  20. L

    Job Ndugai Na Madiwani wa Kongwa Aibukia Jijini Tanga Kujifunza Namna ya Utekelezaji Wa Miradi ya Maendeleo.Apokekelewa Na Ummy Mwalimu.

    Ndugu zangu Watanzania, Speaker Wa Bunge Mstaafu Mheshimiwa Job Ndugai Ameibukia Jiji La Tanga akiwa Ameongozana na Madiwani Mbalimbali kutoka halmashauri ya Wilaya ya Kongwa . Ambapo yeye pamoja na Waheshimiwa Madiwani ,mkuu wa wilaya na mstahiki meya wa halmashauri ya Kongwa wamefika jijini...
Back
Top Bottom