Job Ndugai, unagombea ubunge Ili iwe Nini?

Job Ndugai, unagombea ubunge Ili iwe Nini?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
25,937
Reaction score
41,152
Salaam!

Kuna Nafasi ipi ya juu bungeni ambayo hukuifikia ambayo inakupa ujasiri wa kugombea Tena ubunge?

Kwanini usitafute changamoto nyingine?


Tafadhali sana nakusihi , achana na harakati hizo kuepuka hizi aibu ndogo ndogo.

Swali: Unagombea ubunge Ili iweje?

Nawasilisha 🙏
 
Salaam!

Kuna Nafasi ipi ya juu bungeni ambayo hukuifikia ambayo inakupa ujasiri wa kugombea Tena ubunge?

Kwanini usitafute changamoto nyingine?


Tafadhali sana nakusihi , achana na harakati hizo kuepuka hizi aibu ndogo ndogo.

Swali: Unagombea ubunge Ili iweje?

Nawasilisha 🙏
Amuone mfumo na awe kwenye mfumo,asisome kwenye magazeti tuu!
 
Salaam!

Kuna Nafasi ipi ya juu bungeni ambayo hukuifikia ambayo inakupa ujasiri wa kugombea Tena ubunge?

Kwanini usitafute changamoto nyingine?


Tafadhali sana nakusihi , achana na harakati hizo kuepuka hizi aibu ndogo ndogo.

Swali: Unagombea ubunge Ili iweje?

Nawasilisha 🙏
Amuone mfumo na awe kwenye mfumo,asisome kwenye magazeti tuu!
 
Sasa nchi SI ya kifalme hii
Mke wa Mfalme Ahabu, alikuwa anaitwa Jezebel. Na katika kipindi kile Jezebel alikuwa akiwala vichwa manabii wa Mungu alie juu.. The same shit ipo Tanzania watumishi wengi wamekunywa mvinyo wake kwa mapesa lukuki.. 2nd Manipulation kwenye mfumo.. mfumo upo manipulated hatari, hizo ni kazi za alie kuwa mke wa mfalme wa Ahabu.. Kuna jambo ambalo Mungu anataka kupitisha kwenye taifa, kama ilivyokuwa wakati ule, na Jezebel alisimama kupinga, na ndivyo ilivyo sasa.
 
Back
Top Bottom